Familia inateseka sana. Nisaidieni natafuta Kazi, Kibarua

Familia inateseka sana. Nisaidieni natafuta Kazi, Kibarua

Habari wana JF,

Mie kijana wa kiume, naishi Dodoma! Nina mke na mtoto mchanga wa miezi 4. Kitaalum ni muhitimu wa Bachelor ya Computer Science, na nilikuwa nimeajiriwa sehem lkn tulipunguzwa kipindi kile janga la corona limepamba moto.
Mkuu najua jinsi ya kutafsiri lugha ya maandishi na Hali halisi ila kwanza nikupe pole lakini pia jitahidi kutumia uhalisia ili Kama mtu kukusaidia Basi asiwe na shaka huenda unaongea ukweli Ila hivi vifuatavyo havipo sawa yaani umedanganya
1. Unasema huna hata Mia na mmelala njaa daa kijana mwogope mungu aisee hapa umeongopa na najua unaelewa namaanisha nini Ila kwa haraka haraka umeona Bora vocha kuliko kumlisha mtoto


2 . Unaposema huna hata 100 harafu muda huohuo una pc na unakuja kutufunga midomo kuwa unaiuza huku ukiwa huna lengo la kuuza ,maana Kama ungekuwa na lengo la kuuza ungeleta bandiko la kuuza hio pc ili utatue shida kuna rafiki angu aliwahi nambia kuwa napitia kipindi kigumu Sana haijawahi kutokea muda huohuo ana simu mbili smart na pc mpya kabisa alafu anadai sometimes analala njaa

3. Kama ushauri nakuambia Kama huna kazi dodoma sio sehemu sahihi ya kuishi uza pc hio nenda mkoa wowote Kama songea,morogoro,mbeya na mikoa ambayo Ina uhakika wa kula sio Dom Wala dar

Mwisho pitia huu Uzi hapa soma na comment

 
Mkuu najua jinsi ya kutafsiri lugha ya maandishi na Hali halisi ila kwanza nikupe pole lakini pia jitahidi kutumia uhalisia ili Kama mtu kukusaidia Basi asiwe na shaka huenda unaongea ukweli Ila hivi vifuatavyo havipo sawa yaani umedanganya
1. Unasema huna hata Mia na mmelala njaa daa kijana mwogope mungu aisee hapa umeongopa na najua unaelewa namaanisha nini Ila kwa haraka

Nashukuru kwa maoni yako, siwezi kukuzuia kuandika fikra zako,kuna watu katika maisha yao hawajawahi pitia hali hii,lkn waliopitia wanaelewa namaanisha nn!Namuogopa sana Mungu,Mimi ni mkristo mzuri tu hata kanisani kwangu hapa Anglican Dodoma hadi wachungaji wanajua hali yangu na familia yangu,sio mara moja tumelala njaa na nilichoandika sijaongopa kama unavyodhani Mungu shahidi yangu,nilikopa Voda Songesha nikaunga kifurushi wala sikutoa hela mfukoni,imani tu iliniingia kuwa naweza pata sapoti/mawazo hapa JF, nikasongesha na kupost issue yangu,nashukuru wapo walioguswa wamenisapoti,laptop kuna waloihitaji humu humu ni nishaongea nao PM sijui ndugu ulitaka nitangaze vipi zaid,lkn pia kuna ambao wamenipigia niwatumie cv na vyeti vyangu na kwa sapoti nilopata nimeweza tuma,hapa nipo kwenye dilema sasa nadaiwa rent haswaa ndio nataka niuze laptop maana sina amani muda wowote naweza tolewa hapa ndani,lkn kuna wana JF nimetuma cv naweza pata kazi,nikiuza laptop napataje mawasiliano ya email nimewatumia au ndio itabid niwe naenda cafe,simu natumia kitochi KXD.Je Mikoa hyo nikienda ndio kuna unafuu wa kazi,maisha au?ugenini pia kuna gharama za kuhama,settlement,au naenda mwenyewe niache familia then nalipa rent huku na huku?Nashukuru lkn kwa ushauri wako ila usijaji mtu kwa past experience ya huyo rafiki,Mungu wangu wa sirini ndio anajua niliongea ukweli!
 
