DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ntageuka sugu[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntageuka sugu[emoji28]
Ha ha ha....hapo usikute alizaa na mwanaume mwngn ili amtishe sugu[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] atakua hana maisha
Redflag zote kwa mamaJ naziona kua Ni faiza mtupu. Afu nijiriski kipumbavu
[emoji3][emoji3][emoji3]Redflag zote kwa mamaJ naziona kua Ni faiza mtupu. Afu nijiriski kipumbavu
Nilitaka kuuliza hii post ameitoa lini kumbe ni ya zamani....basi sina maoni yeyote.Ndicho ninachompendea. Halafu siku hizi ameacha kulia lia, hiyo post ni muda kidogo na alishasema hatalia tena.
Sijui kuna nini watu wamefukua makaburiNilitaka kuuliza hii post ameitoa lini kumbe ni ya zamani....basi sina maoni yeyote.
Inakuwaje itrend tena kuanzia jana?
Sijui kuna nini watu wamefukua makaburi
Hiyo post ni mpya ameiweka jana...baadae ila baadae akaifuta. Ndio zake akishatapika baadae anafutaSijui kuna nini watu wamefukua makaburi
Hiyo ni post ya jana. Ila ameshaifutaInawezekana kuna mtu ndio ameiona kwa mara ya kwanza akajua ni latest akaanza kuisambaza.
Faiza muda mwingi anamsema Mke mwenza aliaacha kumsema sugu.
Atakuwa ameirudia. Alishawahi kuipost niliiona . Ya jana sijaiona.W
Hiyo post ni mpya ameiweka jana...baadae ila baadae akaifuta. Ndio zake akishatapika baadae anafuta
Hiyo ni post ya jana. Ila ameshaifuta
Yaani kichambo hicho kisa mtoto anataka kuongea na babake 😂😂😂Atakuwa ameirudia. Alishawahi kuipost niliiona . Ya jana sijaiona.
Itakuwa kichaa chake kimemrudia😃😃
Possibly!!Doooh kama ni ya jana basi ni hatari ,kwa sisi ambao ni wataalam wa "saikoloji na unajimu" aka tuliosoma "kyuba" basi Faiza anatumiwa na wanasiasa aka yupo kwenye peiroli ya betina.
Yaani kichambo hicho kisa mtoto anataka kuongea na babake [emoji23][emoji23][emoji23]