LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
anajua kama amefanyiwa?Ni sherehe yake ya mwisho ya binadamu. Tumefanya hivyo kwa my beloved Mom. Sioni ubaya sababu, tulimpenda akiwa hai na hata baada ya kifo, tunampenda na kumfanyia kwa ukubwa, kama alivyokuwa hai.
😄😄😄Wewe pimbi mambo ya udini yanaingiaje hapa?
Wewe bikra yako ulitolewa na nani? Naona umeanza kuwaonea wivu wenye bikra zao.
msiba ni sherehee kama utabaki hapa duniani sawaMkuu msiba toka lini ikawa sherehe,mkuu uko serious kweli au uenda unatania?
Tangu lini kwenye sherehe watu wakalia?,Au huko kwenu sherehe huwa zina ambatana na Vilio halafu Vilio vina ambatana na Vicheko?
sasa pole ya nini kama juzi ya eid mnaenda kufanyia usafi makaburi ya ndugu zenu kuwakumbuka.na mda mwengine mnaita watu watu waje wafanye dua na chakula kuombea ujui hiyo ni sheree.Pole
Any way nisiwapangie lakini mimi binafsi nishatoa muongozo wa kimaandishi kisheria,Siku nikifa nizikwe bila Jeneza na kaburi langu lisijengewe wala kusakafiwa!
bora ajui kuliko wale waliokuwa hai wakidanganywa mbinguni kuna bikraanajua kama amefanyiwa?
Kwenye neno uwezo ulilolitaja, sijui kama umemuelewa mleta madaNi kama wewe tu unavyokula dagaa na kuziita dagaa nyama.... Hakuna dagaa nyama kula nyama Kwa uwezo wako...
Kama hauna uwezo wewe pandwa tu kama mbegu za seedco ..... Waache wazikwe hata Kwa gold kama Wana uwezo huo.....Kwenye neno uwezo ulilolitaja, sijui kama umemuelewa mleta mada
Tafuta hela, kijiba cha roho kitakuua mapema tukuzike kwenye mkeka. Mawazo ya kimasikini huwa yanaamini kila kizuri anachokitumia au kukifanya mwenye hela hakikustahili. Utasikia:-Ukihitaji salamu kutoka kwangu nenda kwanza kwa CAG ukasome ripoti ya Mwaka uliyopita,Tofauti na hapo utaambulia chuya!
Huwa nashangazwa sana na namna ambavyo Familia nyingi zimekuwa zikihaha,kukabana na kushikana mashati wakati wa Msiba eti kisa tu ipatikane pesa ambayo inatakiwa iende kwenye ununuzi wa Jeneza,na majeneza ambayo unakuta wananunua ni yenye pesa ndefu!
Hivi inawezekanaje maiti ikawekwa kwenye jeneza la milioni 5,Hivi kweli mnakuwa mko Serious?
Hii tabia ipo kwa Wakristo sana sana,nashukuru Waislam wao huwa hawanaga huu ujinga!
Yawezekanaje mtu alikuwa anaumwa na pengine hata pesa tu ya matibabu mlishindwa kumchangia,lakini akifa tu ndo unaona sasa wanafamilia "Viherehere" wanaopendaga show off misibani wakijitolea kununua jeneza la bei chafu,kwanini huyo mtu asizikwe kwenye jeneza tu la kawaida la mbao zisizozidi elfu 50?,Kwanini mnaharibu pesa kwenye Maiti?,Hizo pesa si bora zingefanya shughuli nyingine?
Any way nisiwapangie lakini mimi binafsi nishatoa muongozo wa kimaandishi kisheria,Siku nikifa nizikwe bila Jeneza na kaburi langu lisijengewe wala kusakafiwa!
Asante sana kipenzi Kapeace 🙏🥰Pole mamii
Siishi maisha ya show off, lakini pia sijafika hiyo level ya kumiliki gari ya milioni 500 lakini siwezi kutaka kila mtu aishi maisha yangu. Pia zingatia nimeongea kutembea kwa miguu, bodaboda nk
Tafuta hela, kijiba cha roho kitakuua mapema tukuzike kwenye mkeka. Mawazo ya kimasikini huwa yanaamini kila kizuri anachokitumia au kukifanya mwenye hela hakikustahili. Utasikia:-
- Hayo mavi8 yanamaliza mafuta. MAWAZO YA KIMASKINI
- Kuzikia jeneza la Laki3 ni kuchezea hela. MAWAZO YA KIMASKINI
- Unajenga ghorofa ukizeeka utaishi ghorofani>? MAWAZO YA KIMASKINI
- Unavaaje nguo ya Laki 5. MAWAZO YA KIMASKINI
- Upande ndege au gari kufika ni kufika tu. MAWAZO YA KIMASIKINI
- Nk...
msiba ni sherehee kama utabaki hapa duniani sawa
Hii comeback asipoelewa basi, tatizo ni uwezoNi kama wewe tu unavyokula dagaa na kuziita dagaa nyama.... Hakuna dagaa nyama kula nyama Kwa uwezo wako...
Umaskini ni laana aisee. Inafanya hadi mtu amwonee wivu marehemu.
Familia za kitajiri means wana uwezo, ni namna gani wanatumia pesa zao kwenye misiba hilo ni la kwao, si la kwenu. Kwa hiyo msiokuwa na uwezo msiwapangie wenye nachoTabia hii imekithiri sana kwa familia za kitajiri.hao ndo wanaopenda sana showcase mbele za watanzania
Karne nyingi sana watu walizikwa kwenye masanduku hasa huko misri ya kale kabla ya kuvamiwa na waarabu.Ni kama wewe tu unavyokula dagaa na kuziita dagaa nyama.... Hakuna dagaa nyama kula nyama Kwa uwezo wako...
Basi Sawa✊✊✊Soma heading yake alafu uone nani aliyeghafilika, Angeongea kuhusu jamii kuhudumia mtu akiwa hai pasipo kusubiri afe ndo watu wachange well and good. Ningeona point yake. Lakini kusema familia inayomuweka marehemu kwenye Jeneza la 3 kwenda juu haina akili hayo ni mawazo ya kimaskini, kufikiria matumizi ya mwenzio na kutamani hiyo hela ungepewa wewe. Kifupi ni Ubinafsi ana uhakika gani kuwa wote wanaotumia majeneza ya hizo gharama hawakuwahudumia wagonjwa wao kabla ya mauti kuwakuta?
Yeye wasio wake wa namna ya kuzikwa apeleke kwenye familia yake yawezekana hapa hata kusoma hawamsomi