Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila lifaiza linajua kutetemesha mitandao asee[emoji2][emoji2][emoji28]
Halafu kuna kitu nimenotice, huyu happy anamtumia Faiza kwenye biashara zake za chakula....Leo kajaza maclip kibao jinsi msosi wake mtamu, mpeni order mmh...
Faiza angempotezea tu sema ndo hivo yy anamgombania baba Sasha wake[emoji28][emoji28]
Wanyaturu na wanyiramba mitusi Kama yote,adabu kisoda,umalayaSio mrangi faiza ni mnyaturu sjui. Halaf warang hatupo hivo
Kutangulia sio kufika atakwambia yeye alishasafisha utumbo, ila malipo yake huwa hapa hapa, tena wakati ndiyo utamu unaanza naye Mungu anafanya yake.Halafu tabia ya kutukana watu kuwa wagumba hakomi tu...karudia tena kwa diva....
Amuulize muna love alimnanga wema sasa hivi wapo sawa.
Kaka yangu alioa mrangi alikuwa mtu poa sana R.I.P wifi yangu kipenzi, huyo naye labda anayakeMrangi na mgogo huyuu!
Wagogo akili kisoda, warangi ndo wale wale wengi wao!wasumbufu mnooo,mmekumbuka Kaka angu alizaa na mrangi [emoji16][emoji16][emoji16]yaani anatuplekesha mnoo!huwezi hata mtoto hataki aje kwetu afu anamtia sumu mnoo mtoto!!warangi nuksi kabisaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂Wanyaturu hatuna watu wa akili ile 😀😀 msimkatae ndugu yenu bwana!
Hawamsapoti bali wanamuangamiza, bado hujawajuwa wabongo vizuri.Umeona eehhh!huyu demu sijui Ana shida Wapi!anajiona yeye kwa kua kazaa baasi amepataa sana!anakera mnoo!
Mi binafsi namuonaga kichaa na wanaomsapoti pia siwaelewi
Shida iko hapa na siyo mtoto, mtoto ni cover tu.hata mie thimjui simjuiga huyo mke wa sugu ... anafananaje kwani huyo faiza km ni mdhuuri si aolewe tu na diamond jamaniiii??...yule jamaa hapingi demu yeyote!
Tanzania my beloved country, what is wrong with your people! Wenzetu wanashughulika na AI sisi tunazungumzia chupiila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.
Kuna jukwaa la Intelligence, kuna jukwaa la technology yote hayo hujayaona umeona uje umwage mauno huku kupangia watu cha kuandika?Tanzania my beloved country, what is wrong with your people! Wenzetu wanashughulika na AI sisi tunazungumzia chupi
Mbona Dida aliolewa na Meya kabisa? Unapoona kuna vichaa wanawake basi ujuwe kuna wanaume wa hovyo pia huwa wanaoa majina na siyo mke.Hiyo namba 5 ndio niliiwaza sana hivi mwanaume gani atakayemuoa anaona tabia za mwanamke zilivyo mbovu??!!!yaani huyo faiza kwisha habari alee tu watoto labda wa nje ambao hawajui hata kiswahili kidogo anaweza kuwateka🤣🤣🤣🤣🤣
Nafikiri atamlaumu sana baba yake " baba hukuona wanawake wengine hadi mbegu zangu ukamwaga mule?"Sugu anajuta sana.
Sasha akikua na kujitambua atamlaumu sana mama yake.
Kwahiyo hili ni jukwaa la kuzungumzia chupi chakavuKuna jukwaa la Intelligence, kuna jukwaa la technology yote hayo hujayaona umeona uje umwage mauno huku kupangia watu cha kuandika?
Alisemaga mama Sugu alikua hampendi,Ila ht Mimi nisingemtaka mkwe ambae anavaa chupi anatoka nje kwa malezi yetu y kiafrica ni ngumu Sana,afu Faiza alishazoea maisha ya kujiuza Enzi hizo California na wazungu Leo hii kumbadilisha atake mwenyewe,Sugu tu alidhani anaweza akabadili jiwe kua mkate wakati muda wake bado!ni ngumu mnooo!Wapi aliposhindwa kusimama? Nyie mnataka Sugu amuangalie tu Faiza akifanya ujinga wake kisa anampenda bintiye? Na Sugu kipindi kile si alifight sana apewe custody ya mtoto, ila watu wakaingilia kati mtoto akabaki na mama yake? As much as Sasha is important to him; his wife and his boys are very important to him too. Kushindikana kwa mahusiano yao; isiwe sababu ya mke na watoto wake kuumia. Happy na watoto wake hawana hatia, kama ambavyo Sasha hana hatia. Na hata Sugu anaelewa kuwa mkewe ana moyo wa nyama; kashatukanwa tu; wacha na yeye atoe nyongo kidogo. Amevumilia mengi sana tu, kwa sababu ya upendo na heshima kwa mumewe
Happy amekula matusi ya kila aina na anakaa kimya; yaani unataka Sugu aangalie mkewe akilia ndani na watoto wake kutukanwa kisa tu Sasha ajisikie vizuri: hell no. Kuna siku Faiza aliandikaga eti anatamani asikie mama ake Sugu amefariki au hotel yake imeungua. Haya na mama yake na hotel yake walimfanyia kitu gani? Yaani Sugu avumilie yote hayo eti kisa Sasha? Upumbavu wa Faiza, ataulipia yule mtoto wake; unless abadilike though tayari kuna damage imeshatokea. Hata hizo child support anazolalamikia, wakati mwingine ni mdomo wake mchafu ndiyo maana Sugu anakaa tu kimya. Yeye sio wa kwanza kuzaa na huyo mtoto wake ni mtoto tu kama walivyo watoto wengine wa Sugu. Atavuna jeuri yake
Hata ningekua Mimi nisingemposti ni ngumu mtoto Kama wa Faiza mama wa kambo amchukie alivyo mtata vile na katoto kenyewe kanaone kambea mbea na kashankupe kale kashatiwa Sumu.Nafikiri kinachosababisha yule step mom wa SASHA kutokumpost ni yale matusi ya faiza kwa happy, mara mgumba, mara zaa wako, yaan faiza ana hasira juu ya maisha ya sugu na mkewe bila sababu. Ukute happy anampenda tu mtoto wa mumewe ila faiza kichaa ndo tatizo
Kuna watu ni wapumbavu hivyo ukiona wanashanikia upumbavu uaishangae.Umeona eehhh!huyu demu sijui Ana shida Wapi!anajiona yeye kwa kua kazaa baasi amepataa sana!anakera mnoo!
Mi binafsi namuonaga kichaa na wanaomsapoti pia siwaelewi