Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

Mke wa Azory alihojiwa BBC aisee hadi huruma anasema kinachomtesa zaidi ni mtoto wake Mdogo amsumbuae KILA siku "mama baba yupo wapi ulisema atarudi mbona arudi" kumbuka wakati Azory anatekwa shambani mkewe wake alikuwa ni mjamzito ndo hicho kitoto kishakuwa kikubwa.
So laana hii itawafikia wote walioshiriki kwenye mchakato mzima wa utekaji akiwemo dereva na watu wale wanne waliokuwa kwenye gari siku ya mateko,Mungu ameona na alishaanza na boss wao so nao wajiandae,wote walioshiriki kufanikisha mpango wa shetani kuwatoa kafara Lwajaba, Azory,ben,Elisha Eliya,Dilunga,na wengi tu wameuliwa kwa kuhisiwa ni kigogo,pia laana hii isiwaache hata wale askari waliokuwa zamu kulinda Area D na kuruhusu magaidi wakamshambulia Lisu Dodoma na wote waliotolewa kafara na shetani.Shetani hana huruma akamtoa kafara mjumbe wake baada ya kukiuka mashariti.
Tatzo Mungu hawazi na hafanyi kama sisi wanadamu tunvyotaka halafu unachosahau Mungu ana huruma na upendo mkubwa sana ukikiri makosa yako anakusamehe,sasa sjui Mungu yupi unayemhubr ww hapa,Mungu nnayemjua mm hana visasi na chuki bali ana upendo na huruma,wabongo mnafeli wapi!!ww vipi ushapata nafc peponi nn??acha hizo mambo za kumsemea Mungu ndgu,Mungu hapiganiwi na mwanadamu,anafanya invyompendeza yeye.
 
Nguvu, mamlaka na jeuri za hapa duniani si kitu mbele ya Mungu. Hata Padre au Askofu hawezi kutamba akifa atakuwa kiongozi wa malaika huko mbinguni. Ni kufuru kubwa mno.
Na wataalamu wa mambo ya kiroho wanalijua hili thus walionya tubu.
Ukimgeuza binadamu Sanamu Mungu achelewi kumchukua maana Mungu ni Mwenye wivu na hakuna wa kuabudia isipokuwa Mola pekee.
Ukiweka tumaini lako kwa mke, mtoto,mpenzi, Kazi au chochote mfano mtoto,mke,me,Kazi ndie kila kitu ndio tumaini langu hii ni ibada ya Sanamu Mungu atamchukua huyo mtu au hio Kazi.
Ni kufuru mbaya sana kuweka tumaini lako kwa vitu,au mtu,check leo Musiba, Sabaya, bashite wamebaki zaidi ya mjane,sababu waliweka tumaini lao kwa mwanadamu Mungu akamchukua ile ni ibada ya Sanamu,usijifanyie ibada ya sana.Alichofanya Kange,Musiba,yule RC aliyesema Mungu amshukuru ... ,Au huyu ni zaidi ya Yesu vyote vile ni uchuro ukawii Mungu lazima alibomoe Sanamu,alionya Prophet Mtalemwa na viongozi wengine wa dini,kabla ya matokeo maana wanajua.
 
Tatzo Mungu hawazi na hafanyi kama sisi wanadamu tunvyotaka halafu unachosahau Mungu ana huruma na upendo mkubwa sana ukikiri makosa yako anakusamehe,sasa sjui Mungu yupi unayemhubr ww hapa,Mungu nnayemjua mm hana visasi na chuki bali ana upendo na huruma,wabongo mnafeli wapi!!ww vipi ushapata nafc peponi nn??acha hizo mambo za kumsemea Mungu ndgu,Mungu hapiganiwi na mwanadamu,anafanya invyompendeza yeye.
Maandiko ndivyo usema hivyo, huwezi kwenda peponi kwa kuvunja amri kumi za Mungu.Mimi nawapatiliza uovu Wana wa wazazi wao hata kizazi cha nne.
 
