Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Hapo tutaenda sawa. Na ngumi si unajua kidogo na kutumia chupa na mazuna hakukupigi chenga?Kwa mnyamani buguruni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo tutaenda sawa. Na ngumi si unajua kidogo na kutumia chupa na mazuna hakukupigi chenga?Kwa mnyamani buguruni
Kwani Kila siku anavyomchambaga Sugu na mkewe huwa wamempost Sasha? Anavyowadhalilisha wale watoto wa kiume wa Happy; wale sio watoto wa Sugu pia, au Sasha ndiyo ana thamani sana? Aisee kwanza Happy ni mvumilivu sana hadi nikawa najiuliza huyu dada ana moyo wa aina gani; miaka na miaka Faiza anamtukana anamnyamazia tu. Kamjibu kidogo tu, kichaa kimempanda. Sugu alishasema mwaka huu anamlinda mkewe dhidi ya cyber bullying. Yale matusi anayomtukanaga Sugu haki angekuwa baba mwingine angepotea tu na kumwachia mtoto.Sugu asimame kama baba, aache upumbavu, anajua Faiza ni mtu asiye na brake, anatakiwa sasa aache kufanya mambo ambayo yatamfanya yule dada kichaa chake kipande, this is for sake ya mtoto wake, aangalie maisha ya kina Paula sijui yalianza hivi kwenye mitandao and end up worse ...Sugu don't fail when comes kwa watoto wako, mke wako asingepost huyo mtoto wala msingefika hapa, Taita Happy ni mke wako lakini ipo siku unaweza tengana naye na ikawa history kama ilivyo kwa huyo mwingine, lakini watoto wako forever will remain your blood..
Anamuharibia sana yule mtoto na wendawazimu wake. Happy ndiyo mke wa Sugu periodI don't why can't she accept defeat kua Sugu is no longer hers!Kwenye maisha Kuna kuacha na kuachwa!either kifo n.k yeye alidhani Joseph hatamuoa Happy maana alimdhalilisha mpk ndoa yake ya mwanzo lakini Mungu amempa Tena Happy Tena pakubwa Sanaa ,Faiza anaumia Yule haoni shida kuua!
Alichomtendea Sasha kitamgharimu Sana!afu anaonekana anamtia Sumu Sana mwanawe Ila inashindwa kukolea!
Mimi ningekua happy to be honest nisingemtaka Yule mtoto kwangu au Akija adeal na baba ake tu, maana kudeal na kichaa Kama Yule it needs Mungu Sanaa!!!maana Akija kutembea ht akiumwa ntakua na mawazo na presha na mama yake!
Aiseeeee kumbeSio mrangi faiza ni mnyaturu sjui. Halaf warang hatupo hivo
Heheheee angekua wa Tanga tunge mdisown na kumbadilisha kwa kikapu cha iliki.Anhaa.
Nilidhani ni mtu wa Tanga hivi?
Japo siamini sana tabia kuwa influenced na kabila..
Fanyia marekebisho hapo Mkuu, ama siku nyingine utumie kiswahili tu. Sawa sawa?Kabisaa yaani atajiskia vibaya Sana!
Monalisa alivyoachana na George Tyson(Marehemu)nadhani Huyu baba alianza maisha mapya na mke mwingine but we never had anything kuhusu wao!
Faiza nadhani anataka umaarufu kwa nguvu Sana!
Yaani kichaa plus plus
Daaaah mwamba kama vle umenizungumzia aiseee kumbe wengi sana tunapitia haya.Tuliachiwa note
Kosea kuoa mtaachana ila siyo kumzalisha mtu miyeyusho.
Yaani hamjaongea almost miezi miwili zaidi ya kutuma pesa na anajibu tu 'Seen" 'Received' yaani hata kuambiwa anaumwa hakuna ila post status labda unaonekana upo sehemu ya furaha au unafanya kitu cha furaha.
