Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

Akimuomba mola wake inatosha na ndio maana ya mpako wa mafuta matakatifu kwetu sisi wakatoliki ni maana kubwa sana.
Pole sana kama jambo hilo halina mzizi ktk Neno aka Biblia. Ukatoliki mwisho ni Rome Italy.
 
Kuna makosa aina mbili katika imani;

1) Kumkosea Mungu.

2) Kumkosea Mwanaadamu.

Kuna baadhi ya makosa mungu hasamehi mpaka ukamuombe msamaha uliemkosea kwanza, mfano Kulala na Mke/Mume Wa Mtu. Hapa kwa mungu kosa ni kuzini, kwa mwanaadamu umemchafulia haki yake inayotambulika mpaka mbinguni.

Msamaha kwa mungu unakubalika kwa kuapa kutokurudia tena kosa, sambamba na kurekebisha ulipo kosea (Mfano umefunga mtu gerezani kwa chuki, unapaswa kumwachia huru kwanza na kumpa fidia stahiki kwa kifungo ulichompa, halafu ndio unaomba msamaha kwa mungu na kuapa kutokurudia tena kufunga mtu asie na hatia - Ukiua mtu asie na hatia, unapaswa kukiri kosa na kuwaomba msamaha wana familia kwanza then unarudi kwa mungu kutubia na kuapa kutokurudia tena kuua).

Then walio dhulumiwa na kufungwa magerezani kwa chuki basi aliwaachia kabla ya kutubia dhambi zake?

Alikwenda kuwaomba msamaha familia za waliopoteza maisha yao kwa kivuli cha watu wasiojulikana?

Alirudisha haki za watu waliopewa kesi za uhujumu uchumi ili walipishwe fidia?

Alirudisha haki za watu waliobambikozwa KODI na MAKOSA iwe ya trafik barabarani n.k?
Kama ni hivyo, hakuna hata mmoja atakayeenda mbinguni na ndivyo ilivyo.
 
Hayo ni masharti yako kwa mujibu ya imani yako. Lakini kwa imani ya kanisa Katoliki la mitume la kimisionari sio kama ulivyoeleza. Sisi wakatoliki mpako mtakatifu ( anaopewa muumini kabla hajafa) unatosha kumuondolea dhambi zote, na kama kuna malipizi basi anayafanyia tohorani ambako nguvu ya sala za kanisa la duniani humsaidia kufupisha muda wa kukaa huko ndio maana wakatoliki tunasisitiza sana kumuombea marehemu.
kibiblia hakuna kitu kama hicho
ni vema kushika na kufata maandiko na si mapokeo na amri za kanisa

Mk 7:9 SUV. Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu.
 
Kuna makosa aina mbili katika imani;

1) Kumkosea Mungu.

2) Kumkosea Mwanaadamu.

Kuna baadhi ya makosa mungu hasamehi mpaka ukamuombe msamaha uliemkosea kwanza, mfano Kulala na Mke/Mume Wa Mtu. Hapa kwa mungu kosa ni kuzini, kwa mwanaadamu umemchafulia haki yake inayotambulika mpaka mbinguni.

Msamaha kwa mungu unakubalika kwa kuapa kutokurudia tena kosa, sambamba na kurekebisha ulipo kosea (Mfano umefunga mtu gerezani kwa chuki, unapaswa kumwachia huru kwanza na kumpa fidia stahiki kwa kifungo ulichompa, halafu ndio unaomba msamaha kwa mungu na kuapa kutokurudia tena kufunga mtu asie na hatia - Ukiua mtu asie na hatia, unapaswa kukiri kosa na kuwaomba msamaha wana familia kwanza then unarudi kwa mungu kutubia na kuapa kutokurudia tena kuua).

Then walio dhulumiwa na kufungwa magerezani kwa chuki basi aliwaachia kabla ya kutubia dhambi zake?

Alikwenda kuwaomba msamaha familia za waliopoteza maisha yao kwa kivuli cha watu wasiojulikana?

Alirudisha haki za watu waliopewa kesi za uhujumu uchumi ili walipishwe fidia?

Alirudisha haki za watu waliobambikozwa KODI na MAKOSA iwe ya trafik barabarani n.k?

Hayo unayotaja ni kwa msingi wa andiko gani?
 
