Ile picha ina watu 3, Mama Samia, Happy na Sasha. Sasa wewe umejuaje amempost Sasha?Ila on the other side hatak mwanae hapostiwe ..uyo dada happy angeachanaga nae tyuu mana Faiza ypo clear mbna hatak amposti mwanae
Yani sugu alisuguaa panapotakiwaa...!!Sugu inaonekana alimfikisha Faiza kilele ambacho ajawah fikishwa mpk leo na mwanaumee yyt ktk mapenzi ,ndio maana ana haha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Well saidWapi aliposhindwa kusimama? Nyie mnataka Sugu amuangalie tu Faiza akifanya ujinga wake kisa anampenda bintiye? Na Sugu kipindi kile si alifight sana apewe custody ya mtoto, ila watu wakaingilia kati mtoto akabaki na mama yake? As much as Sasha is important to him; his wife and his boys are very important to him too. Kushindikana kwa mahusiano yao; isiwe sababu ya mke na watoto wake kuumia. Happy na watoto wake hawana hatia, kama ambavyo Sasha hana hatia. Na hata Sugu anaelewa kuwa mkewe ana moyo wa nyama; kashatukanwa tu; wacha na yeye atoe nyongo kidogo. Amevumilia mengi sana tu, kwa sababu ya upendo na heshima kwa mumewe
Happy amekula matusi ya kila aina na anakaa kimya; yaani unataka Sugu aangalie mkewe akilia ndani na watoto wake kutukanwa kisa tu Sasha ajisikie vizuri: hell no. Kuna siku Faiza aliandikaga eti anatamani asikie mama ake Sugu amefariki au hotel yake imeungua. Haya na mama yake na hotel yake walimfanyia kitu gani? Yaani Sugu avumilie yote hayo eti kisa Sasha? Upumbavu wa Faiza, ataulipia yule mtoto wake; unless abadilike though tayari kuna damage imeshatokea. Hata hizo child support anazolalamikia, wakati mwingine ni mdomo wake mchafu ndiyo maana Sugu anakaa tu kimya. Yeye sio wa kwanza kuzaa na huyo mtoto wake ni mtoto tu kama walivyo watoto wengine wa Sugu. Atavuna jeuri yake
Jamani si birthday lazima mtoto tumvishe pampersToka faiza avae pampers nimempa -ve kwenye maisha yake
Sugu ashaona Faiza ni kichaa ndo maana hana muda naee yani Jamaa anampotezeaa mpaka faiza roho inamuuma.. Huyo happy nae ndo komesha sasa kama hamuoni anayoyafanyaa toka juzi anapost mambo ya Biashara yake tuu hana habarii kama hakijatokea kitu faizaa katukanaa wee mwisho wa siku kaja kuomba mwenyeww msamaha.. Too bad kamuingiza na mwanas kwenye huu Ugomvi yani BADDEST THING OF ALL laiti angejua Only God knows what tomorrow shall bring asingepandikiza Huu ugomvi wake na happy au sugu kwa hutu Mtoto kwa nchi zilizoserious na haki za watoto yani Jela inakuitaa mchana kweupe.Faiza Kila siku anatafutaga tu maneno ili atoe uchungu wake wa kuachwa na Sugu; shida zote hizo chanzo ni kwamba hajakubaliana kuwa Sugu kashamove on. Remember the other day Happy anatoa ushuhuda jinsi alivyompata mtoto wake kimiujiza; yeye kashamjibu sijui Sasha ni mtoto wa fyoko fyoko sio wa muujiza, mara wa kwake ndiyo mtoto wa dhahabu. Hao watoto wa Happy anawasema vibaya kila siku, bado matusi kwa Sugu na mkewe. Hata Mimi ningekuwa Happy ningetafuta tu cha kumkomeshea sina moyo wa kuvumilia uchizi wake kila siku; alijua tu akimpost Sasha kitamuuma. Faiza anajikutaga yeye ndiyo fyatu; sasa alie apasuke huko alipo ila mtoto kashapostiwa. Tena Bora hata Happy amempost mtoto kwenye kitu +ve.
Uolewe na mwanaume mwenye baby mama kama Faiza, afu mume awe hana msimamo; ndoa utaikimbia huku unaipenda. Sugu endelea kukaza baba, alikuacha mwenyewe kwa matusi na kejeli, sasa hivi anahara bata. Happy mbaya ila ndiyo kaolewa; naona Faiza akiona ile Happiness Mbilinyi anatamani kufa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
una mambo ya kizamanWe utakuwa haujielewi umeshakula limbwata ya kutosha!
