Familia inateseka sana. Nisaidieni natafuta Kazi, Kibarua

Familia inateseka sana. Nisaidieni natafuta Kazi, Kibarua

Na ukioa ukafukuzwa?
Hiyo ni Kudra ya Mungu ila sio kuoa ukiwa upo hovyo kiuchumi hiyo sio Kudra ni Bad Plan.

Pia ukifukuzwa kazi tofauti na ukiwa hukuwa na kazi unaweza kuwa na Saving au Asset ambazo unaweza kugeuza Mtaji.
 
Hiyo ni Kudra ya Mungu ila sio kuoa ukiwa upo hovyo kiuchumi hiyo sio Kudra ni Bad Plan.

Pia ukifukuzwa kazi tofauti na ukiwa hukuwa na kazi unaweza kuwa na Saving au Asset ambazo unaweza kugeuza Mtaji.

Kakwambia alioa bila Kazi? Si kakwambia alifukuzwa?
 
Hapa ndio naonaga ufala wa haya makanisa. Ukiwa na jax unawachangia waishi maisha mazuri halafu ukiwa arosto apeche alolo wao wanakuambia Mungu atakusaidia.

Mofos.
Ndio hivo ndugu,lkn mwisho wa siku yatupasa kuwa karibu na huduma za kiroho hata kama hakuna msaada wa moja kwa moja!Huwa sometimes naanda slides za ibada hapo,nachangamana inasaidia kupunguza stress.
 
Kakwambia alioa bila Kazi? Si kakwambia alifukuzwa?
Soma uangalie hii Sub-topic imeanzaje na nimejibu hivo kwamantiki gani, jibu langu halihusiani na mtoa mada bali kimada kilichozuka Happ nimetoa View yangu...kama unasoma kabla kujibu.
 
Ndio hivo ndugu,lkn mwisho wa siku yatupasa kuwa karibu na huduma za kiroho hata kama hakuna msaada wa moja kwa moja!Huwa sometimes naanda slides za ibada hapo,nachangamana inasaidia kupunguza stress.
Achana na mambo ya kanisa mkuu. Unapoteza muda bure kwa mambo ambayo hayana uhalisia.

Pambania kombe dingilai.
 
Sawa asante sana ndugu, nadhani ndio nimekuta missed call yake nilikuwa kwenye baiskeli sikunote call, namcheki
We kijana unaweza kuwa tapeli!

Unakumbuka hii


Usingekuwa tapeli ungemjibu sawia. Just prove me wrong!
 
We kijana unaweza kuwa tapeli!

Unakumbuka hii


Usingekuwa tapeli ungemjibu sawia. Just prove me wrong!
Mimi sio tapeli ndugu,kama unataka kunijua muulize hata mchungaji Mtemi wa Kanisa Anglican hapa Dodoma,au Katibu wa kanisa hilo,wananijua kama kijana wa IT ninaepitia wakati mgumu na hangaika kutafuta vibarua,hata walichukua CV yangu kujaribu nipate kazi!Ni kweli mimi ndio nilipost hiyo,yote hiyo ilikuwa wakati najaribu kuhangaika kutafuta nini cha kufanya,niliwahi kwenda Rwanda na kule nilijifunza masuala ya crypto, u jobless nikadhani naweza fundisha hyo kitu hapa,lkn nilikutana na changamoto nahitaji chumba/darasa na sikuwa na mtaji wa kutosha,nikaamua kubadilisha iidea nikaanza kuuza maziwa,hapo nlikuwa nazunguka na mzigo wa maziwa,niseme ukwel nilipotea kabisaa JF yani hadi majuzi naingia kupost hii ndio nakuta kumbe wadau waliniuliza maswali,lkn ni issue niliachana nayo japo natamani siku moja kuja ifanya!
 
