Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
 
Watanzania tunamambo ya hovyo, muhusika alikwisha kufa na hatarudi tena pamoja na kuwepo kwa sheria inayowalinda viongozi, lakini bado wapo wanaomuabudu na kumtii wakidhani atarudi! Harudi tena huyo fanyeni mambo mengine yenye tija.
cc: Bavicha
 
🙄
JamiiForums425187988.jpeg
 
Huyu alikuwa dikteta ndio maana anatukanwa sio
Ukiwa Mtawala inatukanwa Katiba siyo Wewe

Ukiwa kiongozi yanatukanwa maono

Ndio sababu mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Shujaa Maguful hakuzuia Mikutano ya hadhara bali walioizuia ni Kamati kuu ya CCM

Nyie vijana wa dotcom ni ngumu kuelewa haya

Huwezi Kuwa na Kiongozi halafu uwe na Katiba

Kiongozi ndiye Katiba

Yesu ndiye Neno la Mungu!
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Kweli wewe hujui Magufuli alikosea wapi!!!? Samia mwenyewe anahangaika kurekebisha maelfu ya makosa aliyofanya huyo mtu wenu. Juzi tu Samia ameondoa katazo la mikutano ya siasa lililowekwa na dikteta; hujui bado Magufuli alikosea wapi?!!!
 
Ni makosa ya baba yao, yeye aliendekeza ubinadamu wake na atatukanwa sana kwa vizazi na vizazi. Mtoto atakaezaliwa mwaka 2050 akisikia kwamba kuna jitihada zilifanywa kukuza na demokrasia na haki za binadamu ila akaja mtu mmoja anaitwa ...... akarudisha jitihada hizo nyuma lazima atamtukana!
"Maisha ya binadamu ni hadithi"-Mzee Mwinyi
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Wale misukule yake ndiyo wanasababisha yote haya kila siku wanapandisha nyuzi za kumtukuza wakati wanajua kuwa mtu wao alijeruhi wengi.
 
Ukiwa Mtawala inatukanwa Katiba siyo Wewe

Ukiwa kiongozi yanatukanwa maono

Ndio sababu mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Shujaa Maguful hakuzuia Mikutano ya hadhara bali walioizuia ni Kamati kuu ya CCM

Nyie vijana wa dotcom ni ngumu kuelewa haya

Huwezi Kuwa na Kiongozi halafu uwe na Katiba

Kiongozi ndiye Katiba

Yesu ndiye Neno la Mungu!
Usichanganye siasa na Yesu.
Yesu alisena tuuane kwenye viroba
 
Ukiwa Mtawala inatukanwa Katiba siyo Wewe

Ukiwa kiongozi yanatukanwa maono

Ndio sababu mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Shujaa Maguful hakuzuia Mikutano ya hadhara bali walioizuia ni Kamati kuu ya CCM

Nyie vijana wa dotcom ni ngumu kuelewa haya

Huwezi Kuwa na Kiongozi halafu uwe na Katiba

Kiongozi ndiye Katiba

Yesu ndiye Neno la Mungu!
Jiuaji bladifakeni Jiwe
 
Back
Top Bottom