Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

Huyo Sauli unamjua? Unauhakika gani kama no kweli au ni hadithi za kusadikika?
Am dealing with a typical homo sapiens ambaye Hana imani na maandiko matakatifu yakiyoandikwa baada ya mafunuo,

Nimefunga huu mjadala Mimi na wewe hatushahabiani kwenye mlengo wa imani.
 
Tunaingilia majukumu ya Mungu kujadili kama wa mbinguni au laa...tuendelee kumuombea dua njema tuu na tuishi kwa kusamehe ndio dawa kubwa...
 

Ni rahisi sana kumnyoshea kidole mtu mwingine hata kwa dhambi unazozitenda kila siku.

Halafu kuna fikra potofu kwamba kuna dhambi ndogo na kubwa. Kwa Mungu, dhambi ya kuua, ya kuzini, ya kuiba, etc. ziko sawa na zote zinasameheka kwa degree ile ile. Dhambi pekee isiyosameheka ni ya kutomuamini Mungu. Usipomuamini Mungu imekula kwako!
 
Am dealing with a typical homo sapiens ambaye Hana imani na maandiko matakatifu yakiyoandikwa baada ya mafunuo,

Nimefunga huu mjadala Mimi na wewe hatushahabiani kwenye mlengo wa imani.
Umesahau kuwa wewe pia ni Homo Sapiens?

Au wewe ni Zinjanthropus?
 
Kwani mtu hawezi ombea mtu mwingine kwa simu?
 
Hiyo Sakramenti ya mwisho ya Mpako Mtakatifu hufanywa kwa mgonjwa ambaye tu karibu na kufa , sasa mpaka hayo yote yanafanyika lakini bado wananchi walikuwa wanaambiwa jamaa anafanyakazi na kwamba tu mzima kabisa.?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…