Mke wa Azory alihojiwa BBC aisee hadi huruma anasema kinachomtesa zaidi ni mtoto wake Mdogo amsumbuae KILA siku "mama baba yupo wapi ulisema atarudi mbona arudi" kumbuka wakati Azory anatekwa shambani mkewe wake alikuwa ni mjamzito ndo hicho kitoto kishakuwa kikubwa.
So laana hii itawafikia wote walioshiriki kwenye mchakato mzima wa utekaji akiwemo dereva na watu wale wanne waliokuwa kwenye gari siku ya mateko,Mungu ameona na alishaanza na boss wao so nao wajiandae,wote walioshiriki kufanikisha mpango wa shetani kuwatoa kafara Lwajaba, Azory,ben,Elisha Eliya,Dilunga,na wengi tu wameuliwa kwa kuhisiwa ni kigogo,pia laana hii isiwaache hata wale askari waliokuwa zamu kulinda Area D na kuruhusu magaidi wakamshambulia Lisu Dodoma na wote waliotolewa kafara na shetani.Shetani hana huruma akamtoa kafara mjumbe wake baada ya kukiuka mashariti.