Sms inayokuja 'Mtoto anaumwa huku we unakula raha tu' ukipiga simu uongee na mtoto unatextiwa tupo hospital hatuwezi ongea. Nitajie hospital nije, tumeshatoka we endelea kula raha.
Hiyo ni fiction scenario.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wa kawaida fazia Ila mweupe tuuhata mie thimjui simjuiga huyo mke wa sugu ... anafananaje kwani huyo faiza km ni mdhuuri si aolewe tu na diamond jamaniiii??...yule jamaa hapingi demu yeyote!
[emoji16][emoji16][emoji16]yaani kingereza Cha intavyuu anatumia kutukana watu wazima!" kindly mom Happy can u please delete my photo coz my mom practical mad at its core, on my birthday u didn't send my photo, when i came to mbeya u never send my photo, why now, real? Don't do that" halafu kakasmile[emoji16][emoji16][emoji16]
Jana nimecheka kama mwehuu, ila Faiza anajua kunipa raha[emoji1732][emoji1732][emoji1787][emoji16]
Kiki ni Suguu!!kitu Cha Mbeya hicho[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Baba Li utafikiri hayupo jamani[emoji1787][emoji1787]
Sugu Kuna sehemu ameshindwa kusimama kama father, mtazunguka kote but Sugu angesimama kama baba huu ushenzi ungeisha sio kwa huyo na wala kwa yule,Kwani Kila siku anavyomchambaga Sugu na mkewe huwa wamempost Sasha? Anavyowadhalilisha wale watoto wa kiume wa Happy; wale sio watoto wa Sugu pia, au Sasha ndiyo ana thamani sana? Aisee kwanza Happy ni mvumilivu sana hadi nikawa najiuliza huyu dada ana moyo wa aina gani; miaka na miaka Faiza anamtukana anamnyamazia tu. Kamjibu kidogo tu, kichaa kimempanda. Sugu alishasema mwaka huu anamlinda mkewe dhidi ya cyber bullying. Yale matusi anayomtukanaga Sugu haki angekuwa baba mwingine angepotea tu na kumwachia mtoto.
Sugu moto huohuo; komesha hawa mababy momma wanaofikiri wanaweza kuwa-manipulate baby daddies wao kisa watoto. Ndoa kibao hazina amani na nyingine zinavunjika kisa baby mommas drama. Sugu na Happy wangekuwa legelege wangeshaachana zamani; ila wapo moto chini. Kama ambavyo unataka Sugu amprotect Sasha; vivyohivyo ni wajibu wa Sugu kuwalinda mkewe na watoto wake wa kiume kwa namna yoyote Ile. Ndoa na iheshimiwe na watu wote; ukiachwa achika, ukiacha achilia kweli.
Kuna ka ukweli hapo yawezekana😂😂😂 mimi mwenyewe kuna bidada nilikuwa namfikisha mpaka sasa amezaa na mwanaume mwingine ila bado ananicheki na anaongea wazi kumiss mambozi na tuliachana kiutata mi nilisafiri VG nje ya nchi nilikaa sana alichukia huyo tukana sanaSugu inaonekana alimfikisha Faiza kilele ambacho ajawah fikishwa mpk leo na mwanaumee yyt ktk mapenzi ,ndio maana ana haha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu tunapitia mengi..mimi wa kwangu kila siku anaibuka na jipya,lawama mtindo mmoja.Tuliachiwa note
Kosea kuoa mtaachana ila siyo kumzalisha mtu miyeyusho.
Yaani hamjaongea almost miezi miwili zaidi ya kutuma pesa na anajibu tu 'Seen" 'Received' yaani hata kuambiwa anaumwa hakuna ila post status labda unaonekana upo sehemu ya furaha au unafanya kitu cha furaha.
Sms inayokuja 'Mtoto anaumwa huku we unakula raha tu' ukipiga simu uongee na mtoto unatextiwa tupo hospital hatuwezi ongea. Nitajie hospital nije, tumeshatoka we endelea kula raha.
Hiyo ni fiction scenario.
