Yule ana Visa tu kupostiwa kitu gani...halafu mbona happy hakuandika Jambo baya...mi kaniudhi kweli kumtukana mtoto mdogo wa mwaka mmoja...Hata asipompost, ataleta lingine tu.. Faiza is dramatic person by nature.. We kwa akili yako hiyo mke mwenzako akimpost mtoto wako yatakutoka hayo maneno?
Sugu ameyaona mengi sana anafaa kuwa mshauri wa wababa wenye dramatic baby mamas.
Madam president was telling Sasha here that don't be like your father or your mom.
Faiza Kila siku anatafutaga tu maneno ili atoe uchungu wake wa kuachwa na Sugu; shida zote hizo chanzo ni kwamba hajakubaliana kuwa Sugu kashamove on. Remember the other day Happy anatoa ushuhuda jinsi alivyompata mtoto wake kimiujiza; yeye kashamjibu sijui Sasha ni mtoto wa fyoko fyoko sio wa muujiza, mara wa kwake ndiyo mtoto wa dhahabu. Hao watoto wa Happy anawasema vibaya kila siku, bado matusi kwa Sugu na mkewe. Hata Mimi ningekuwa Happy ningetafuta tu cha kumkomeshea sina moyo wa kuvumilia uchizi wake kila siku; alijua tu akimpost Sasha kitamuuma. Faiza anajikutaga yeye ndiyo fyatu; sasa alie apasuke huko alipo ila mtoto kashapostiwa. Tena Bora hata Happy amempost mtoto kwenye kitu +ve.Ila on the other side hatak mwanae hapostiwe ..uyo dada happy angeachanaga nae tyuu mana Faiza ypo clear mbna hatak amposti mwanae
Afu analalamika Happy Ana roho mbaya,kutwa anamtusi na kumdhalilisha alwaysTatizo hataki ku move on Leo anamtukana mtoto wa sugu wa mwaka mmoja yeye anadhani anamkomoa happy...hivi mwanae akienda likizo kwa baba ake ataishije?
Una bahati sanaAh ah Nina mrangi nimezaa nae watoto 2,aiseee nimeokota dodo, mdada full mapenzi, heshima, n.k
Swadakta... Eti leo anaomba msamaha huko insta...anayoyafanya yanaharibu future ya mtoto sijui kwa nini haelewi yule...Faiza Kila siku anatafutaga tu maneno ili atoe uchungu wake wa kuachwa na Sugu; shida zote hizo chanzo ni kwamba hajakubaliana kuwa Sugu kashamove on. Remember the other day Happy anatoa ushuhuda jinsi alivyompata mtoto wake kimiujiza; yeye kashamjibu sijui Sasha ni mtoto wa fyoko fyoko sio wa muujiza, mara wa kwake ndiyo mtoto wa dhahabu. Hao watoto wa Happy anawasema vibaya kila siku, bado matusi kwa Sugu na mkewe. Hata Mimi ningekuwa Happy ningetafuta tu cha kumkomeshea sina moyo wa kuvumilia uchizi wake kila siku; alijua tu akimpost Sasha kitamuuma. Faiza anajikutaga yeye ndiyo fyatu; sasa alie apasuke huko alipo ila mtoto kashapostiwa. Tena Bora hata Happy amempost mtoto kwenye kitu +ve.
Uolewe na mwanaume mwenye baby mama kama Faiza, afu mume awe hana msimamo; ndoa utaikimbia huku unaipenda. Sugu endelea kukaza baba, alikuacha mwenyewe kwa matusi na kejeli, sasa hivi anahara bata. Happy mbaya ila ndiyo kaolewa; naona Faiza akiona ile Happiness Mbilinyi anatamani kufa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu faiza Hana muamana hata akiona wamekaa kimya tu anapagawa na kuanza kuwatusi pia,hii ya mtoto imekuja tu but honestly hajagoma kuachika ,Faiza ni mpuuzi Mmoja hivi asiejielewa asilani!Faiza Kila siku anatafutaga tu maneno ili atoe uchungu wake wa kuachwa na Sugu; shida zote hizo chanzo ni kwamba hajakubaliana kuwa Sugu kashamove on. Remember the other day Happy anatoa ushuhuda jinsi alivyompata mtoto wake kimiujiza; yeye kashamjibu sijui Sasha ni mtoto wa fyoko fyoko sio wa muujiza, mara wa kwake ndiyo mtoto wa dhahabu. Hao watoto wa Happy anawasema vibaya kila siku, bado matusi kwa Sugu na mkewe. Hata Mimi ningekuwa Happy ningetafuta tu cha kumkomeshea sina moyo wa kuvumilia uchizi wake kila siku; alijua tu akimpost Sasha kitamuuma. Faiza anajikutaga yeye ndiyo fyatu; sasa alie apasuke huko alipo ila mtoto kashapostiwa. Tena Bora hata Happy amempost mtoto kwenye kitu +ve.
Uolewe na mwanaume mwenye baby mama kama Faiza, afu mume awe hana msimamo; ndoa utaikimbia huku unaipenda. Sugu endelea kukaza baba, alikuacha mwenyewe kwa matusi na kejeli, sasa hivi anahara bata. Happy mbaya ila ndiyo kaolewa; naona Faiza akiona ile Happiness Mbilinyi anatamani kufa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahahahahhaj nimecheka sana mkuuTuliachiwa note
Kosea kuoa mtaachana ila siyo kumzalisha mtu miyeyusho.
