Mihayo DP
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 560
- 1,000
Za kusadikika?unalielewa kwa upana gani suala la imani?Huyo Sauli unamjua? Unauhakika gani kama no kweli au ni hadithi za kusadikika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kusadikika?unalielewa kwa upana gani suala la imani?Huyo Sauli unamjua? Unauhakika gani kama no kweli au ni hadithi za kusadikika?
Am dealing with a typical homo sapiens ambaye Hana imani na maandiko matakatifu yakiyoandikwa baada ya mafunuo,Huyo Sauli unamjua? Unauhakika gani kama no kweli au ni hadithi za kusadikika?
Tumekuelewa mkuu japo tulikua tunawekana sawa tuTunaingilia majukumu ya Mungu kujadili kama wa mbinguni au laa...tuendelee kumuombea dua njema tuu na tuishi kwa kusamehe ndio dawa kubwa...
Kuna makosa aina mbili katika imani;
1) Kumkosea Mungu.
2) Kumkosea Mwanaadamu.
Kuna baadhi ya makosa mungu hasamehi mpaka ukamuombe msamaha uliemkosea kwanza, mfano Kulala na Mke/Mume Wa Mtu. Hapa kwa mungu kosa ni kuzini, kwa mwanaadamu umemchafulia haki yake inayotambulika mpaka mbinguni.
Msamaha kwa mungu unakubalika kwa kuapa kutokurudia tena kosa, sambamba na kurekebisha ulipo kosea (Mfano umefunga mtu gerezani kwa chuki, unapaswa kumwachia huru kwanza na kumpa fidia stahiki kwa kifungo ulichompa, halafu ndio unaomba msamaha kwa mungu na kuapa kutokurudia tena kufunga mtu asie na hatia - Ukiua mtu asie na hatia, unapaswa kukiri kosa na kuwaomba msamaha wana familia kwanza then unarudi kwa mungu kutubia na kuapa kutokurudia tena kuua).
Then walio dhulumiwa na kufungwa magerezani kwa chuki basi aliwaachia kabla ya kutubia dhambi zake?
Alikwenda kuwaomba msamaha familia za waliopoteza maisha yao kwa kivuli cha watu wasiojulikana?
Alirudisha haki za watu waliopewa kesi za uhujumu uchumi ili walipishwe fidia?
Alirudisha haki za watu waliobambikozwa KODI na MAKOSA iwe ya trafik barabarani n.k?
Umesahau kuwa wewe pia ni Homo Sapiens?Am dealing with a typical homo sapiens ambaye Hana imani na maandiko matakatifu yakiyoandikwa baada ya mafunuo,
Nimefunga huu mjadala Mimi na wewe hatushahabiani kwenye mlengo wa imani.
Inaonekana mwelekeo wa juhudi zote hizi ni huko huko!Kuna siku tutaambiwa John Pombe Magufuli ni Mwenye Kheri.
Unatubu vipi bila kuwaomba uliowakosea ? Kitubio feki .Atakua amefanya hivyo. Kitubio ni siri ya muombaji na yule anayemtubisha.
Tena, a cheap one for that!This is propaganda.
Kumbe ulikuwepo!Tar 9 saa 11:48pm
Na bado kidogo apate cheoSasa yupo mbinguni na malaika wenzake!
Sio maana ya toba iwapo umewakosea wengi!
Haijatajwa. Imetajwa wapi? Yaani badala aongozwe yeye tena ndo aliongoza sala kuwaswalisha wengine. Pia walishindwa kumwambia afanye toba.Ndio maana ya toba, imetajwa hapo
Kwani inatakiwa awakosee wangapi ndo afanye toba?Sio maana ya toba iwapo umewakosea wengi!
Kwani mtu hawezi ombea mtu mwingine kwa simu?Lakini jana wakati anahojiwa na UTV Shekh Mkuu Zuberi alipoulizwa kwamba alipomtembelea wàkati anaumwa Mh. Hayati Rais Magufuli, Shekh alijibu kwamba kwa siku za karibuni toka kuugua kwake sijawahi kumtembelea..."
Hili la wanafamilia kwamba aliombewa na Shekh Zuberi wamelitoa wapi?
Tena anaenda mbali Mungu anajitanabaisha na kusema"yeye hakumbuki uovu wetu Kama mashariki na magharibu zisivyoweza kukutana"