Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Ben saa nane atarudi sasa!! walio potezwa watajulikana tunachotaka sisi kujua tu hata km alikufa tuomboleze kuwa ndugu yetu katutoka.kwa style hii tuweke kumbukumbu km shujaa!!Amefanya toba lakini bado kama kuna wanaoendelea kulia kwasababu yake toba haitakuwa na maana. Ndugu za akina Ben Saanane, waliofungwa bila hatia n.k
Hawezi kuwa redeemed unless wote walioteseka kwa mkono wake wamepata haki.
ila Damu ya tundu lisu italia na wengi... duuu... kalienda kuroga kajamaa haka