Nipo Dom miaka kadhaa sasa ila Warangi ni noma!!
Wana huruma ajabu.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Mkwe huu ni uzandiki!Jitahidi kuangalia mikoba yake mara kwa mara kwa kushtukiza.
πππMkwe huu ni uzandiki!
ahahahahahahahhaha
Kuna jamaa mbona alizaa nae piaa nae kaingia mitinii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Faizaa kabaki kujiongeleshaa tu ooh amaa super woman..This is sad, kumtumia mtoto kama Ngao ya kupata attention ya EX wako.....kwani Faiza yuko single? embu nielewesheni? lol
Kuna jamaa mbona alizaa nae piaa nae kaingia mitinii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Faizaa kabaki kujiongeleshaa tu ooh amaa super woman..
Exactly kabila lile lina shida sehemu,yule jamaa wa mwanza uvumilivu ulishamshinda,tuombe sana sugu asifikie hukoTatizo kabila la faiza.
Binafsi Hilo kabila sijawahi kulielewa wanawake wake
Daaah mndewa unanisemea maisha yangu duuuh, [emoji119]We utakuwa haujielewi umeshakula limbwata ya kutosha!
Nipo Dom miaka kadhaa sasa ila Warangi ni noma!!
Wana huruma ajabu.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
ππππKitendo Cha kumrekodi mtoto amnange stepmom wake kimedhihirisha kwamba dada anahitaji matibabu ya afya ya akili
Hata mm mwnyw nimeshangaa, anajipa umuhimu kwenye maisha ya mtu ambaye hamjui hata kidogoAcha hii mambo mzee....Do you even know the guy?
Kwa kweli wamama wenyewe wale wa nyanda za juu kusini, full conservatives. Afu leo anakuona mkwewe unajipost na πππ mtandaoni; hawakuelewi kabisa. Lakini alimshikia bango mama ake Sugu utafikiri mke mwenzie; afu mtoto wa kiume ukamuongelee shit mama yake public na kutamani hata afe kisa tu umemzalia kabinti aaah weeeeeee.Alisemaga mama Sugu alikua hampendi,Ila ht Mimi nisingemtaka mkwe ambae anavaa chupi anatoka nje kwa malezi yetu y kiafrica ni ngumu Sana,afu Faiza alishazoea maisha ya kujiuza Enzi hizo California na wazungu Leo hii kumbadilisha atake mwenyewe,Sugu tu alidhani anaweza akabadili jiwe kua mkate wakati muda wake bado!ni ngumu mnooo!
Life style ya Faiza watoto wa mjini wanaijua Yule ni kahaba mstaafu(jamani nimeacha umbea miye)binamu byeeeeee[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji122][emoji4][emoji4][emoji125][emoji1732][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Baba ake Li kama hayupo duniani jamani na hata huyo Li naona kimya, Kila siku ni Sasha tu.Sugu ashaona Faiza ni kichaa ndo maana hana muda naee yani Jamaa anampotezeaa mpaka faiza roho inamuuma.. Huyo happy nae ndo komesha sasa kama hamuoni anayoyafanyaa toka juzi anapost mambo ya Biashara yake tuu hana habarii kama hakijatokea kitu faizaa katukanaa wee mwisho wa siku kaja kuomba mwenyeww msamaha.. Too bad kamuingiza na mwanas kwenye huu Ugomvi yani BADDEST THING OF ALL laiti angejua Only God knows what tomorrow shall bring asingepandikiza Huu ugomvi wake na happy au sugu kwa hutu Mtoto kwa nchi zilizoserious na haki za watoto yani Jela inakuitaa mchana kweupe.
Faiza alishazaa na jama mwingine sijui nae yalimshindaa na Faiza HAWEZI KUMOVE ON KAMWE...mafanikio na maisha mazuri ya sugu yanamuuma kuliko kawaida ila Jambo zuri ni sugu na mke wake wanajua how to play smart.
Walikutana facebook. πSugu anajuta kuokoteza mtaani!
Iwe ni fundisho kwa wanaume wa Kibongo wanaotaka mwanamke wa kuoa/kuzaa naye.