GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Unataka ushahidi gani zaidi ya huo bibie malkia? Kama wewe unao kaa nao ukafugie majini ya kwenda ghazaOya usinipotezee muda Sasa. Nshaona we kilaza wala huelewi swali linataka nini na unajibu nini.
Hiyo 4/6BC una ushahidi ni huo mwaka? Usinitajie tajie tu mwaka weka ushahidi.
To be honest, sijawahi kupiga Kura..Nategemea Nianze uchaguzi ujao, Ila umri sio kikwazo
[/QNaona hujasoma yote, niliedit kamalizie
Nimeelewa mwakani unatimiza vigezo vya kupiga kura
Over my dead bodyWananchi wote turudi kwenye dini ya asili...Uislam
roma catholic ndio iliyoanzisha uisilamMbona huweki ushahidi unaishia kutapika ngonjera ulizokaririshwa na papa kupitia taasisi yake?
Vijana hapa wanauliza wewe ni mzaramo, mluguru, mmakonde au mndengereko?
Hapa siyo sehemu yake, bofya link hiyo, utapata jibu:Vijana hapa wanauliza wewe ni mzaramo, mluguru, mmakonde au mndengereko?
Jamanie wanajukwaa kwa alienielewa naombeni anisaidie kumuelewesha huyu kilaza.Unataka ushahidi gani zaidi ya huo bibie malkia? Kama wewe unao kaa nao ukafugie majini ya kwenda ghaza
And to die you shallOver my dead body
Kwa ushahidi upi?roma catholic ndio iliyoanzisha uisilam
Unaanza ubaguzi?FaizaFoxy samahani sana.
Nimekufuatilia comments zako na nyuzi zako huwa naona hauna ile femiminity (qualities or attributes regarded as characteristic of women or girls)
Hata kuna baadhi ya wadau wanasemaga wewe ni mwanamume. Unatuhakikishiaje kuwa wewe kweli ni mwanamke na sio mwanamume?
Si kwa ubaya lakini
Nakuja na mambo ya "compatibility" mazito sana, ntayaleta kidogo kidogo, kwa namba. Utafaidika mengi sana.Umeongelea swala la compatibility/kuoana.. can you elaborate more Madam?
Pili Ikiwa kijana amechumbia In a hurry Kwa msukumo wa Binti/mwanamke , Mwanamke alitegesha akabeba ujauzito bse alitaka ndoa Kwa udi na uvumba, Kijana akapeleka kishika uchumba , Binti kajifungua Maisha yakasonga ila hakujawahi kuwa na amani , wanapata vipato vikubwa /fedha nyingi za mitaji the were financially free Binti alikuwa mwajiriwa Taasisi X Na kijana alikuwa husla wa mtaani ila alikuja PATA kazi part time kwenye taasisi x Anayofanya kazi Binti Kwa ufupi within 2 years wamepoteza more than 30 Million na unstable marriage/courtship Mpaka imepelekea bidada kapoteza kazi nk na mahusiano hayana amani? What can be done ... Na mtoto wao Ako na 2 years now ?
Wakiwa mbali everything is fine ...
mambo ya dini general siyo hapa, hapa vifungu vya dini vyenye uhusiano na mada tu.Kwenye biblia hakuna nabii issa au unamuongelea isaka mtoto wa Ibrahimu?
Hiyo elimu ya kujamiiana, baadae ntakuja na vipengele vya zipi ni sifa za mwanamme na zipi sifa za mwanamke.Je nikweli kwamba MTU unaweza kudumisha ndoa Kama unashuka chumvini Mara kwa Mara.
Tukishuka huko chumvini wanawake wanatuona Kama watu wenye mahaba au wanatuona Kama mabumunda Fulani.
Acha uchokozi!!!🤨Mke wa mtu saa 9 usiku huu yupo social media amefungua na uzi.
Hivi huko kwenye mafunzo ya dini namna ya kuishi na mume mlienda kusomea ujinga.
Nini usichokijuwa? Usifikiri kama wewe hujuwi basi wote hawajuwi.Hadi leo mahusiano ni fumba la imani hakuna anaejua mahusiano hususani ya kimapenzi ni nini maana kila alieingia na kutoka analia, alie ndani analia, anaetaka kuongia tena nae analia.
Hili hata lingekuwa janga la kitaifa serikali bado ingeshindwa
Utazaliwa Dar miaka niliyozaliwa na kukulia mimi halafu usiende hata ughaibuni?Ndio shida yake hyo kujiona amezaliwa dar wakt hv nasiki amejificha kwa mabeberu huko Canada