Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kwa waliozaa pamoja, huwa wana hisia zaoKwamba Faiza amekosa wa kumpelekeaa moto? Hauko serious.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa waliozaa pamoja, huwa wana hisia zaoKwamba Faiza amekosa wa kumpelekeaa moto? Hauko serious.
Mmmmh hai make sense badoo.Kwa waliozaa pamoja, huwa wana hisia zao
Huyo Faiza ni takataka kwa matendo yoke hivyo hivyo kuitwa takataka ni stahiki yake, ni kama anayeiba kumuita mwizi au mzinzi kumuita malaya yote ni sawa tu.Acha kumwita binadamu takataka, tako ka la kunguru[emoji57][emoji57][emoji57]
Fact, nakuunga mkono kutokana na experience ya yanayonikuta.Kwa sisi wenye watoto nje tumemuelewa zaidi; tatizo sio matunzo, anataka aendelee kupelekewa moto, bila kujali madhara yatakayotokea kwenye ndoa.
Huyu Faiza ni mamaJ typeKila siku ninawaambiaga kaeni mbali na wanawake wajinga oooh mtapiga na kukimbia...utakimbia lkn mbegu ulizoziacha kwake zitakuadhiri...ona sasa
Afu ndo mnanishauri nimzalishe mamaJ[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu tumia tu kinga inatosha...mademu wa hivyo nasikia wana vitu amazing
Maana ake anataka sugu akamuone mtoto sio, tego la nyani Hilo. Si apige TU Simu?[emoji28]Faiza hataki pesa za Sugu kwa maelezo yake bali mtoto wake Sacha anamsumbua kutaka kuzungumza na baba yake na kilio juu Sugu kagoma kuzungumza na mtoto.
Yaan huyu faiza Ni mamaJ mtupu[emoji22]Lazima ujiulize why akatae?
Ikiwa ali fight hadi mahakamani why leo agome?
Nani asiyejua maumivu ya kutukanwa anayopitia Sugu?
Sugu ametukanwa sana hadi bungeni na alilia machozi sana ana akaeleza masahahibu anayopitia kupitia huyo mtoto na dunia iliona.
Siungi mkono baba asiyetunza watoto lakini siungi mkono uonevu na manyanyqso anayopiria Sugu.
Yaani kama vile Sugu alizini na shetani kutwa kusimangwa na kutukanwa.
Ingekuwa mimi huyo mwanqmke angekua kilema muda mrefu sana
Kwan faiza alizaa na sugu watoto 2 ?Ila maisha magumu nyieee
Mtu umeolewa lets say una kazi yako au biashara yako still maisha magumu,,sembuse mama anaefight kutunza familia na kusomesha watt 2 peke yake??
Faiza ana watoto wawili kila mtoto na baba yakeKwan faiza alizaa na sugu watoto 2 ?
Yule baba mwngn vipi?Faiza ana watoto wawili kila mtoto na baba yake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] atakua hana maishaYule baba mwngn vipi?
Mbona apolomoshewi matusi Kama sugu[emoji848]
Kweli dunia ipo mbio
Flora na Hbaba walishaachana?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwa nini unawajumlisha wote(wazazi wa ajabu)?Kuwa mkweli.Kuna kiumbe kinaitwa Faiza ni takataka.Kila siku kuuchongoa mdomo kwenye media.Yule mtoto yuko vizuri kichwani bahati mbaya kapata wazazi wa ajabu sana
Sidhan kama ni mrang huyo ni mgogoHuyu musinga wa kai ana wivu wa kijinga.