Mke wa Azory alihojiwa BBC aisee hadi huruma anasema kinachomtesa zaidi ni mtoto wake Mdogo amsumbuae KILA siku "mama baba yupo wapi ulisema atarudi mbona arudi" kumbuka wakati Azory anatekwa shambani mkewe wake alikuwa ni mjamzito ndo hicho kitoto kishakuwa kikubwa.
So laana hii itawafikia wote walioshiriki kwenye mchakato mzima wa utekaji akiwemo dereva na watu wale wanne waliokuwa kwenye gari siku ya mateko,Mungu ameona na alishaanza na boss wao so nao wajiandae,wote walioshiriki kufanikisha mpango wa shetani kuwatoa kafara Lwajaba, Azory,ben,Elisha Eliya,Dilunga,na wengi tu wameuliwa kwa kuhisiwa ni kigogo,pia laana hii isiwaache hata wale askari waliokuwa zamu kulinda Area D na kuruhusu magaidi wakamshambulia Lisu Dodoma na wote waliotolewa kafara na shetani.Shetani hana huruma akamtoa kafara mjumbe wake baada ya kukiuka mashariti.
Mkuu hata elisha eliya nae aliuliwa??
 
Paulo alitubu kwa Mola wake na akamwahidi Mungu atamtumikia kwa kupambana na shetani kama njia ya malipizi jinsi alivyomtenda Mungu na Mtume Paulo ndie aliyeusambaza Ukristo ulimwengu na kuwafanya watu wengi wawe wafuasi wa Kristo na kumjua Mungu hata sasa.
Thus tunaona na tukishuhudia waliokuwa waganga, wachawi,majambazi wakubwa wameuwa watu wengi sana kwa uchawi, risasi,nk wakatubu wanalia Sana na kujutia upumbavu waliotenda wameamua kutoa Siri zote za giza kwa kupambana na shetani kwa kuhubiri habari za Mungu wakijitoa kwa bidii.Wapo leo watumishi wa Mungu wakubwa kabisa ambao kabla walikuwa wachawi, majambazi, waganga wameua watu wengi sana.
Huwezi ombewa toba ukiwa coma,bali unajiombea mwenyewe,
Wewe ndio Mungu au?
 
Dr John Pombe Magufuli hakua wa kufa leo wala kesho ; tatizo kubwa ni ile hali aliyoiweka na washauri wake kushindwa kuhakikisha Daktari wa Rais anakuwa na msimamo ; kama Ambavyo tulimlaumu Dr Mwakyusa kwa kifo cha mwalimu kwa uzembe na kumuacha Mwalimu Butiama akiwa amezidiwa huku yeye yuko dar na chaguo lake la kwenda general hospital ya at thomas kutibu leukemia badala ya india au China , ( Mwandosya alipona Leukemia india )
Dr Machemba hata kama ni home boy kazembeaa pamoja na washauri wengine akiwemo dr Ngwale hawa pamoja na walinzi wa Rais wamezembea sana

Rais Magufuli alitakiwa kwenda kubadili Pacemarker Ujerumani

walichukua hatua gani baada ya contact wa Magufuli Kijazi kfariki?

kama Magufuli aliugua akapata nafuuu hata kama ni kwa masaaa 48 kwanini hawakumkimbizaa Ujerumani mara moja kwenye ile hospitali iliyomtibu mara ya kwanza ????? ni masaa nane tu kwa ndege ya rais

Tunaomboleza lakinj ni wakati wa Idara ya Usalama kuweka madaktari competent wa Rais ; hawa dizaini ya dr mwakyusa ; dr Ngwale ; au machemba waachane nayo

Ndani ya Emilio Mzena kuwe na timu ya madaktari bingwa nchini wa kushauri madaktari wa viongozi ,‘najua viongozi wetu wanapenda Madaktari Rafiki zao ambao sio competent !!!!! where is our medical intelligence?!?!

Najua madaktari mfano wa Mama Samia walio mzena au Lugalo sio the best !!!!! Hili la Magufuli Rais kulazimisha daktari kwakua tu ni Rafiki wakati wengine wana degreee za east europe na Russia tuangalie !!?

we have the best doctors wawe panel ambayo daktari wa Rais atatakiwa kuomba ushauri pale ambapo Rais ana serious ailment !!!!

Maisha ya Magufuli yangeweza kuokolewa hata kama alikua hataki kwenda Ujerumani kulikua na namna ya kumfikisha huko as long as Baraza la Usalama limekua briefed

Mimi hapa ndani nili muendorse Magufuli kuwa Rais toka 2013 ; pamoja na kutofautiana naye kwenye human rights issues sera zake zote zingine nazikubali ....... alikua na washauri wabaya ambao walishindwa kuboresha image yake kwenye mambo ya haki za binadamu
; ukitoa hilo yaliyobaki ni 100%

Braza kaka shikamoo..

umeongea ukweli kwa uchungu na umeuongea kwa uzalendo hali ya juu sana..

ubarikiwe popote ulipo
 
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.

Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.

Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.

Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.

Maendeleo hayana vyama!
===

Msemaji wa familia ya Hayati Magufuli Ngusa Samike amesema "kabla ya kifo chake Rais Magufuli aliongoza sala na nyimbo akiwa na Madaktari na Wauguzi wake."

Alisema kabla ya kifo pia, "Mwadhama Polycap Kardinali Pengo na Paroko wa Parokia ya St. Peter Padre Alister Makubi walimpatia Rais Magufuli huduma ya kiroho ya mpako mtakatifu,"

"Pia Shekhe Mkuu wa Tanzania Mufti Aboubakar Zubeir naye alimfanyia maombi kabla ya kifo chake."
hicho kitubio tunaomba kisipokelewe maana kinakiuka haki za walitendewa unyama kipindi cha uongozi wake.
 
Mungu usema kupitia vitabu.Bila hivyo KILA mtu angeumiza watu akikaribia kufa atubu
Mungu hafanyi kazi kutegemea mawazo yako.
Mungu amesema hafurahii kifo cha mwenye dhambi bali kutubu kwa mwenye dhambi.
Unless kama una Mungu wako mwingine unaye mfanyia reference.
 
Mungu hafanyi kazi kutegemea mawazo yako.
Mungu amesema hafurahii kifo cha mwenye dhambi bali kutubu kwa mwenye dhambi.
Unless kama una Mungu wako mwingine unaye mfanyia reference.
Basi ,asingesema "apandacho mtu ndicho atakachovuna"
 
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.

Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.

Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.

Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.

Maendeleo hayana vyama!
===

Msemaji wa familia ya Hayati Magufuli Ngusa Samike amesema "kabla ya kifo chake Rais Magufuli aliongoza sala na nyimbo akiwa na Madaktari na Wauguzi wake."

Alisema kabla ya kifo pia, "Mwadhama Polycap Kardinali Pengo na Paroko wa Parokia ya St. Peter Padre Alister Makubi walimpatia Rais Magufuli huduma ya kiroho ya mpako mtakatifu,"

"Pia Shekhe Mkuu wa Tanzania Mufti Aboubakar Zubeir naye alimfanyia maombi kabla ya kifo chake."
Unafiki mtupu kwanini wao wenyewe wasiseme hayo hadi tetesi mbalimbali zinavuma kuhusu mashaka ya kifo chake
 
Wenye akili tunajua huu mchezo ni kujaribu kuharalisha kifo chake kuwa si mkono wa mtu ,lakini hoja zote zinatia shaka mimi na amini magufuli angejua anakufa angetujulisha watz ili pasitokee tafaruku nchini ,pia zipo wapi video za hayo mambo wanayosema
 
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.

Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.

Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.

Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.

Maendeleo hayana vyama!
===

Msemaji wa familia ya Hayati Magufuli Ngusa Samike amesema "kabla ya kifo chake Rais Magufuli aliongoza sala na nyimbo akiwa na Madaktari na Wauguzi wake."

Alisema kabla ya kifo pia, "Mwadhama Polycap Kardinali Pengo na Paroko wa Parokia ya St. Peter Padre Alister Makubi walimpatia Rais Magufuli huduma ya kiroho ya mpako mtakatifu,"

"Pia Shekhe Mkuu wa Tanzania Mufti Aboubakar Zubeir naye alimfanyia maombi kabla ya kifo chake."
Vipi aliyowatendea WAPINZANI?
 
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.

Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.

Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.

Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.

Maendeleo hayana vyama!
===

Msemaji wa familia ya Hayati Magufuli Ngusa Samike amesema "kabla ya kifo chake Rais Magufuli aliongoza sala na nyimbo akiwa na Madaktari na Wauguzi wake."

Alisema kabla ya kifo pia, "Mwadhama Polycap Kardinali Pengo na Paroko wa Parokia ya St. Peter Padre Alister Makubi walimpatia Rais Magufuli huduma ya kiroho ya mpako mtakatifu,"

"Pia Shekhe Mkuu wa Tanzania Mufti Aboubakar Zubeir naye alimfanyia maombi kabla ya kifo chake."
Haimsaidii... atalipwa alichotenda hapa. Kama kina Kabudi walikuwa wanamwita mheshimiwa Mungu na alikuwa amenyamaza kimya akichekelea...
 
Back
Top Bottom