Faiza Ally (Ex wa Sugu) na battle isiyoisha kwa Mke wa Sugu

Faiza Ally (Ex wa Sugu) na battle isiyoisha kwa Mke wa Sugu

Kilele hicho si kingine bali ni kuvumilia upumbavu wake kwa muda mrefu sana.

Sugu was an ambitious man na alikuwa so freaking real na Faiza though personality ya Faiza inaonesha ni ile ya narcissist ambaye huwa anaku downgrade partner wake as huwezi fanya lolote bila yeye, or like ukiwa nae she feels like she is upgrading you so without her you are nothing.
Hii hali makes us Men feel so miserable haswa tukiwa down on earth ila mpenzi wako anakuwa sio mtu wa ku appreciate uwepo wako katika maisha yake licha ya jitihada unazofanya. Unamuonesha upendo haswa you buy her stuff ila ana kale kashetani ka ukorofi tu.


Kimsingi mwanzoni lilikuwa linamtesa sana Sugu especially kipindi ambacho Faiza alikuwa mainstream ana heshima kubwa tu nafikiri level za Madam Ritha zile. Imagine unavumilia drama za demu wako mwisho unaamua kuoa kabisa ukifikiri mambo yatatulia ila haiwi hivyo. Hatimaye Sugu alikuwa fed up akaona bora aliache fupa lilomshinda fisi japo kwa maumivu sana ila he had to do it sababu alikuwa tayari kashapata personality kubwa katika medani za kisiasa nchini.

Sote tunajua maumivu ya kuachana ila mbaya zaidi kwa watu mliopendana sana ila mmoja aka give up inakuwa ngumu kwa mwengine kukubali hali halisi. Mbaya zaidi kwa miaka ambayo wamekuwa pamoja na umri ambao watu hao wako nao plus mtoto. Kuna umri ukifika wanaume we only need peace of mind na tunatarajia tukioa tuipate hio peace of mind kwa wake zetu..

Kwa nachokiona Faiza ana haki ya kuchanganyikiwa zaidi sababu ndie looser katika kuachana huko.

1.Kwanza alikuwa dramatic akitegemea hataachwa matokeo yake kaachwa vizuri tu regardless ya ndoa na mtoto.

2. Pili ameachwa kipindi ambacho Sugu amefika kwenye peak ya mafanikio kimaisha he is no longer broke or going to be broke ever.

3.Umri wake umesonga na ni single mother haoleki tena kashazeeka nobody eyes on her like before.

4. I have a doubt about his financial situation huenda anapitia financial struggles sana ili ku keep up with her big name.

5. Amekwisha turnish her image kwenye public so watu wanampuuza tokana na matendo yake na drama zake toka ameachwa.
Kwani huyo Faiza Hilo jina kubwa alilipata kwa shughuli/alikua anaefanya kazi gani hapa mjini?
 
faiza anamatatizo ya akili

pengine angefungwa kwamba apelekwe mirembe

mitusi yote ile kisa picha tu??
Ety sugu ni mfi**ji...alijuaje kama na yeye hakuwa mfir**j...

pumbav zake..sugu angemuweka kwanza jela ili apate akili..
 
Mwanamke lazima awe na wivu.. mwanae kaongea na Rais ulitegemea yule mwanamke akae kimya? Lazima akiwashe ili aonekana kuwa na yeye yupo na yeye ndio kamzaa sasha…

Yaani hapo hakuna kumyafuta mchawi mwanamke yoyote lazima afanye vile..

Ukitembea na mwanamke mtaani lazima atajipitisha kwa mkeo lzima atafanya juu chini ili mkeo ajue.
Akili zenu baadhi ya wanawake Ni hovyo sana.
 
Huyu dada Faiza muda mrefu amekua aki hangaika sana toka Sugu amemuacha. Ni kama hajakubali matokeo ameshawahi fanya vituko vingi ila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.
Battle imehamia kwa Happy ambae ameolewa rasmi na Sugu. Issue kubwa ni hataki picha ya mtoto wake ( aliezaa na Sugu) ipostiwe na Happy. Japo kwa upande mwingine anaweza kua na hoja ya msingi kwasababu Happy hana kawaida ya kumpost Sasha sio kwenye birthday wala matukio yoyote yale, wakati hata Sasha akienda Mbeya kwa baba ake Happy hajawahi kuonyesha furaha wala kumpost . Faiza anachohoji iweje leo Happy apige picha pamoja na raisi akijibaraguza kua Sasha ni mwanae?
Kuna mengi sana nyuma ya hii triangle ya Sugu, Faiza na Happy na mtoto Sasha.
Nafikiri pia ni wakati sasa Faiza apewe msaada , maana ni dhahiri ana mental issues. Mambo anayofanya sio ya kawaida anakoelekea anaweza kumdhuru huyu mtoto ( Sasha) as a way to get back at Sugu na Happy.....
Sasa utalazimishaje kupost mtoro wa mtu ambaye hamuelewani?? Happy mkorofi wa kisirisiri
 
Mi watu miyeyusho ndo mambo yangu mkuu.

Ile kupelekana puta, maneno ya shombo mchana kweupe jua linawaka hayon ndiyo mambo yangu
Haki umenichekesha sana... Et kupelekana puta mchana kweupe😂😂😂
 
Matusi anayomporomosheaga Sugu; angekuwa ni mwanaume legelege angemfuta kabisa na Sasha kwenye maisha yake; hataki kumuona Sugu na amani sijui. Sasa anamtumia mtoto kwenye upuuzi wake ili iweje? Yule bana alikuwa anatikisa kiberiti kwa Sugu, akakuta kimejaa. Uchungu wote ule haamini kama Sugu kashamsahau. Mtu mwenye uchungu/majeraha ya moyo, ni mtu wa kuogopwa sana; anaweza akafanya kitu mkabaki midomo wazi. "Acceptance" ni ya muhimu sana kwenye maisha
I don't why can't she accept defeat kua Sugu is no longer hers!Kwenye maisha Kuna kuacha na kuachwa!either kifo n.k yeye alidhani Joseph hatamuoa Happy maana alimdhalilisha mpk ndoa yake ya mwanzo lakini Mungu amempa Tena Happy Tena pakubwa Sanaa ,Faiza anaumia Yule haoni shida kuua!
Alichomtendea Sasha kitamgharimu Sana!afu anaonekana anamtia Sumu Sana mwanawe Ila inashindwa kukolea!

Mimi ningekua happy to be honest nisingemtaka Yule mtoto kwangu au Akija adeal na baba ake tu, maana kudeal na kichaa Kama Yule it needs Mungu Sanaa!!!maana Akija kutembea ht akiumwa ntakua na mawazo na presha na mama yake!
 
Huyu Dada Ni mgonjwa..kweli Tena...haachi mambo ya kipuuzi!!
 
Sugu asimame kama baba, aache upumbavu, anajua Faiza ni mtu asiye na brake, anatakiwa sasa aache kufanya mambo ambayo yatamfanya yule dada kichaa chake kipande, this is for sake ya mtoto wake, aangalie maisha ya kina Paula sijui yalianza hivi kwenye mitandao and end up worse ...Sugu don't fail when comes kwa watoto wako, mke wako asingepost huyo mtoto wala msingefika hapa, Taita Happy ni mke wako lakini ipo siku unaweza tengana naye na ikawa history kama ilivyo kwa huyo mwingine, lakini watoto wako forever will remain your blood..
 
Back
Top Bottom