[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]nimekuelewa dada,nimefuta kauli Ila Anamfundisha mwenyewe mwanawe japo wa kwetu sio wakamilifu pia"kashankupe"
Hebu uwe na akiba ya maneno, usimuite mtoto wa mwenzio hivyo. Kumchukia faiza kusiwatoe ufahamu kumhusisha mtoto na ujinga wa mama yake. Faiza ni mental case na inajulikana, hivi ukimprovoke kichaa nawe unaitwaje?
Faiza ni mental case, hakuna mama timamu anaeweza fanya afanyayo. Ni vile hizi nchi zetu hatuna mamlaka zinazoeleweka zinazolinda watoto. Baada ya hili seke seke ndio nilitembelea page yake na kufuatilia, she has beautiful kids na kasasha kanaonekana kako so bright and humble. Ni mama tu ndio amekosa, she does not deserve hizi drama kabisa na mtambue ni mtoto bado hana maamuzi yake. Yeye anafanya anachoambiwa afanye na hajui madhara yake. Haina haja ya kumshambulia, mama ni mama tu hata kama ni mwendawazimu.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]nimekuelewa dada,nimefuta kauli Ila Anamfundisha mwenyewe mwanawe japo wa kwetu sio wakamilifu pia
The best way Sugu awaoe wote tu ..maana kwanza atakuwa kamsaidia huyi unaesema anaihitaji mental health service, haaitajiki tenaaa iyo hudumaa .. hapo mzee sugu apewe game 1 akaupige mwingi ...Huyu dada Faiza muda mrefu amekua aki hangaika sana toka Sugu amemuacha. Ni kama hajakubali matokeo ameshawahi fanya vituko vingi ila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.
Battle imehamia kwa Happy ambae ameolewa rasmi na Sugu. Issue kubwa ni hataki picha ya mtoto wake (aliezaa na Sugu) ipostiwe na Happy. Japo kwa upande mwingine anaweza kua na hoja ya msingi kwasababu Happy hana kawaida ya kumpost Sasha sio kwenye birthday wala matukio yoyote yale.
Wakati hata Sasha akienda Mbeya kwa baba ake Happy hajawahi kuonyesha furaha wala kumpost . Faiza anachohoji iweje leo Happy apige picha pamoja na raisi akijibaraguza kua Sasha ni mwanae? Kuna mengi sana nyuma ya hii triangle ya Sugu, Faiza na Happy na mtoto Sasha.
Nafikiri pia ni wakati sasa Faiza apewe msaada , maana ni dhahiri ana mental issues. Mambo anayofanya sio ya kawaida anakoelekea anaweza kumdhuru huyu mtoto (Sasha) as a way to get back at Sugu na Happy.
Yes yes no no nyingiHuko China alikuwa anaendaje kama ngeli haipandi [emoji2]
Alisema alikubaliana nae kumpa mbegu tu ya mtoto (sperm donation) na kwamba jamaa hatahusika kwa gharama yoyote hata shilingi 100 kuhusu kitakachozaliwa.
Sasa jamaa sijui ni Mjeda au labda waliandikishana mahala. Maana naona bidada hathubutu kusema suuuu [emoji40]
Maana jamaa nasikia ni mume wa mtu hataki kuvurugiwa.
Jamaa inaonekana yuko strict sana Yani bidada na kujifanya wazimu lakini hakosei hata siku moja Kwa hiyo jamaa.
Adabu!
Mnyonge wake alobaki ni Mbilinyi na mkewe tu basi!
Faiza ni mental case, hakuna mama timamu anaeweza fanya afanyayo. Ni vile hizi nchi zetu hatuna mamlaka zinazoeleweka zinazolinda watoto. Baada ya hili seke seke ndio nilitembelea page yake na kufuatilia, she has beautiful kids na kasasha kanaonekana kako so bright and humble. Ni mama tu ndio amekosa, she does not deserve hizi drama kabisa na mtambue ni mtoto bado hana maamuzi yake. Yeye anafanya anachoambiwa afanye na hajui madhara yake. Haina haja ya kumshambulia, mama ni mama tu hata kama ni mwendawazimu.
Hiyo umesema wewe.Kwa kule kuongea kiingereza tu?
Kwanza aliitwa mgumba!Mungu wa ajabu sana, Happy akitukanwa mgumba leo kazaa watoto wawili tena wote wanaume yaani warithi, shida imeanzia hapo
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Ana picha kaweka papa lake akiwa ametoka kujifungua, just few minutes after it!Mimi tangu atuoneshe ile Teitei yake imechanika kipindi kile Faiza nilimuona hayuko sawa.
Mimi huwa namuonea huruma Sugu alizaa na mwendawazimu.Ana picha kaweka papa lake akiwa ametoka kujifungua, just few minutes after it!
chizi yule.Kabadili gia angani anasema watoto wabaya...yeye mzuri na watoto wake wazuri
Ni total psychopath!Mimi huwa namuonea huruma Sugu alizaa na mwendawazimu.
Ndiyo....Ile nayo...Ana picha kaweka papa lake akiwa ametoka kujifungua, just few minutes after it!
Daah Mrs Mbilinyi alijua kupagusa penyewe jamani. Alifikiri mwenzie ana moyo wa chuma[emoji23][emoji23]Kwanza aliitwa mgumba!
Akazaa.
Mara anaf..rwa
Watu kimya, oh fresh tu
baadae Wanae wakaitwa Wa miujiza, watu fresh tu
Baadae wanae wabaya sijui wana sura za kizamani, watu fresh tu.
oh ana miguu mibaya sijui makanyagio, watu fresh tuuu.
oh mwanangu ntazaaa na babake mtoto mwingine, watu kimya!
Leo Happy kaweka picha tu.
Tena haina tusi, haina chambo, haina lolote.
Just neno ''my daughter.....''
Faiza anataka kuzaa mbuyu. ahahahahhahahhahahhahahhahahhaha
Dada mkubwa huwa ana maneno utafikiri ana undugu na Dr Kumbuka. Huwa nammiss sana kwenye ubuyu[emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo....Ile nayo...
Then kuna ile ya Red carpet Kill Music award, kile kinguo kiliacha pututuu yote nje. Bado ile ya Pamphers. Na hapo Sugu alikuwa hajamuoa Happy...
Ila Sugu kavumilia mengi kwa huyu Mwanamke..
Yote kwa yote nilikumiss mno mno...kuna nyuzi zikiletwa huwa najisemea tu natamani kukutana na comment ya Dada Snow[emoji1787]
Yaaani...Mimi huwa namuonea huruma Sugu alizaa na mwendawazimu.
Yaani Dada Mkubwa ana maneno yake sijui anayatoaga wapi🤣🤣Dada mkubwa huwa ana maneno utafikiri ana undugu na Dr Kumbuka. Huwa nammiss sana kwenye ubuyu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukienda kwenye zile nyuzi za zamani sasa; enzi zile wengi wapo active; aisee utacheka hadi basiYaani Dada Mkubwa ana maneno yake sijui anayatoaga wapi🤣🤣