Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Heri yake!!Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo...
Sasa yupo mbinguni na malaika wenzake!
Pole sana kama jambo hilo halina mzizi ktk Neno aka Biblia. Ukatoliki mwisho ni Rome Italy.Akimuomba mola wake inatosha na ndio maana ya mpako wa mafuta matakatifu kwetu sisi wakatoliki ni maana kubwa sana.
Kama ni hivyo, hakuna hata mmoja atakayeenda mbinguni na ndivyo ilivyo.Kuna makosa aina mbili katika imani;
1) Kumkosea Mungu.
2) Kumkosea Mwanaadamu.
Kuna baadhi ya makosa mungu hasamehi mpaka ukamuombe msamaha uliemkosea kwanza, mfano Kulala na Mke/Mume Wa Mtu. Hapa kwa mungu kosa ni kuzini, kwa mwanaadamu umemchafulia haki yake inayotambulika mpaka mbinguni.
Msamaha kwa mungu unakubalika kwa kuapa kutokurudia tena kosa, sambamba na kurekebisha ulipo kosea (Mfano umefunga mtu gerezani kwa chuki, unapaswa kumwachia huru kwanza na kumpa fidia stahiki kwa kifungo ulichompa, halafu ndio unaomba msamaha kwa mungu na kuapa kutokurudia tena kufunga mtu asie na hatia - Ukiua mtu asie na hatia, unapaswa kukiri kosa na kuwaomba msamaha wana familia kwanza then unarudi kwa mungu kutubia na kuapa kutokurudia tena kuua).
Then walio dhulumiwa na kufungwa magerezani kwa chuki basi aliwaachia kabla ya kutubia dhambi zake?
Alikwenda kuwaomba msamaha familia za waliopoteza maisha yao kwa kivuli cha watu wasiojulikana?
Alirudisha haki za watu waliopewa kesi za uhujumu uchumi ili walipishwe fidia?
Alirudisha haki za watu waliobambikozwa KODI na MAKOSA iwe ya trafik barabarani n.k?
Kabisa mkuu . Reference Zakayo Mtoza ushuru. Si kwamba alilipa Bali alilipa Mara 4Amefanya toba lakini bado kama kuna wanaoendelea kulia kwasababu yake toba haitakuwa na maana. Ndugu za akina Ben Saanane, waliofungwa bila hatia n.k
Hawezi kuwa redeemed unless wote walioteseka kwa mkono wake wamepata haki.
kibiblia hakuna kitu kama hichoHayo ni masharti yako kwa mujibu ya imani yako. Lakini kwa imani ya kanisa Katoliki la mitume la kimisionari sio kama ulivyoeleza. Sisi wakatoliki mpako mtakatifu ( anaopewa muumini kabla hajafa) unatosha kumuondolea dhambi zote, na kama kuna malipizi basi anayafanyia tohorani ambako nguvu ya sala za kanisa la duniani humsaidia kufupisha muda wa kukaa huko ndio maana wakatoliki tunasisitiza sana kumuombea marehemu.
Kuna makosa aina mbili katika imani;
1) Kumkosea Mungu.
2) Kumkosea Mwanaadamu.
Kuna baadhi ya makosa mungu hasamehi mpaka ukamuombe msamaha uliemkosea kwanza, mfano Kulala na Mke/Mume Wa Mtu. Hapa kwa mungu kosa ni kuzini, kwa mwanaadamu umemchafulia haki yake inayotambulika mpaka mbinguni.
Msamaha kwa mungu unakubalika kwa kuapa kutokurudia tena kosa, sambamba na kurekebisha ulipo kosea (Mfano umefunga mtu gerezani kwa chuki, unapaswa kumwachia huru kwanza na kumpa fidia stahiki kwa kifungo ulichompa, halafu ndio unaomba msamaha kwa mungu na kuapa kutokurudia tena kufunga mtu asie na hatia - Ukiua mtu asie na hatia, unapaswa kukiri kosa na kuwaomba msamaha wana familia kwanza then unarudi kwa mungu kutubia na kuapa kutokurudia tena kuua).
