Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Amri kuu ni Upendo.Utakuwa chizi wewe🤣
Kama kufata amri ya Mungu ni uchizi basi sawa mtumishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amri kuu ni Upendo.Utakuwa chizi wewe🤣
Kuna wakati jani lina faida ee🤣🤣🤣Amri kuu ni Upendo.
Kama kufata amri ya Mungu ni uchizi basi sawa mtumishi
Ndiyo hapo sasa, hajakubali ku-move on na kitendo cha kwamba Sugu yuko stable kwenye ndoa yake kinamkera sana.Kwan faiza alizaa na sugu watoto 2 ?
Siku zote jani lina faida, sisi marasta tunaamini katika amani, peace to everyone 😃Kuna wakati jani lina faida ee🤣🤣🤣
Yule dada alivyokaa kipole,sura yake ipo very innocent.Alijuta kila kitu. Wanae wanalelewa kwao frola.hbaba kazi kuwapost akiona wamependeza naona frola akapungiza kuwapost.
Jeuri sana weyeSiku zote jani lina faida, sisi marasta tunaamini katika amani, peace to everyone 😃
Huyo mtoto mwingine hamzungumzii kwa kuwa kazaa na mtu ambaye si popular, publicity anaipata kwa kumshambulia Sugu na hajakubali ku-move on plus alikuwa akidai(back in the day) kwamba Sugu alikuwa akimla [emoji872] nadhani anaamini kwa kumtunukia kule hakupaswa kuachwa licha ya matatizo yake yasiyovumilika.Faiza ana watoto wawili kila mtoto na baba yake
I hate this shit, yamenikuta sana hayo.Unadhani ni rahisi? Ukizaa na mtu jua ni muunganiko wa milele! Sie wetu wapo 18 lakini cha moto hadi Golgotha! Usicheze na mwanamke, ukimuacha wewe na ukawa umezaa naye, unalo! Mtoto anakuwa ni fimbo ya kukuchapia.
Good question [emoji848].Kwahiyo na ww unaamini hivyo?
Simtetei Jongwe ila wangeyamaliza wao kama wao na sio kudhalilishana mitandaoni. Mtoto anakua yule atayakuta haya na sio kitu kizuri.Kwanin asiwe anaonana na mwanae?Faiza yupo sahihi
Hana pa kusemea acha asemee hapo hapo mtandaon unadhan sugu angekuwa analea sasha vizuri Faiza angelalamika?faiza hanaga siri una watoto kwanin ubagueSimtetei Jongwe ila wangeyamaliza wao kama wao na sio kudhalilishana mitandaoni. Mtoto anakua yule atayakuta haya na sio kitu kizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana.Unadhani ni rahisi? Ukizaa na mtu jua ni muunganiko wa milele! Sie wetu wapo 18 lakini cha moto hadi Golgotha! Usicheze na mwanamke, ukimuacha wewe na ukawa umezaa naye, unalo! Mtoto anakuwa ni fimbo ya kukuchapia.
Fact.This bitch is a deranged psycho.
Had mie, nachompendea hana woga wala hofu, afu anaongea ukweli, hana drama za kujifichaa, yuko real kwa kifupi.I love faiza.
Huyu atakuwa mwanamke kwa jinsiaSugu ana ubillionea gani we kiumbe au chawa wa Sugu,yaani mzazi anaye lipa kisasi kwa kumkomoa mtoto kwangu naona nati za kichwani hazijakaza vizuri
Nilitaka pia kuuliza hiki kitu, hata kuview Id yangu mwenyewe inanigomea sijui shida ninisource #1
source #2
Tunachokijua:
huwa vinamaanisha nini hapa JF ?