Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Jeneza la 50 imekua kibanda cha kufugia sungura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siwezi kuwaza laki 3 za jeneza siku ukifa nitafute nitanunua hata sita uzikwe kwa heshima acha kuwa na roho ya kimaskini hivo ukizeeka utakuwa mchawi.Kwahiyo kama haujafika hiyo levo wewe na familia yako kwa kifupi mko kwenye lindi la umasikini,sasa inakuwaje kama ndivyo ushadadie masikini kuzikwa akiwa ndani ya Jeneza la Milioni 1?
[emoji2][emoji2][emoji2]Jeneza la 50 imekua kibanda cha kufugia sungura?
Mazishi /maziko yana utamaduni ndani yake. Tofauti ya maziko ya kikristo na kiislam na pia kwa dini nyingine imetokana na sehemu dini husika ilipoanzia. Kuzika kwa jeneza au bila jeneza au kwa kusokotwa kwenye ngozi, kuhifadhi maiti ndani au kwenye mapango, kuchoma vyote hivi vilikuepo kabla ya dini zetu ila dini zilifanya kutohoa hizo taratibu kutoka kwenye mila na desturi za watu dini ilipoanzia.Ukihitaji salamu kutoka kwangu nenda kwanza kwa CAG ukasome ripoti ya Mwaka uliyopita,Tofauti na hapo utaambulia chuya!
Huwa nashangazwa sana na namna ambavyo Familia nyingi zimekuwa zikihaha,kukabana na kushikana mashati wakati wa Msiba eti kisa tu ipatikane pesa ambayo inatakiwa iende kwenye ununuzi wa Jeneza,na majeneza ambayo unakuta wananunua ni yenye pesa ndefu!
Hivi inawezekanaje maiti ikawekwa kwenye jeneza la milioni 5,Hivi kweli mnakuwa mko Serious?
Hii tabia ipo kwa Wakristo sana sana,nashukuru Waislam wao huwa hawanaga huu ujinga!
Yawezekanaje mtu alikuwa anaumwa na pengine hata pesa tu ya matibabu mlishindwa kumchangia,lakini akifa tu ndo unaona sasa wanafamilia "Viherehere" wanaopendaga show off misibani wakijitolea kununua jeneza la bei chafu,kwanini huyo mtu asizikwe kwenye jeneza tu la kawaida la mbao zisizozidi elfu 50?,Kwanini mnaharibu pesa kwenye Maiti?,Hizo pesa si bora zingefanya shughuli nyingine?
Any way nisiwapangie lakini mimi binafsi nishatoa muongozo wa kimaandishi kisheria,Siku nikifa nizikwe bila Jeneza na kaburi langu lisijengewe wala kusakafiwa!
Mtu mweusi siku zote ni mtu asiyejielewa na asiyeweza kusimamia jambo lake.Jamii zetu zina shida ya kiakili sana mkuu!
Kama haujatembea usiwe na mdomo wa kuongea yote wakati haujui yote....Kuna kabira flan liko huko Tarime nadhani ni wajaruo...Mtu akifariki wao hawana muda wa kulia ni kukaa na huo msiba siku kadhaa na wanakodisha music system kabsaaa zinapigwa nyimbo zoote unazozijua playlist babu kubwaa.Mkuu msiba toka lini ikawa sherehe,mkuu uko serious kweli au uenda unatania?
Tangu lini kwenye sherehe watu wakalia?,Au huko kwenu sherehe huwa zina ambatana na Vilio halafu Vilio vina ambatana na Vicheko?
✅ mjadala uishie hapa.Ikiwa pesa hiyo Marehemu hakuitafuta, na mpaka anakufa hakuwa nayo basi upo sawa.
Ila kama MAREHEMU anakufa na kuacha mahela mengi hapa Duniani, basi ni dhulma kubwa kumpumzisha bila kugharamia mazishi yake kwa namna ambayo hata yeye angependa iwe.