Familia inateseka sana. Nisaidieni natafuta Kazi, Kibarua

Pole San mkuu Ila usikate tamaa maana maisha ni mapambano...
 
Hayo matatizo yatapita tu mkuu...usichoke kupambania familia.
 
Pole mkuu me nilikua najua majanga matatizo ni mimi tu,ebu jaribu njia nyingine ya utafutaji maana mjini chakula kodi
 
Mkuu umenena kiume mengi tunapitia Mali si kitu
 
Wengi vimo vinatuangusha mkuu, mi nimejaribu kwenda pale Mikocheni kila kitu kikawa sawa. But tatizo kimo tu, japo kuna wengine niliwaona nawazidi urefu ila wako pale wanafanya kazi. Nikasema haya bn, kisicho ridhiki hakiliki!
Ni kweli ndugu, ila yote ni mapenzi yake Mungu
 
ulikuwa wa 50K,nilianza na lita 20.....1500/lita, ilobaki kwenye hyo 50 nikanunua vidumu na mkaa,mie nilikuwa nayachemsha kabisa
Hili ndo jambo la msingi, kiume akitwambia mtaji alikuwa nao Kuna bnadam tunaweza kumpush...
 
Ukipata 50k utaanza biashara ya maziwa?

Mzunguko wake wa soko ukoje?
 
Kama huna uhakika wa milo 3 kwa siku na kibaruaau kazi ya uhakika please USIOE

Unatesa watu bure

Msikimbilie kuoa wakati wewe mwe mwenyewe maisha una unga unga .

Pole mleta mada utapata kazi
 
Ukipata 50k utaanza biashara ya maziwa?

Mzunguko wake wa soko ukoje?
Ndio naweza anza mara moja maana wateja tayari ninao,na tuna genge pia ambalo kwa sasa tumelifunga nafikiria wife akae hapo na maziwa yaliyochemshwa na bites coz anatengeneza bites yeye,wakati mimi nazungusha mtaani!Mzunguko wake sio mbaya,lita 20 namaliza ndani ya siku2,japo natamani ziishe kwa siku1,nafikiria kutengeneza vipeperushi nizunguke migahawani,japo niliwahi zunguka huko
 
Kama huna uhakika wa milo 3 kwa siku na kibaruaau kazi ya uhakika please USIOE

Unatesa watu bure

Msikimbilie kuoa wakati wewe mwe mwenyewe maisha una unga unga .

Pole mleta mada utapata kazi
Asante kwa ushauri,binafsi nilikuwa na kazi before! hata tulipopunguzwa kazini nilikuwa nafanya biashara ya maziwa,mambo yalizid kuwa magumu zaid baada ya wife kufikia muda wa kujifungua,akapitiliza,ikahitajika Operation,na ina gharama kiasi,akiba yote ikaishia huko,hadi mtaji pia!sikuwa na sapoti na kuanzia hapo hali ikawa mbaya sana kwetu
 
Pole sana kaka .... Mungu ni mwema na nina iman atatenda miujiza ktk hili, kikubwa tuzid kueka imani kwake ... pole ndugu
 
Big up ... komaa tu ndugu na kwa style iyo milango mingine ambayo hata haukuitaraji lazima itafunguka na kuna siku uliyoyapitia utakujaga kuyasahau na kujishangaa utakapofikia ... amini hili
 
...dahh pole mwana
 
Big up ... komaa tu ndugu na kwa style iyo milango mingine ambayo hata haukuitaraji lazima itafunguka na kuna siku uliyoyapitia utakujaga kuyasahau na kujishangaa utakapofikia ... amini hili
Asante ndugu,naamini hivo pia!AMEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…