Hahaha ulifanyaje da mkubwa?
Si kuna vitu tu nachukulia poa Oddo.Hahaha ulifanyaje da mkubwa?
Hahahaha wifi hutaki mke wa kaka apate tabu 🤣🤣🤣🤣Si kuna vitu tu nachukulia poa Oddo.
Sijui nianze kuwa kama shangazi zangu!
Ah zamani ndo kulikuwa kuna uwifi nakwambia, kitu mume/kaka hapumui.
Siku hiz mawifi tunasindikizana kwa mabwana?
MXXXXXXXIIIIIIE
Mawifi wa mchongooSi kuna vitu tu nachukulia poa Oddo.
Sijui nianze kuwa kama shangazi zangu!
Ah zamani ndo kulikuwa kuna uwifi nakwambia, kitu mume/kaka hapumui.
Siku hiz mawifi tunasindikizana kwa mabwana?
MXXXXXXXIIIIIIE
WEEEHHahahaha wifi hutaki mke wa kaka apate tabu 🤣🤣🤣🤣
yaniii!Mawifi wa mchongoo
Hata na wewe watu hawaelewi tabia za kabila lakoTatizo kabila la faiza.
Binafsi Hilo kabila sijawahi kulielewa wanawake wake
Wifi umetisha sana, tutakutengenezea bango lako🤣🤣WEEEH
namfichia na siri!
pumbaaav zangu
ah najikuta tu sitaki kujihusisha na mambo ya watu!Wifi umetisha sana, tutakutengenezea bango lako🤣🤣
Mawifi wa zamani walikuwa Moto...yaani wifi akilianzisha mbona ndoa utaiona chunguyaniii!
Ngoja nikachukue manual user ya uwifi kwa shangazi yangu mkubwa.#
Kuna namna alikuwa yule wifi kindaki ndaki.
Mamangu kila ukimkosea alikuwa anasema '' kichwa kama shangazi yako, jeusi kama shangazi yako , miguu baja kama shangazi yako''
Itakuwa shangazi yangu alikuwa noma sana pande za uwifi.
Sasa mi mambo ya kuwa Wifi darling niachane nayo.
Nibaki kuwa Wifi Mkubwa.
Mke aniogope kuliko mumewe , sheeenzi!
Kilele ni zaidi ya pesaSugu inaonekana alimfikisha Faiza kilele ambacho ajawah fikishwa mpk leo na mwanaumee yyt ktk mapenzi ,ndio maana ana haha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Khaaa; huyo mwanaume hana wazazi au ndugu? Kweli mawifi tumeishiwa nguvu siku hizi[emoji1787][emoji1787]
Pale ndo niliona mnaafki wa kwanza duniani!hivi kale kashankupe kasukumwe kaache kusema, na faiza aache kuongea siku zote hizoo!!!Si amesema eti juzi kwenye event Mrs Mbilinyi alimsukuma mtoto akadondoka na bado akawa anamlazimisha akalale naye. Sasha asukumwe adondoke afu Faiza asipandwe na kichaa hehehe.
Anakapandikiza sumu kale katoto, ila kale katoto kataishi kwa tabu kwa sababu ya upumbavu wa mama yake.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Katoto kameanza kuwa mapema kashangingi mapema...
Faiza anajionaga kazaa dunia..
Uko sahihi kabisaaHawa mademu wa kibongo wa mitandaoni sio kweli kwamba wanapendaga mtu. Huyo pesa za Sugu zinamchanganya zaidi. Sugu asingekuwa nd mkwanja usingemuona anahangaika kama hivyo
Kabadili gia angani anasema watoto wabaya...yeye mzuri na watoto wake wazuriMungu wa ajabu sana, Happy akitukanwa mgumba leo kazaa watoto wawili tena wote wanaume yaani warithi, shida imeanzia hapo
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hivi happy anaweza kukubali mtoto aende kwake tena?Pale ndo niliona mnaafki wa kwanza duniani!hivi kale kashankupe kasukumwe kaache kusema, na faiza aache kuongea siku zote hizoo!!!
Uongo mtupu wanaleta mtu na Mama ake!
"kashankupe"Pale ndo niliona mnaafki wa kwanza duniani!hivi kale kashankupe kasukumwe kaache kusema, na faiza aache kuongea siku zote hizoo!!!
Uongo mtupu wanaleta mtu na Mama ake!
I can imagine wataishi maisha ya aina gani humo ndaniHivi happy anaweza kukubali mtoto aende kwake tena?
Dogo atafungashiwa diary ili aandike taarifa za matukio ya Kila siku...