Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Umewahi jiuliza familia za Ben Saanane na Azory zinajisikiaje?
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha......sijamaanisha kiumri ola kisiasa bwashee!Nalingana na baba yako shenzy
Familia ya hayati Azori Gwanda na Ben Saanane, inajisikiaje hawajapat hata maiti za wapendwa wao?!!!Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Ngoja wafe, hata nyerere anatukanwa.Mbona Mwinyi na wenzake hawatukanwi
Mwalimu unataka kupenya,kama sio mwenzao hupenyi hata kidogo ,just for your informationPengo kubwa la kipato kati wenye nacho na wasionacho ni KUBWA Sana!
Pengo Hilo linazalisha kina jpm wengi Sana KILA uchwao!
Tulikuwa na JPM mkristo BADO JPM muislamu anakuja kama sio Mimi ni mwingine!!
Nani atavumilia ujinga huu uliopo!?
Yaani umeme kama kibatari,RC Gari la million 500 WAKATI walipa kodi wanajua msoto!!
Kina jpm tutakaotukanwa tupo WENGI TU tena waanze kututukana Sasa!
Walimu wanagawiwa vishkwambi badala ya kuwaongezea mishahara Halafu wanaambiwa marufuku kuongea kiswahili darasani wakati wanafunzi wa formone hawana ujuzi wa kiingereza bado upigaji mwingine tu! Eti VIJANA pendwa wanajiandaa na urais!!!
Labda wazuie nisipenye!sitojali huyu ni Mtoto wa Nani!nitaheshimu na kujali VIJANA wa NYERERE tu!!
Sheria zipo kwaajili ya wote hata marais wastaafu wataingizwa mahabusu kama waliiba fedha za umma!!
Wametukanwa sana tena sana, pengine wewe uliyafunga masikio yako. Lakini ukweli Ni kuwa sio mila wala desturi zetu, kuwatukana waliotutangulia
Jpm hakuwa mwenzao alipenyaje!!?Mwalimu unataka kupenya,kama sio mwenzao hupenyi hata kidogo ,just for your information
Sifa zina pande mbili...uzuri na ubaya.Hata mitume walitukanwa
Ni gharama za uongozi
Kisa mwanamke Dada yake alinunuaHii ya kupasua jeneza ikoje mkuu
POMBE......Hilo nalo ni tatizo kuna watu wanadhani atafufuka
Ina Maana the state wanaacha NCHI mikononi mwa mtandao na genge FULANI!?Hawawezi kurudia yale makosa,waliishi jwa shida sana miaka mitano