Familia nyingine ni za ajabu sana

Wabibi wa Kanyengereko wanajua wanachokizungumza omwana. Na zaidi kuna siku huyo wa pili almanusura aropoke stori kamili. Alishaanza baba leo tumeenda kwa baba yake na...mama mtu akamuwahi kwa karipio kali na kuipotezea stori.

Inawezekana ndugu yenu anajua sema kanyamaza hajataka kuishirikisha familia kaamua kufa na tai shingoni. Unajua ndoa zina mengi sana
 
Inawezekana ndugu yenu anajua sema kanyamaza hajataka kuishirikisha familia kaamua kufa na tai shingoni. Unajua ndoa zina mengi sana
Wewe unaweza kufanya hivyo yaan kuchanganya damu za wanaume usizae na mwanaume mmoja alafu watoto wote umpe mwanaume mmoja?
 
Inawezekana ndugu yenu anajua sema kanyamaza hajataka kuishirikisha familia kaamua kufa na tai shingoni. Unajua ndoa zina mengi sana
Hahaha. Sisi kama ndugu tulishuazimia mambo haya:
👉 Tutawajali watoto kama wa ndugu yetu japo sio wake. Tutaacha tu siku kuwatambua ikatokea ndugu yetu katangulia duniani. Maana huyo mwanamke ni aina ile ya kuponda na kufanya anasa. Kutafuta hajui, kazoea mume wake analeta. Na uzuri jamaa mfuko yuko njema tu. Ila mwanamke ni kichomi kwelikweli. We fikiria mpaka marafiki zake wamekata mguu. Mwanamke hapendi marafiki, ndugu wa mumewe..mbaya zaidi hata ndugu zake. Ni mwanamke wa ajabu kwelikweli.
 
Wewe unaweza kufanya hivyo yaan kuchanganya damu za wanaume usizae na mwanaume mmoja alafu watoto wote umpe mwanaume mmoja?

Hapo kuna kitu, inawezekana ndugu yao akawa na shida ya uzazi ila wakaamua wafanye hivyo ili kumfichia aibu. Mimi siamini mwanaume uletewe watoto watatu tofauti afu kila mmoja na baba yake na bado usigundue!!!
 
Hapo kuna kitu, inawezekana ndugu yao akawa na shida ya uzazi ila wakaamua wafanye hivyo ili kumfichia aibu. Mimi siamini mwanaume uletewe watoto watatu tofauti afu kila mmoja na baba yake na bado usigundue!!!
Ndio maana nilikueleza kamfanya zuzu. Mwanzoni vitimbi vya mwanamke ndugu alikua tayari kumuacha. Mwanamke kafanya ya kufanya mwamba huyu hapa kanyooka. Mwanamke ndiye mwenye say
 

Mhmmm!! Hapo inatakiwa rehema ya Mungu ya hali ya juu. Ni mtihani mzito huo
 
Ndio maana nilikueleza kamfanya zuzu. Mwanzoni vitimbi vya mwanamke ndugu alikua tayari kumuacha. Mwanamke kafanya ya kufanya mwamba huyu hapa kanyooka. Mwanamke ndiye mwenye say

Kabisaa wahaya mmekubali kuzidiwa nguvu na wazaramo??? Unajua bado siamini? Wahaya kwa dawa za mitishamba na kupumbaza wanaume wanazo tena zile konki, hebu rudini kwa mabibi zenu mumsaidie ndugu yenu.

Km imeshindikana pigeni goti kwa Mungu km ni kweli yote yataisha. Mungu hajawahi kushindwa ni kitendo cha muda tu
 
Pole sana mdogo wangu... Wakati mwingine hizi huwa ni roho na maagano ambayo hatuwezi kuyang'amua kwa macho ya kawaida. Inahitaji kufanya sana sala/dua na kufunga ili kujikomboa kutoka katika vifungo hivi.
 
Mchukuenj mama mkaishi.nae...ila hawakawii kuuza nyumba Kwa Tabia ulizielezea Mkuu...poleni sana aseee
 
Shukrani mkuu nitajitahidi kutafuta ufumbuzi
 
Amina amina
 
Kabisa umeongea ukweli
 
Kabisa umeongea ukweli
 
Hua nasema ndugu yako wa damu ni wewe in another image ( body), kwahyo kama unaona kuna mambo hayako sawa basi unatakiwa umsaidie au umuombee maana kwa kufanya hivyo unakua unajisaidia wewe pia

Lakini kuona kana kwamba umezaliwa bahati mbaya hapo kwa Mungu hakuna bahati mbaya(wala wazee wa mambo ya kiroho wanajua)
Mtoa mada usijaribu kujiona upo hapo kibahati na ukawakosoa au kudhihaki, kwakufanya hivyo utakua unajivua nguo wewe mwenyewe,
Upo hapo kwa sababu
 
Wapo watakaokuona Zuzu eti mlete bimkubwa mpangishie chumba na yeye qummke kuna watu wanachukulia mambo rahisi rahisi tu kisa wanazishika elfu 10 10 bila kutumia nguvu zozote
Watu wanachukulia vitu simple sana😂😂
 
Sawa mkuu
 
Nimeshakwambia wapo watakaokuona Zuzu ukisema hivyo wengi wao wanafikiria umepanga apartment na unaishi Masaki huko kumbe jamaa yangu upo zako uswahili chumba cha giza hakina hata umeme na life linasonga
Yani acha mzee watu wanachukulia mambo easy sana
 
Sawa mkuu ngoja nifanye yanayonihusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…