Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa huu uwendawazimu wa Faiza, hata ikitokea bahati mbaya Sugu aachane na Happy (God forbid), kuliko kumrudia Faiza I am sure mwamba Sugu ata prefer kupiga puchu tu.
Kwani huyo Faiza Hilo jina kubwa alilipata kwa shughuli/alikua anaefanya kazi gani hapa mjini?Kilele hicho si kingine bali ni kuvumilia upumbavu wake kwa muda mrefu sana.
Sugu was an ambitious man na alikuwa so freaking real na Faiza though personality ya Faiza inaonesha ni ile ya narcissist ambaye huwa anaku downgrade partner wake as huwezi fanya lolote bila yeye, or like ukiwa nae she feels like she is upgrading you so without her you are nothing.
Hii hali makes us Men feel so miserable haswa tukiwa down on earth ila mpenzi wako anakuwa sio mtu wa ku appreciate uwepo wako katika maisha yake licha ya jitihada unazofanya. Unamuonesha upendo haswa you buy her stuff ila ana kale kashetani ka ukorofi tu.
Kimsingi mwanzoni lilikuwa linamtesa sana Sugu especially kipindi ambacho Faiza alikuwa mainstream ana heshima kubwa tu nafikiri level za Madam Ritha zile. Imagine unavumilia drama za demu wako mwisho unaamua kuoa kabisa ukifikiri mambo yatatulia ila haiwi hivyo. Hatimaye Sugu alikuwa fed up akaona bora aliache fupa lilomshinda fisi japo kwa maumivu sana ila he had to do it sababu alikuwa tayari kashapata personality kubwa katika medani za kisiasa nchini.
Sote tunajua maumivu ya kuachana ila mbaya zaidi kwa watu mliopendana sana ila mmoja aka give up inakuwa ngumu kwa mwengine kukubali hali halisi. Mbaya zaidi kwa miaka ambayo wamekuwa pamoja na umri ambao watu hao wako nao plus mtoto. Kuna umri ukifika wanaume we only need peace of mind na tunatarajia tukioa tuipate hio peace of mind kwa wake zetu..
Kwa nachokiona Faiza ana haki ya kuchanganyikiwa zaidi sababu ndie looser katika kuachana huko.
1.Kwanza alikuwa dramatic akitegemea hataachwa matokeo yake kaachwa vizuri tu regardless ya ndoa na mtoto.
2. Pili ameachwa kipindi ambacho Sugu amefika kwenye peak ya mafanikio kimaisha he is no longer broke or going to be broke ever.
3.Umri wake umesonga na ni single mother haoleki tena kashazeeka nobody eyes on her like before.
4. I have a doubt about his financial situation huenda anapitia financial struggles sana ili ku keep up with her big name.
5. Amekwisha turnish her image kwenye public so watu wanampuuza tokana na matendo yake na drama zake toka ameachwa.
Akili zenu baadhi ya wanawake Ni hovyo sana.Mwanamke lazima awe na wivu.. mwanae kaongea na Rais ulitegemea yule mwanamke akae kimya? Lazima akiwashe ili aonekana kuwa na yeye yupo na yeye ndio kamzaa sasha…
Yaani hapo hakuna kumyafuta mchawi mwanamke yoyote lazima afanye vile..
Ukitembea na mwanamke mtaani lazima atajipitisha kwa mkeo lzima atafanya juu chini ili mkeo ajue.
Wahuni sio watu wahuni wanapekecha sasa ile sio mchezo ndio maana wahuni kokote tunahusudiwaMwamba sijui alimfanya nn binti wa watu mpaka leo hajakubali matokeo wahuni sio watu wazuri.
Sasa utalazimishaje kupost mtoro wa mtu ambaye hamuelewani?? Happy mkorofi wa kisirisiriHuyu dada Faiza muda mrefu amekua aki hangaika sana toka Sugu amemuacha. Ni kama hajakubali matokeo ameshawahi fanya vituko vingi ila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.
Battle imehamia kwa Happy ambae ameolewa rasmi na Sugu. Issue kubwa ni hataki picha ya mtoto wake ( aliezaa na Sugu) ipostiwe na Happy. Japo kwa upande mwingine anaweza kua na hoja ya msingi kwasababu Happy hana kawaida ya kumpost Sasha sio kwenye birthday wala matukio yoyote yale, wakati hata Sasha akienda Mbeya kwa baba ake Happy hajawahi kuonyesha furaha wala kumpost . Faiza anachohoji iweje leo Happy apige picha pamoja na raisi akijibaraguza kua Sasha ni mwanae?
Kuna mengi sana nyuma ya hii triangle ya Sugu, Faiza na Happy na mtoto Sasha.
Nafikiri pia ni wakati sasa Faiza apewe msaada , maana ni dhahiri ana mental issues. Mambo anayofanya sio ya kawaida anakoelekea anaweza kumdhuru huyu mtoto ( Sasha) as a way to get back at Sugu na Happy.....
Baba Li utafikiri hayupo jamani🤣🤣Ishu sio picha...kumove on ndo shida..
Baba Sasha this baba Sasha that[emoji16][emoji16]
Huku kila leo anamlilia huyo Mfi**ji, anampenda kufa.faiza anamatatizo ya akili
pengine angefungwa kwamba apelekwe mirembe
mitusi yote ile kisa picha tu??
Ety sugu ni mfi**ji...alijuaje kama na yeye hakuwa mfir**j...
pumbav zake..sugu angemuweka kwanza jela ili apate akili..
Sina hakika na shughuli gani alikuwa anafanya ila nachokumbuka alikuwa ni inspirational kwa ma super ladys hapa townKwani huyo Faiza Hilo jina kubwa alilipata kwa shughuli/alikua anaefanya kazi gani hapa mjini?
Haki umenichekesha sana... Et kupelekana puta mchana kweupe😂😂😂Mi watu miyeyusho ndo mambo yangu mkuu.
Ile kupelekana puta, maneno ya shombo mchana kweupe jua linawaka hayon ndiyo mambo yangu
I don't why can't she accept defeat kua Sugu is no longer hers!Kwenye maisha Kuna kuacha na kuachwa!either kifo n.k yeye alidhani Joseph hatamuoa Happy maana alimdhalilisha mpk ndoa yake ya mwanzo lakini Mungu amempa Tena Happy Tena pakubwa Sanaa ,Faiza anaumia Yule haoni shida kuua!Matusi anayomporomosheaga Sugu; angekuwa ni mwanaume legelege angemfuta kabisa na Sasha kwenye maisha yake; hataki kumuona Sugu na amani sijui. Sasa anamtumia mtoto kwenye upuuzi wake ili iweje? Yule bana alikuwa anatikisa kiberiti kwa Sugu, akakuta kimejaa. Uchungu wote ule haamini kama Sugu kashamsahau. Mtu mwenye uchungu/majeraha ya moyo, ni mtu wa kuogopwa sana; anaweza akafanya kitu mkabaki midomo wazi. "Acceptance" ni ya muhimu sana kwenye maisha
Anhaa.Ndugai Nation....Mgogo
Kwa mnyamani buguruniKwanza niambie unakaa mtaa gani nione kama tupo level moja?[emoji28]
Ha haha haha....Baba Li hana mvutoBaba Li utafikiri hayupo jamani[emoji1787][emoji1787]