Yaani hamjaongea almost miezi miwili zaidi ya kutuma pesa na anajibu tu 'Seen" 'Received' yaani hata kuambiwa anaumwa hakuna ila post status labda unaonekana upo sehemu ya furaha au unafanya kitu cha furaha.
Sms inayokuja 'Mtoto anaumwa huku we unakula raha tu' ukipiga simu uongee na mtoto unatextiwa tupo hospital hatuwezi ongea. Nitajie hospital nije, tumeshatoka we endelea kula raha.
Hiyo ni fiction scenario.
Matusi anayomporomosheaga Sugu; angekuwa ni mwanaume legelege angemfuta kabisa na Sasha kwenye maisha yake; hataki kumuona Sugu na amani sijui. Sasa anamtumia mtoto kwenye upuuzi wake ili iweje? Yule bana alikuwa anatikisa kiberiti kwa Sugu, akakuta kimejaa. Uchungu wote ule haamini kama Sugu kashamsahau. Mtu mwenye uchungu/majeraha ya moyo, ni mtu wa kuogopwa sana; anaweza akafanya kitu mkabaki midomo wazi. "Acceptance" ni ya muhimu sana kwenye maishaSwadakta... Eti leo anaomba msamaha huko insta...anayoyafanya yanaharibu future ya mtoto sijui kwa nini haelewi yule...
Jamani tupeleke watoto wetu shule hata Kama hawatapata ajira...lakini watakuwa na upeo wa kupambanua Mambo!!
Warangi nyie wakorofi sanaSio mrangi faiza ni mnyaturu sjui. Halaf warang hatupo hivo
Faiza kinachompa huo uwendawazimu wote ni kuachwa na Sugu. Yeye alikuwa analeta mbwembwe akijua mwenzie atambembeleza,; kumbe mwenzie alikuwa ashajichokea akasema afadhali. Hukuona siku Ile aliandika like "watu wasigombane kidogo tu, wewe tayari unakwenda kuingilia mahusiano yao". Beef lote na Happy ni kwa sababu anahisi labda Happy asingemkubalia Sugu, labda wangerudiana. Lakini naamini kwa drama na matusi yale ya Faiza; Sugu angemkosa Happy, bas angebaki tu single kuliko kurudiana na Faiza🤣🤣Afu faiza Hana muamana hata akiona wamekaa kimya tu anapagawa na kuanza kuwatusi pia,hii ya mtoto imekuja tu but honestly hajagoma kuachika ,Faiza ni mpuuzi Mmoja hivi asiejielewa asilani!
Mi kanikwaza kushirikisha mtoto
Kweli kabisa kipindi sugu bado hajaoa alikuwa ana mtukanà jamani Hadi hurumaMatusi anayomporomosheaga Sugu; angekuwa ni mwanaume legelege angemfuta kabisa na Sasha kwenye maisha yake; hataki kumuona Sugu na amani sijui. Sasa anamtumia mtoto kwenye upuuzi wake ili iweje? Yule bana alikuwa anatikisa kiberiti kwa Sugu, akakuta kimejaa. Uchungu wote ule haamini kama Sugu kashamsahau. Mtu mwenye uchungu/majeraha ya moyo, ni mtu wa kuogopwa sana; anaweza akafanya kitu mkabaki midomo wazi. "Acceptance" ni ya muhimu sana kwenye maisha
Mungu awape maisha marefu yenye furaha...Ah ah ah ah nipo nae 9 years now, sijawahi wala kuhisi mambo ya ushirikina, kwanza nipo out of that fucking shit!
Mwanamke lazima awe na wivu.. mwanae kaongea na Rais ulitegemea yule mwanamke akae kimya? Lazima akiwashe ili aonekana kuwa na yeye yupo na yeye ndio kamzaa sasha…Huyu dada Faiza muda mrefu amekua aki hangaika sana toka Sugu amemuacha. Ni kama hajakubali matokeo ameshawahi fanya vituko vingi ila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.
Battle imehamia kwa Happy ambae ameolewa rasmi na Sugu. Issue kubwa ni hataki picha ya mtoto wake ( aliezaa na Sugu) ipostiwe na Happy. Japo kwa upande mwingine anaweza kua na hoja ya msingi kwasababu Happy hana kawaida ya kumpost Sasha sio kwenye birthday wala matukio yoyote yale, wakati hata Sasha akienda Mbeya kwa baba ake Happy hajawahi kuonyesha furaha wala kumpost . Faiza anachohoji iweje leo Happy apige picha pamoja na raisi akijibaraguza kua Sasha ni mwanae?
Kuna mengi sana nyuma ya hii triangle ya Sugu, Faiza na Happy na mtoto Sasha.
Nafikiri pia ni wakati sasa Faiza apewe msaada , maana ni dhahiri ana mental issues. Mambo anayofanya sio ya kawaida anakoelekea anaweza kumdhuru huyu mtoto ( Sasha) as a way to get back at Sugu na Happy.....