Kama huna uhakika wa milo 3 kwa siku na kibaruaau kazi ya uhakika please USIOE

Unatesa watu bure

Msikimbilie kuoa wakati wewe mwe mwenyewe maisha una unga unga .
Hebu zungumzia na upande wa umri kusogea.
 
Hebu zungumzia na upande wa umri kusogea.
Unajua katika kuoa ni zaid tu ya umri kusogea,unaweza oa ukiwa na kipato kidogo mkatafuta maisha wote pamoja tena hawa wanadumu katika ndoa kuliko hata wanaosubiria uwe na hali nzurii hawa ukiyumba wengi wao hukengeuka au wengine wanaoana wakiwa vyuoni wanasoma!Atleast uwe una kipato kdogo unaingiza,lkn mwisho wa siku ndio hivo maisha yanabadilika!
 
Naomba vijana wenzangu kila mtu ajitolee angalau buku mbili mbili ili kuweza kumkimu kipindi iki iki akipitiacho
Kila mtu ajitolee buku mbili? wewe umeshatoa ??? mijitu mingine ya ajabu kinyama

Bro mwenye thread, usiuze hiyo laptop... hizo laki tatu za laptop hazikutoi, utazimaliza na laptop huna na mawasiliano huna, mtu wa tehama nyenzo ya kazi unaanzaje kuiuza? acha kutuyeyusha

Komaa mpaka mwisho wa wiki hii nikilipwa nakurushia mshiko, kazi ya kukuajiri sina, ila nina ka project ka kitehama tunaweza kuona tunafanyaje
 
Pole Sana rafiki yangu. Mungu wa Mbinguni ni Mwaminifu. Upendo wako na kujali kwako Familia yako ni lango kuu la Baraka.
Mungu anakupitisha katika hayo ili badae atakapokubariki ukawe ushuhuda lakini pia utawasaidia wengine.
Si jambo jepesi, hasa kwetu sisi wanaume Kuja kujiweka hadharani kuelezea mapito magumu tunayopitia.
Mungu wa Mbinguni atakusiadia, USIKATE TAMAA.

#RESPECT
 
wakuu amani iwe kwenu;
naomba tuungane kumchangia jamaa minimum ya elfu 1 tu kila mtu,tusiishie kumpa pole tu;
kaka sema namba gani unatumia kupokelea pesa;
Mungu akupe nguvu;
 
kila mtu ajitolee buku mbili? wewe umeshatoa ??? mijitu mingine ya ajabu kinyama

bro mwenye thread, usiuze hiyo laptop... hizo laki tatu za laptop hazikutoi, utazimaliza na laptop huna na mawasiliano huna, mtu wa tehama nyenzo ya kazi unaanzaje kuiuza? acha kutuyeyusha

komaa mpaka mwisho wa wiki hii nikilipwa nakurushia mshiko, kazi ya kukuajiri sina, ila nina ka project ka kitehama tunaweza kuona tunafanyaje
Asante kwa ushauri wako ndugu, kuuza laptop ilikuwa si kwa ajili ya kupata hela ya kujikimu bali nina changamoto ya kodi ya nyumba!nashukuru kwa proposal yako,sitamani hata kdogo kuuza hii laptop,nimepitiliza mno siku za kulipa kodi na mother house kiukweli kanivumilia hadi kanichokaa!
 
Pole Sana rafiki yangu. Mungu wa Mbinguni ni Mwaminifu. Upendo wako na kujali kwako Familia yako ni lango kuu la Baraka.
Mungu anakupitisha katika hayo ili badae atakapokubariki ukawe ushuhuda lakini pia utawasaidia wengine.
Si jambo jepesi, hasa kwetu sisi wanaume Kuja kujiweka hadharani kuelezea mapito magumu tunayopitia.
Mungu wa Mbinguni atakusiadia, USIKATE TAMAA.