Nashukuru kwa maoni yako, siwezi kukuzuia kuandika fikra zako,kuna watu katika maisha yao hawajawahi pitia hali hii,lkn waliopitia wanaelewa namaanisha nn!Namuogopa sana Mungu,Mimi ni mkristo mzuri tu hata kanisani kwangu hapa Anglican Dodoma hadi wachungaji wanajua hali yangu na familia yangu,sio mara moja tumelala njaa na nilichoandika sijaongopa kama unavyodhani Mungu shahidi yangu,nilikopa Voda Songesha nikaunga kifurushi wala sikutoa hela mfukoni,imani tu iliniingia kuwa naweza pata sapoti/mawazo hapa JF, nikasongesha na kupost issue yangu,nashukuru wapo walioguswa wamenisapoti,laptop kuna waloihitaji humu humu ni nishaongea nao PM sijui ndugu ulitaka nitangaze vipi zaid,lkn pia kuna ambao wamenipigia niwatumie cv na vyeti vyangu na kwa sapoti nilopata nimeweza tuma,hapa nipo kwenye dilema sasa nadaiwa rent haswaa ndio nataka niuze laptop maana sina amani muda wowote naweza tolewa hapa ndani,lkn kuna wana JF nimetuma cv naweza pata kazi,nikiuza laptop napataje mawasiliano ya email nimewatumia au ndio itabid niwe naenda cafe,simu natumia kitochi KXD.Je Mikoa hyo nikienda ndio kuna unafuu wa kazi,maisha au?ugenini pia kuna gharama za kuhama,settlement,au naenda mwenyewe niache familia then nalipa rent huku na huku?Nashukuru lkn kwa ushauri wako ila usijaji mtu kwa past experience ya huyo rafiki,Mungu wangu wa sirini ndio anajua niliongea ukweli!
Hauko pekeako mkuu Ni wengi wanataabika japo Wana elimu zao kichwani. Wazazi waliwasomesha kwa shida wakiamini kwamba watoto watapata mpenyo kiunchumi lakini Hali iko Kama ilivyo.

Jipe moyo struggle hangaika kwa kila namna Mungu atakufungulia milango na utashangaa.
 
Mimi sio tapeli ndugu,kama unataka kunijua muulize hata mchungaji Mtemi wa Kanisa Anglican hapa Dodoma,au Katibu wa kanisa hilo,wananijua kama kijana wa IT ninaepitia wakati mgumu na hangaika kutafuta vibarua,hata walichukua CV yangu kujaribu nipate kazi!Ni kweli mimi ndio nilipost hiyo,yote hiyo ilikuwa wakati najaribu kuhangaika kutafuta nini cha kufanya,niliwahi kwenda Rwanda na kule nilijifunza masuala ya crypto, u jobless nikadhani naweza fundisha hyo kitu hapa,lkn nilikutana na changamoto nahitaji chumba/darasa na sikuwa na mtaji wa kutosha,nikaamua kubadilisha iidea nikaanza kuuza maziwa,hapo nlikuwa nazunguka na mzigo wa maziwa,niseme ukwel nilipotea kabisaa JF yani hadi majuzi naingia kupost hii ndio nakuta kumbe wadau waliniuliza maswali,lkn ni issue niliachana nayo japo natamani siku moja kuja ifanya!
Mh! Maneno mengi huwa yanapotosha kijana! Endelea tu
 
Hauko pekeako mkuu Ni wengi wanataabika japo Wana elimu zao kichwani. Wazazi waliwasomesha kwa shida wakiamini kwamba watoto watapata mpenyo kiunchumi lakini Hali iko Kama ilivyo.

Jipe moyo struggle hangaika kwa kila namna Mungu atakufungulia milango na utashangaa.
Ni kweli tupo wengi,na si wote wanaweza jishusha na kuweka hadi contact zao public!Lkn bado kuna kukatishana tamaa,kuna watu bado wanakuita ni tapeli,inaumwa sana ukiwa unapitia wakati mgumu hv!
 
Habari wana JF,

Mie kijana wa kiume, naishi Dodoma! Nina mke na mtoto mchanga wa miezi 4. Kitaalum ni muhitimu wa Bachelor ya Computer Science, na nilikuwa nimeajiriwa sehem lkn tulipunguzwa kipindi kile janga la corona limepamba moto.

Sina kazi maalum kwa muda sasa, naunga unga tu kiukweli, nikibahatisha kupata kazi ya mtu binafsi mfano kutengeneza website au la kidogo imekuwa ikinibeba hasa kulipia kodi, lkn sijapata hizo kazi kitambo sasa! nimejaribu sana na bado naendelea kutuma maombi lkn sijafanikiwa, hali imekuwa ngumu kweli kweli kwetu! Nafanya vibarua sometimes hadi vya kubeba zege japo tu familia ipate mlo hasa mke anaenyonyesha!

Lakini saa nane kasoro hii usiku naandika hapa, tumelala njaa, leo nimejaribu vibarua bila mafanikio, hatuna hata sh. mia hapa ndani, imeniuma sana ndio maana nimekuja kwenu kuomba kazi, kibarua chochote halali hata cha kipato kidogo tu!

Mtoto wa miezi minne imebidi tu aanze kunywa uji maana mlo wetu mmoja kwa siku mama anakosa maziwa ya kutosha!

Mwenye chumba kanivumilia hadi kachoka kaniambia nikabidhi tu chumba, japo hii laptop naitumia kwa kazi zangu, lakn kama kuna mteja wana JF naiuza laki3, au kama kuna mtu anakopesha niiweke bond, atunusuru tafadhalini tunatolewa kwenye hii nyumba!

Nipo tayari kuja popote kufanya kazi/kibarua chochote halali! Naombeni sapoti nateseka sana, hasa huyu mzazi kulala njaa hivi inanipa stress sana!

