Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Kiongozi anayeongoza taasisi kwa miaka zaid ya 20, na taasisi imekua ikipata ruzuku ya 300m per month kwa miaka 5 mfululizo, kiongozi huyo ameshindwa kujenga hata ofisi ya ya milion 30 ataweza kuongoza nchi?

Kiongozi anayepanda jukwaani akiwa amelewa, anazaa ovyo na wanachama na wakati ana ndoa ya kikristo ataaminika?

CCM siipendi lakini mbadala wake simuoni hapa nchini kwa sasa.. na ile kauli ya mwalimu Nyerere kua "mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kua bila CCM imara nchi yetu itayumba" ni ya kweli kabisa
 
Kiongozi anayeongoza taasisi kwa miaka zaid ya 20, na taasisi imekua ikipata ruzuku ya 300m per month kwa miaka 5 mfululizo, kiongozi huyo ameshindwa kujenga hata ofisi ya ya milion 30 ataweza kuongoza nchi?

Kiongozi anayepanda jukwaani akiwa amelewa, anazaa ovyo na wanachama na wakati ana ndoa ya kikristo ataaminika?

CCM siipendi lakini mbadala wake simuoni hapa nchini kwa sasa.. na ile kauli ya mwalimu Nyerere kua "mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kua bila CCM imara nchi yetu itayumba" ni ya kweli kabisa
Ndugu wa "MAREHEMU"
 
Wewe wasema
Kiongozi anayeongoza taasisi kwa miaka zaid ya 20, na taasisi imekua ikipata ruzuku ya 300m per month kwa miaka 5 mfululizo, kiongozi huyo ameshindwa kujenga hata ofisi ya ya milion 30 ataweza kuongoza nchi?

Kiongozi anayepanda jukwaani akiwa amelewa, anazaa ovyo na wanachama na wakati ana ndoa ya kikristo ataaminika?

CCM siipendi lakini mbadala wake simuoni hapa nchini kwa sasa.. na ile kauli ya mwalimu Nyerere kua "mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kua bila CCM imara nchi yetu itayumba" ni ya kweli kabisa
 
Magu alikuwa rais mzuri mwenye misimamo ila naye alikosea kupita njia ileile wanayopita madikteta wote... KUNYIMA WATU UHURU WA KUTOA MAONI... Gadafi, Sankara, Lumumba na wazalendo wengine kosa ilikuwa ni kwenye kuwabana watu wasiongee chochote. Suala la kutoa maoni ni suala la asili hivyo kumzuia mtu ni kumnyima haki yake. Jakaya Kikwete alikuwa bingwa kabisa wa haya mambo ya demokrasia. Na kama alikuwa anatoa kichapo ilikuwa kimyakimya. Huyu dogo wa enzi za JK aliandika bango la maudhi na mbaya zaidi mwanahalisi wakatoa picha frontpage. Ingekuwa enzi za Magu basi huyu dogo, familia yake pamoja na mwanahalisi wangekiona cha moto.
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    71 KB · Views: 4
Magu alikuwa rais mzuri mwenye misimamo ila naye alikosea kupita njia ileile wanayopita madikteta wote... KUNYIMA WATU UHURU WA KUTOA MAONI... Gadafi, Sankara, Lumumba na wazalendo wengine kosa ilikuwa ni kwenye kuwabana watu wasiongee chochote. Suala la kutoa maoni ni suala la asili hivyo kumzuia mtu ni kumnyima haki yake. Jakaya Kikwete alikuwa bingwa kabisa wa haya mambo ya demokrasia. Na kama alikuwa anatoa kichapo ilikuwa kimyakimya. Huyu dogo wa enzi za JK aliandika bango la maudhi na mbaya zaidi mwanahalisi wakatoa picha frontpage. Ingekuwa enzi za Magu basi huyu dogo, familia yake pamoja na mwanahalisi wangekiona cha moto.
Uko sahihi,huyu dogo angepotezwa mazima.
Kila serikali inaukatili wake ila sio huu wa waziwazi kama wa JPM,nimekuelewa sana mkuu
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Walijisikiaje alipokuwa akiua watu miaka mitano baada ya kuzuzuka na Urais?
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Kwanini atukanwe yeye tu ?