Then walio dhulumiwa na kufungwa magerezani kwa chuki basi aliwaachia kabla ya kutubia dhambi zake?
Alikwenda kuwaomba msamaha familia za waliopoteza maisha yao kwa kivuli cha watu wasiojulikana?
Alirudisha haki za watu waliopewa kesi za uhujumu uchumi ili walipishwe fidia?
Alirudisha haki za watu waliobambikozwa KODI na MAKOSA iwe ya trafik barabarani n.k?
Toba anaombwa aliokosewa sio ukiwa kitandani unaomba toba mwenyewe na ndugu zako,waite uliowakosea alafu waombeNdio maana ya toba, imetajwa hapo
Amefanya toba lakini bado kama kuna wanaoendelea kulia kwasababu yake toba haitakuwa na maana. Ndugu za akina Ben Saanane, waliofungwa bila hatia n.k
Hawezi kuwa redeemed unless wote walioteseka kwa mkono wake wamepata haki.
Umeshawahi kuiona haki duniani?Kama huwezi Kuwa redeemed mpaka wote uliowahangaisha wapate haki hizo sala za vitubio zisingewekwa,Kila kitu kina maana yakeAmefanya toba lakini bado kama kuna wanaoendelea kulia kwasababu yake toba haitakuwa na maana. Ndugu za akina Ben Saanane, waliofungwa bila hatia n.k
Hawezi kuwa redeemed unless wote walioteseka kwa mkono wake wamepata haki.
R.I.P
Ben Saanane
Azory Gwanda
Lwajabe
Aqwelina
Na wengineo.
Damu za watu hazimwagi hovyo dingii. Hakuna toba utafanya ikakusaidia, maisha hakuna kitu kama hiyo.Umeshawahi kuiona haki duniani?Kama huwezi Kuwa redeemed mpaka wote uliowahangaisha wapate haki hizo sala za vitubio zisingewekwa,Kila kitu kina maana yake
Au sindio? Jidanganye tu.Hayo ni maoni na hisia zako tu, Isaya 1 : 18 inasema "Yeye atatusamehe dhambi zetu, hata kama ni nyekundu kama bendera, zitakuwa nyeupe kama theluji. "
Wakati hayo yote yanafanyika, Waziri Mkuu anatudanganya tu! na kutushangaa tunao muulizia Marehemu!
Tena akaenda mbali zaidi kwa kutuuliza tulitaka tumuone wapi eti! Magomeni!! Kariakoo sokoni! [emoji848]
Hayo ni maoni yako binafsi sitakupinga but kasome habari za sauli baadae Paulo kuna kitu utakielewa,Mungu wetu anajitanabaisha wazi kwenye maandiko,na anaeleza Nguvu ya kujitakasa na kutojichukulia haki hivo anajua tunakosea na kuwaumiza wengine na ndio maana natuomba tujitakase kila wakatiDamu za watu hazimwagi hovyo dingii. Hakuna toba utafanya ikakusaidia, maisha hakuna kitu kama hiyo.
Huyo Sauli unamjua? Unauhakika gani kama no kweli au ni hadithi za kusadikika?Hayo ni maoni yako binafsi sitakupinga but kasome habari za sauli baadae Paulo kuna kitu utakielewa,Mungu wetu anajitanabaisha wazi kwenye maandiko,na anaeleza Nguvu ya kujitakasa na kutojichukulia haki hivo anajua tunakosea na kuwaumiza wengine na ndio maana natuomba tujitakase kila wakati
Siku zote tunasimama na neno Mkuu,hatuna rejea nyingine zaidi ya kitabu kitakatifu so usiseme ajidanganye weka maandikoAu sindio? Jidanganye tu.
Tena anaenda mbali Mungu anajitanabaisha na kusema"yeye hakumbuki uovu wetu Kama mashariki na magharibu zisivyoweza kukutana"Hayo ni maoni na hisia zako tu, Isaya 1 : 18 inasema "Yeye atatusamehe dhambi zetu, hata kama ni nyekundu kama bendera, zitakuwa nyeupe kama theluji. "