Amefanya toba lakini bado kama kuna wanaoendelea kulia kwasababu yake toba haitakuwa na maana. Ndugu za akina Ben Saanane, waliofungwa bila hatia n.k

Hawezi kuwa redeemed unless wote walioteseka kwa mkono wake wamepata haki.

Hayo ni maoni na hisia zako tu, Isaya 1 : 18 inasema "Yeye atatusamehe dhambi zetu, hata kama ni nyekundu kama bendera, zitakuwa nyeupe kama theluji. "
 
Amefanya toba lakini bado kama kuna wanaoendelea kulia kwasababu yake toba haitakuwa na maana. Ndugu za akina Ben Saanane, waliofungwa bila hatia n.k

Hawezi kuwa redeemed unless wote walioteseka kwa mkono wake wamepata haki.
Umeshawahi kuiona haki duniani?Kama huwezi Kuwa redeemed mpaka wote uliowahangaisha wapate haki hizo sala za vitubio zisingewekwa,Kila kitu kina maana yake
 
Umeshawahi kuiona haki duniani?Kama huwezi Kuwa redeemed mpaka wote uliowahangaisha wapate haki hizo sala za vitubio zisingewekwa,Kila kitu kina maana yake
Damu za watu hazimwagi hovyo dingii. Hakuna toba utafanya ikakusaidia, maisha hakuna kitu kama hiyo.
 
Wakati hayo yote yanafanyika, Waziri Mkuu anatudanganya tu! na kutushangaa tunao muulizia Marehemu!

Tena akaenda mbali zaidi kwa kutuuliza tulitaka tumuone wapi eti! Magomeni!! Kariakoo sokoni! [emoji848]

PM kawadanganya Nini Sasa. 6 mgonjwa. 7 mzima. Yuko ofisini. 14. mgonjwa. 17 kufariki. Hivi wewe mpako mtakatifu na maombezi unahitaji miezi. Hata dak 2 mtumishi anakuja na kumpatia. Tena nzuri sana Hii anayoomba mwenyewe mana anapata muda wa kuungama dhambi zake kwa Mungu akipitia kwa padre Kama ishara ya wazi. Anaungama dhambi zake sio mnazowaza ninyi. Kila mtu Ana mzigo Wake humu. Yeye na MUngu Wake. Ila ni Bahati sana kwa (watu wenye imani ) mtu kupata nafasi Hii kabla ya kufa. Waovu wa kweli sio wa kutungiwa huwa wanapta tabu sana na kukufuru mpaka kufa.

Shida ya viumbe wachache humu wanajifanya wanamjua JPM kuliko Mungu wake. Niwaambie Hakuwa actor huyo Mzee. Kwake spade sio kijiko kikubwa Ni spade. Pamoja na hayo still yeye anajijua zaidi na ndo mana alikuwa karibu sana na Mungu wake.
 
Damu za watu hazimwagi hovyo dingii. Hakuna toba utafanya ikakusaidia, maisha hakuna kitu kama hiyo.
Hayo ni maoni yako binafsi sitakupinga but kasome habari za sauli baadae Paulo kuna kitu utakielewa,Mungu wetu anajitanabaisha wazi kwenye maandiko,na anaeleza Nguvu ya kujitakasa na kutojichukulia haki hivo anajua tunakosea na kuwaumiza wengine na ndio maana natuomba tujitakase kila wakati
 
Hayo ni maoni yako binafsi sitakupinga but kasome habari za sauli baadae Paulo kuna kitu utakielewa,Mungu wetu anajitanabaisha wazi kwenye maandiko,na anaeleza Nguvu ya kujitakasa na kutojichukulia haki hivo anajua tunakosea na kuwaumiza wengine na ndio maana natuomba tujitakase kila wakati
Huyo Sauli unamjua? Unauhakika gani kama no kweli au ni hadithi za kusadikika?
 
Hayo ni maoni na hisia zako tu, Isaya 1 : 18 inasema "Yeye atatusamehe dhambi zetu, hata kama ni nyekundu kama bendera, zitakuwa nyeupe kama theluji. "
Tena anaenda mbali Mungu anajitanabaisha na kusema"yeye hakumbuki uovu wetu Kama mashariki na magharibu zisivyoweza kukutana"
 
Back
Top Bottom