hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Kwani wewe haukuwa kiongozi katika hiyo saccos
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe haukuwa kiongozi katika hiyo saccos
Naby Keita njoo usome hapoAhsante kwa kuniita. Nimefanikiwa kuwasiliana na alyeubuni mradi huo na kaahidi kuja kutolea ufafanuzi.
Nilitaka ya upande wa kule (uzi wa kule)Naby Keita njoo usome hapo
Hahahaha FaizaFoxy habari za siku?Habari wana JF!!
Mwanzon mwa 2017 aliibuka mwanamama aliyeanzisha uzi Hapa kuhusu VITENDO SACCOS. Mambo mengi yaliendelea na updates nyingi kuonesha kuwa mradi wao Ulikuwa Uko vp!! Mmoja wa wadau Maarufu humu ambaye alionekana kuunga mkono na kuanza kushiriki Ni FaizaFoxy.
Sasa Mimi Kama mdau wa JF ambae Sasa natka kujuwa wamefikia wapi, Faiza naomba tupe mrejesho wa Faida au mradi ulishakufa? Maana wengine kipindi hiko walikuwa wanategemea mirejesho ya wadau waliowekeza ili na wao waamini ili wawekeze huko.... Sasa mbona Hakuna update Toka 28 October 2017? Au humu Hakuna mdau aliyeshiriki ile saccos?
Ni kweli? Je wewe ulikua na maslahi gani kwenye vitendo saccoss?Ahsante kwa kuniita. Nimefanikiwa kuwasiliana na alyeubuni mradi huo na kaahidi kuja kutolea ufafanuzi.
Hehe kajibu kama vile na yeye hakua mhusika......wakati na yeye kwenye ile thread alisema kawekeza kwenye project zao kadhaaNi kweli? Je wewe ulikua na maslahi gani kwenye vitendo saccoss?
Atakuwa alishavuna mbeguHehe kajibu kama vile na yeye hakua mhusika......wakati na yeye kwenye ile thread alisema kawekeza kwenye project zao kadhaa
Hahahaha wanasema kwenye ulimwengu wa sasa muogope Mungu na teknolojia.Hehe kajibu kama vile na yeye hakua mhusika......wakati na yeye kwenye ile thread alisema kawekeza kwenye project zao kadhaa
Nini ambayo "ni kweli?".Ni kweli? Je wewe ulikua na maslahi gani kwenye vitendo saccoss?
Hehe kajibu kama vile na yeye hakua mhusika......wakati na yeye kwenye ile thread alisema kawekeza kwenye project zao kadhaa
Updates za nini?Updates vipi?
"Mungu" yupi? "Mungu" wa Yesu au "Mungu" Yesu?Hahahaha wanasema kwenye ulimwengu wa sasa muogope Mungu na teknolojia.
Wewe nae, mtu anavuna mbegu au anavuna mazao yanayotokana na mbegu alizopanda?Atakuwa alishavuna mbegu
Ulipata bawasiri nini akakutibu?Muuza dawa ya Bawasiri
Na nini, corona?