Wapi aliposhindwa kusimama? Nyie mnataka Sugu amuangalie tu Faiza akifanya ujinga wake kisa anampenda bintiye? Na Sugu kipindi kile si alifight sana apewe custody ya mtoto, ila watu wakaingilia kati mtoto akabaki na mama yake? As much as Sasha is important to him; his wife and his boys are very important to him too. Kushindikana kwa mahusiano yao; isiwe sababu ya mke na watoto wake kuumia. Happy na watoto wake hawana hatia, kama ambavyo Sasha hana hatia. Na hata Sugu anaelewa kuwa mkewe ana moyo wa nyama; kashatukanwa tu; wacha na yeye atoe nyongo kidogo. Amevumilia mengi sana tu, kwa sababu ya upendo na heshima kwa mumeweSugu Kuna sehemu ameshindwa kusimama kama father, mtazunguka kote but Sugu angesimama kama baba huu ushenzi ungeisha sio kwa huyo na wala kwa yule,
Sugu ndiye Tatizo hapa..
Pole jamani. Unaweza kusimulia kidogo (kama hutojali)Mkuu tunapitia mengi..mimi wa kwangu kila siku anaibuka na jipya,lawama mtindo mmoja.
Hiyo namba 5 ndio niliiwaza sana hivi mwanaume gani atakayemuoa anaona tabia za mwanamke zilivyo mbovu??!!!yaani huyo faiza kwisha habari alee tu watoto labda wa nje ambao hawajui hata kiswahili kidogo anaweza kuwateka🤣🤣🤣🤣🤣Kilele hicho si kingine bali ni kuvumilia upumbavu wake kwa muda mrefu sana.
Sugu was an ambitious man na alikuwa so freaking real na Faiza though personality ya Faiza inaonesha ni ile ya narcissist ambaye huwa anaku downgrade partner wake as huwezi fanya lolote bila yeye, or like ukiwa nae she feels like she is upgrading you so without her you are nothing.
Hii hali makes us Men feel so miserable haswa tukiwa down on earth ila mpenzi wako anakuwa sio mtu wa ku appreciate uwepo wako katika maisha yake licha ya jitihada unazofanya. Unamuonesha upendo haswa you buy her stuff ila ana kale kashetani ka ukorofi tu.
Kimsingi mwanzoni lilikuwa linamtesa sana Sugu especially kipindi ambacho Faiza alikuwa mainstream ana heshima kubwa tu nafikiri level za Madam Ritha zile. Imagine unavumilia drama za demu wako mwisho unaamua kuoa kabisa ukifikiri mambo yatatulia ila haiwi hivyo. Hatimaye Sugu alikuwa fed up akaona bora aliache fupa lilomshinda fisi japo kwa maumivu sana ila he had to do it sababu alikuwa tayari kashapata personality kubwa katika medani za kisiasa nchini.
Sote tunajua maumivu ya kuachana ila mbaya zaidi kwa watu mliopendana sana ila mmoja aka give up inakuwa ngumu kwa mwengine kukubali hali halisi. Mbaya zaidi kwa miaka ambayo wamekuwa pamoja na umri ambao watu hao wako nao plus mtoto. Kuna umri ukifika wanaume we only need peace of mind na tunatarajia tukioa tuipate hio peace of mind kwa wake zetu..
Kwa nachokiona Faiza ana haki ya kuchanganyikiwa zaidi sababu ndie looser katika kuachana huko.
1.Kwanza alikuwa dramatic akitegemea hataachwa matokeo yake kaachwa vizuri tu regardless ya ndoa na mtoto.
2. Pili ameachwa kipindi ambacho Sugu amefika kwenye peak ya mafanikio kimaisha he is no longer broke or going to be broke ever.
3.Umri wake umesonga na ni single mother haoleki tena kashazeeka nobody eyes on her like before.
4. I have a doubt about his financial situation huenda anapitia financial struggles sana ili ku keep up with her big name.
5. Amekwisha turnish her image kwenye public so watu wanampuuza tokana na matendo yake na drama zake toka ameachwa.