.... Mchuma Janga hula na wa kwao .
 
Magu uko nae moyoni kwako, sio kila mtu anae moyoni mwake. Usitusemee sisi wengine. Mwache ahukumiwe kwa matendo na kauli zake
Msivyo jielewa mtatumia miaka miwili kumtukana jukwaani badala muoneshe the way forward. Mnamsema magufuli as if wengine hatukuwepo tunaona so mnatusimulia. Why waste time for the dead!!!!
Onesha Sera zenu zinazomgusa mwananchi sio mambo yanayowagawa wananchi.
Tafuteni blocks za kura...mfano. Pambaneni kuteka kanda zenye kura nyingi ambazo hata kama hazitawapa urais lakini ziwape wabunge wengi.
Achana na DJ mbowe huyo ameshalamba asali....
Pambaneni kuhakikisha chama kina kuwa na dira sio mkumbo na mihemko.
 
Walijisikiaje alipokuwa akiua watu miaka mitano baada ya kuzuzuka na Urais?
Unadhani hiyo itawaongezea kura....? Badala ya mahasira na makasiriko mengi...jielekezeni kwenye kurecruit team ambayo itakipeleka chama chenu mbele. Hata Mimi napenda mabadiliko kupitia chama chochote nje ya ccm ila sio kwa uongozi wa mbowe. Upinzan wa tz haujui hata unataka mini na ndio maana mtapoteza miaka miwili kumtukana magufuli huku wenzenu ccm wanasuka mipango.
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Labda anatukanwa na wabaya wake mitandaoni lakini ukija huku kwa Ground acha kabisa watu wanamkumbuka jamaa sana sana !!
 
Unadhani hiyo itawaongezea kura....? Badala ya mahasira na makasiriko mengi...jielekezeni kwenye kurecruit team ambayo itakipeleka chama chenu mbele. Hata Mimi napenda mabadiliko kupitia chama chochote nje ya ccm ila sio kwa uongozi wa mbowe. Upinzan wa tz haujui hata unataka mini na ndio maana mtapoteza miaka miwili kumtukana magufuli huku wenzenu ccm wanasuka mipango.
Go to hell and face the agonies therein
 
Pengo kubwa la kipato kati wenye nacho na wasionacho ni KUBWA Sana!

Pengo Hilo linazalisha kina jpm wengi Sana KILA uchwao!

Tulikuwa na JPM mkristo BADO JPM muislamu anakuja kama sio Mimi ni mwingine!!

Nani atavumilia ujinga huu uliopo!?

Yaani umeme kama kibatari,RC Gari la million 500 WAKATI walipa kodi wanajua msoto!!

Kina jpm tutakaotukanwa tupo WENGI TU tena waanze kututukana Sasa!

Walimu wanagawiwa vishkwambi badala ya kuwaongezea mishahara Halafu wanaambiwa marufuku kuongea kiswahili darasani wakati wanafunzi wa formone hawana ujuzi wa kiingereza bado upigaji mwingine tu! Eti VIJANA pendwa wanajiandaa na urais!!!


Labda wazuie nisipenye!sitojali huyu ni Mtoto wa Nani!nitaheshimu na kujali VIJANA wa NYERERE tu!!

Sheria zipo kwaajili ya wote hata marais wastaafu wataingizwa mahabusu kama waliiba fedha za umma!!
Duh ! Hii si mchezo !! Kama utani vile lakini ipo logic ndani yake ! Na anaweza akaja kutokea ! Who knows ?!!
 
Watanzania tuna mambo ya ovyo, muhusika alikwisha kufa na hatarudi tena pamoja na kuwepo kwa sheria inayowalinda viongozi, lakini bado wapo wanaomuabudu na kumtii wakidhani atarudi! Harudi tena huyo fanyeni mambo mengine yenye tija.
Kumbe kuna machoko bado nyolo zinapwita sana wakiskia Jina la JPM
 
Back
Top Bottom