Kiimani, Marehemu Magufuli, kama alipata nafasi ya kuomba masamaha kwa dhati ya dhamira ya moyo wake, wakati wa mwisho wa safari yake hapa Duniani, atakuwa alipata msamaha kamili wa dhambi zake. Ndivyo maandiko yanavyotuambia.
Neno la Mungu linasema,
Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kuelemewa na mizigo ya dhambi, nami nitawapumzisha.
Andiko jingine lasema, Ijapokuwa dhambi zako ni nyekundu, zitakuwa nyeupe kama theluji.
Kama tu wana wa Mungu, tunayetaka atusamehe dhambi zetu, nasi tunastahili kusamehe. Hivyo, yatupasa kumsamehe marehemu tunapoona alitukosea.
"Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyowasamehe wale waliotukosea"
Neno la Mungu linasema,
Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kuelemewa na mizigo ya dhambi, nami nitawapumzisha.
Andiko jingine lasema, Ijapokuwa dhambi zako ni nyekundu, zitakuwa nyeupe kama theluji.
Kama tu wana wa Mungu, tunayetaka atusamehe dhambi zetu, nasi tunastahili kusamehe. Hivyo, yatupasa kumsamehe marehemu tunapoona alitukosea.
"Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyowasamehe wale waliotukosea"