#RESPECT
Asante ndugu,sijakata tamaa bado napambana kiukweli
 
Nashukuru kwa maoni yako, siwezi kukuzuia kuandika fikra zako,kuna watu katika maisha yao hawajawahi pitia hali hii,lkn waliopitia wanaelewa namaanisha nn!Namuogopa sana Mungu,Mimi ni mkristo mzuri tu hata kanisani kwangu hapa Anglican Dodoma hadi wachungaji wanajua hali yangu na familia yangu,sio mara moja tumelala njaa na nilichoandika sijaongopa kama unavyodhani Mungu shahidi yangu,nilikopa Voda Songesha nikaunga kifurushi wala sikutoa hela mfukoni,imani tu iliniingia kuwa naweza pata sapoti/mawazo hapa JF, nikasongesha na kupost issue yangu,nashukuru wapo walioguswa wamenisapoti,laptop kuna waloihitaji humu humu ni nishaongea nao PM sijui ndugu ulitaka nitangaze vipi zaid,lkn pia kuna ambao wamenipigia niwatumie cv na vyeti vyangu na kwa sapoti nilopata nimeweza tuma,hapa nipo kwenye dilema sasa nadaiwa rent haswaa ndio nataka niuze laptop maana sina amani muda wowote naweza tolewa hapa ndani,lkn kuna wana JF nimetuma cv naweza pata kazi,nikiuza laptop napataje mawasiliano ya email nimewatumia au ndio itabid niwe naenda cafe,simu natumia kitochi KXD.Je Mikoa hyo nikienda ndio kuna unafuu wa kazi,maisha au?ugenini pia kuna gharama za kuhama,settlement,au naenda mwenyewe niache familia then nalipa rent huku na huku?Nashukuru lkn kwa ushauri wako ila usijaji mtu kwa past experience ya huyo rafiki,Mungu wangu wa sirini ndio anajua niliongea ukweli!
Hapa ndio naonaga ufala wa haya makanisa. Ukiwa na jax unawachangia waishi maisha mazuri halafu ukiwa arosto apeche alolo wao wanakuambia Mungu atakusaidia.

Mofos.
 
asante kwa ushauri wako ndugu, kuuza laptop ilikuwa si kwa ajili ya kupata hela ya kujikimu bali nina changamoto ya kodi ya nyumba!nashukuru kwa proposal yako,sitamani hata kdogo kuuza hii laptop,nimepitiliza mno siku za kulipa kodi na mother house kiukweli kanivumilia hadi kanichokaa!
Uzaa iyo Computer naona hiyo kuwa kifaa cha kazi nk ni Excuse tu.

Laptop zipo sokoni zinauzwa miaka na miaka kilasiku watu wanauza na kununua ukiuza sio ndio mwisho wa kiwepo laptop Duniani still ukipata pesa unanunua...

Ukisema huna Smartphone utapokeaje Email sijui ni Excuse hiyo laptop ukiuza 300K unapata Smartphone, pesa ya Kodi, Ya kula kwa muda na yakutafutia Michongo.
 
Mkuu najua jinsi ya kutafsiri lugha ya maandishi na Hali halisi ila kwanza nikupe pole lakini pia jitahidi kutumia uhalisia ili Kama mtu kukusaidia Basi asiwe na shaka huenda unaongea ukweli Ila hivi vifuatavyo havipo sawa yaani umedanganya
1. Unasema huna hata Mia na mmelala njaa daa kijana mwogope mungu aisee hapa umeongopa na najua unaelewa namaanisha nini Ila kwa haraka haraka umeona Bora vocha kuliko kumlisha mtoto


2 . Unaposema huna hata 100 harafu muda huohuo una pc na unakuja kutufunga midomo kuwa unaiuza huku ukiwa huna lengo la kuuza ,maana Kama ungekuwa na lengo la kuuza ungeleta bandiko la kuuza hio pc ili utatue shida kuna rafiki angu aliwahi nambia kuwa napitia kipindi kigumu Sana haijawahi kutokea muda huohuo ana simu mbili smart na pc mpya kabisa alafu anadai sometimes analala njaa

3. Kama ushauri nakuambia Kama huna kazi dodoma sio sehemu sahihi ya kuishi uza pc hio nenda mkoa wowote Kama songea,morogoro,mbeya na mikoa ambayo Ina uhakika wa kula sio Dom Wala dar

Mwisho pitia huu Uzi hapa soma na comment


Na .1 ulioandika Ni ujinga na thinking yako ni ya kitoto; angempa mtoto then baada ya hapo? Kwa watafuta fursa na Ajira online Ni maisha na uhai kwao
 
Back
Top Bottom