Kwa mawasiliano, namba zangu 0767 960 255 au 0629 531 358.

Natanguliza Shukrani na Mungu atubariki!

Mkuu uko very lazy kufikiria out of the box. Laptop yako ndio silaha yako, anyways atleast ungejishikiza kufundisha tuitions, ukafanya freelancing e.t.c.

You're to blame for whatever your going through na before you start backlashes nmepitia worse situation than you ila i used my head more efficiently.
 
Hauko pekeako mkuu Ni wengi wanataabika japo Wana elimu zao kichwani. Wazazi waliwasomesha kwa shida wakiamini kwamba watoto watapata mpenyo kiunchumi lakini Hali iko Kama ilivyo.

Jipe moyo struggle hangaika kwa kila namna Mungu atakufungulia milango na utashangaa.
Ni kweli tupo wengi,na si wote wanaweza jishusha na kuweka hadi contact zao public!Lkn bado kuna kukatishana tamaa,kuna watu bado
Mh! Maneno mengi huwa yanapotosha kijana! Endelea tu
Najaribu kukuelewesha,Nikiandika machache hutaelewa!Ina uma sana wakati napitia wakati mgumu,u think me ni TAPELI?anyway Mungu ndo anajua,na kama huna imani nami,si lazima ndugu utoe chochote,lkn naheshimu mawazo yako!Asante
 
Ni kweli tupo wengi,na si wote wanaweza jishusha na kuweka hadi contact zao public!Lkn bado kuna kukatishana tamaa,kuna watu bado

Najaribu kukuelewesha,Nikiandika machache hutaelewa!Ina uma sana wakati napitia wakati mgumu,u think me ni TAPELI?anyway Mungu ndo anajua,na kama huna imani nami,si lazima ndugu utoe chochote,lkn naheshimu mawazo yako!Asante
Acha lugha ya jeuri kama unatafuta kweli, ndo maana naona uwalakini na maneno yako. Nikitoa data utakimbia hapa
 
Mkuu uko very lazy kufikiria out of the box. Laptop yako ndio silaha yako, anyways atleast ungejishikiza kufundisha tuitions, ukafanya freelancing e.t.c.

You're to blame for whatever your going through na before you start backlashes nmepitia worse situation than you ila i used my head more efficiently.
Naheshimu mawazo yako mkuu,freelancing nazifanya sana,ila kuna wakati mtu unapitia hupati hizo deal hata za freelancing,hata kuja hapa JF moja ya lengo ni kupata hizo freelancing deals na kuna JF wadau tayari wamenicheki for websites etc,so unaposema niko lazy kufkiri,jisikilize kwanza unachosema,social media ni platform ambayo unaweza pata connections ambazo usingeweza jua kama zipo,hvo ndivyo nilivyofikiria katika struggle hii!
 
Acha lugha ya jeuri kama unatafuta kweli, ndo maana naona uwalakini na maneno yako. Nikitoa data utakimbia hapa
Lakini ndugu ulivyoniita TAPELI wewe hujaona hyo kama ni lugha ya JEURI?imeniuma sana ilihali najijua si TAPELI,lengo kuu la kuja hapa natafuta kibarua/Kazi/Mawazo,na kwa walioguswa wamenisapoti,ndio maana nimesema kama huna imani nami si lazima utoe chochote coz unahisi naiba,so better kuwa katika safe side ya huyu unadhani ni tapeli!
 
Lakini ndugu ulivyoniita TAPELI wewe hujaona hyo kama ni lugha ya JEURI?imeniuma sana ilihali najijua si TAPELI,lengo kuu la kuja hapa natafuta kibarua/Kazi/Mawazo,na kwa walioguswa wamenisapoti,ndio maana nimesema kama huna imani nami si lazima utoe chochote coz unahisi naiba,so better kuwa katika safe side ya huyu unadhani ni tapeli!
Yametupata mengi hapa JF. Bado utetezi wako haujafua dafu. Huwezi kulala njaa na asubuhi ukawa unaendesha baiskeli kijana! Niendelee?
 
Yametupata mengi hapa JF. Bado utetezi wako haujafua dafu. Huwezi kulala njaa na asubuhi ukawa unaendesha baiskeli kijana! Niendelee?
Hata mimi pia nishawahi tapeliwa mtandaoni,naelewa sana worry yako!Hakuna sehem nimeandika kuwa asubuhi niliamkia kuendesha baiskeli baada ya kulala njaa,japo pia naona ni kitu kinawezekana! Baada ya muda mrefu leo ndio nimetoka na baiskeli kwenda Miyuji nilikokuwa nalangua maziwa kucheck upatikanaji wa maziwa,kuna wadau wamenishauri na wanataka nisapoti niendeleze hyo business!
 
Back
Top Bottom