Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.

Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.

Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.

Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.

Maendeleo hayana vyama!
Kumjua Mungu ni Jambo moja na kumcha ni Jambo la pili

Kumtaja Mungu ni Jambo moja na kumcha ni Jambo la pili.

Si wote waniitao Bwana bwana watakaoingia
mbinguni

Nakuunga mkono unapomshukuru Mungu kwa maisha ya John hapa duniani kwakuwa huna uhakika kuwa Mungu amempokea.
 
23 April 2014

ASKOFU KAKOBE: Nyerere siyo Mungu asiyekuwa na makosa

 
Tanzania flag-XXL-anim.gif

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.

Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.

Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.

Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.

Maendeleo hayana vyama!
Ulichokiandika kina uhusiano gani na hiyo sentence yako ya mwisho ya maendeleo hayana vyama???????????
 
Kuna makosa aina mbili katika imani;

1) Kumkosea Mungu.

2) Kumkosea Mwanaadamu.

Kuna baadhi ya makosa mungu hasamehi mpaka ukamuombe msamaha uliemkosea kwanza, mfano Kulala na Mke/Mume Wa Mtu. Hapa kwa mungu kosa ni kuzini, kwa mwanaadamu umemchafulia haki yake inayotambulika mpaka mbinguni.

Msamaha kwa mungu unakubalika kwa kuapa kutokurudia tena kosa, sambamba na kurekebisha ulipo kosea (Mfano umefunga mtu gerezani kwa chuki, unapaswa kumwachia huru kwanza na kumpa fidia stahiki kwa kifungo ulichompa, halafu ndio unaomba msamaha kwa mungu na kuapa kutokurudia tena kufunga mtu asie na hatia - Ukiua mtu asie na hatia, unapaswa kukiri kosa na kuwaomba msamaha wana familia kwanza then unarudi kwa mungu kutubia na kuapa kutokurudia tena kuua).

Then walio dhulumiwa na kufungwa magerezani kwa chuki basi aliwaachia kabla ya kutubia dhambi zake?

Alikwenda kuwaomba msamaha familia za waliopoteza maisha yako kwa kivuli cha watu wasiojulikana?

Alirudisha haki za watu waliopewa kesi za uhujumu uchumi ili walipishwe fidia?

Alirudisha haki za watu waliobambikozwa KODI na MAKOSA iwe ya trafik barabarani n.k?
Hayo ni masharti yako kwa mujibu ya imani yako. Lakini kwa imani ya kanisa Katoliki la mitume la kimisionari sio kama ulivyoeleza. Sisi wakatoliki mpako mtakatifu ( anaopewa muumini kabla hajafa) unatosha kumuondolea dhambi zote, na kama kuna malipizi basi anayafanyia tohorani ambako nguvu ya sala za kanisa la duniani humsaidia kufupisha muda wa kukaa huko ndio maana wakatoliki tunasisitiza sana kumuombea marehemu.
 
Mzee wetu alipokoseaga ni pale alipoanza kuminya demokrasia na kutekana na kuuana.
Kosa jingine la mzee ni kukataa kwamba ugonjwa haupo wakati upo. Sijui alikuwa anawaza nini mzee wetu yule.
Tumsamehe tuu mzee wetu JPM.
 
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.

Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.

Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.

Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe jamaa mzushi sana
 
Kuna makosa aina mbili katika imani;

1) Kumkosea Mungu.

2) Kumkosea Mwanaadamu.

Kuna baadhi ya makosa mungu hasamehi mpaka ukamuombe msamaha uliemkosea kwanza, mfano Kulala na Mke/Mume Wa Mtu. Hapa kwa mungu kosa ni kuzini, kwa mwanaadamu umemchafulia haki yake inayotambulika mpaka mbinguni.

Msamaha kwa mungu unakubalika kwa kuapa kutokurudia tena kosa, sambamba na kurekebisha ulipo kosea (Mfano umefunga mtu gerezani kwa chuki, unapaswa kumwachia huru kwanza na kumpa fidia stahiki kwa kifungo ulichompa, halafu ndio unaomba msamaha kwa mungu na kuapa kutokurudia tena kufunga mtu asie na hatia - Ukiua mtu asie na hatia, unapaswa kukiri kosa na kuwaomba msamaha wana familia kwanza then unarudi kwa mungu kutubia na kuapa kutokurudia tena kuua).

Then walio dhulumiwa na kufungwa magerezani kwa chuki basi aliwaachia kabla ya kutubia dhambi zake?

Alikwenda kuwaomba msamaha familia za waliopoteza maisha yako kwa kivuli cha watu wasiojulikana?

Alirudisha haki za watu waliopewa kesi za uhujumu uchumi ili walipishwe fidia?

Alirudisha haki za watu waliobambikozwa KODI na MAKOSA iwe ya trafik barabarani n.k?
Mafundisho yako yanapotosha.
Yesu Kristu alikuja Duniani kutangaza Ufalme wa Mungu na kuwaokoa binadamu kwenye utumwa wa dhambi kwa kufa msalabani na kufufuka siku ya tatu kama ilivyoandikwa.

Hivyo msamaha wa Mungu hauna masharti zaidi ya kutubu na kumkiri Mungu.
Wala hamna suala la kusema kaombe kwanza msamaha kwa ulimchukulia mke ndio uombe kwa Mungu. Je kama uliyemkosea kafa, ina maana wewe haupati tena msamaha?? Hakika si kweli labda kwa imani yako wewe.

Biblia inatuambia ni dhambi moja tu isiyosameheka nayo ni (Blasphemy against Holy Spirit), yaani kufuru kwa Roho wa Mungu. Hii sio rahisi kuelewa, lakini itoshe tu kusema haiwezekani ukawa haukubaliani na ngazi iliyopo lakini unataka kupanda juu( kupanda juu ninamaana kusamehewa).

1616243996524.png
 
Mungu aliupenda uli
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.

Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.

Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.

Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.

Maendeleo hayana vyama!
Mungu anaipenda TZ. Amemtuma mwanae afe ili wengi waokoke!
 
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.

Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.

Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.

Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.

Maendeleo hayana vyama!
Acha hizo we mzee mafuta kutoka wapi kwa mungu wa vatican ?? au yaaani heee....... haya
 
Back
Top Bottom