Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Hawana la kufanya, wavumilie tu maana baba yao alikuwa Rais wetu...

Wanapaswa kujisikia vilevile kama ambavyo wanavyosikia anavyosifiwa..!!
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma

Familia yake wanaweza kujisikia vibaya kuhusu baba yao kusemwa wao wakiwa binadamu, ila hilo halikuanza baada ya kufariki kwake. Kinachofanyika sasa sio matusi, bali watu wanasoma kitabu cha maisha alichoandika baba yao. Na hawana lolote la kufanya maana yasemwayo ni kweli.
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
This is unfair kwa wapenzi, ndugu na jamaa wa marehemu kwani huwaponyi Bali unawaadhibu kwa kufanya psychological torture! Acha hii kitu Mara moja kwani unafanya jinai na huitakii jamii yake amani.
Viongozi wetu wanajitahidi kutuleta pamoja na kusahau yaliyopita wewe unachochea mpasuko na uvunjivu wa amani dhidi ya wafuasi wake na wasio wafuasi wake! Lengo lako ni nini Kama huchochei vurugu?
Halafu unajiona umeandika as a gt!
 
Pengo kubwa la kipato kati wenye nacho na wasionacho ni KUBWA Sana!

Pengo Hilo linazalisha kina jpm wengi Sana KILA uchwao!

Tulikuwa na JPM mkristo BADO JPM muislamu anakuja kama sio Mimi ni mwingine!!

Nani atavumilia ujinga huu uliopo!?

Yaani umeme kama kibatari,RC Gari la million 500 WAKATI walipa kodi wanajua msoto!!

Kina jpm tutakaotukanwa tupo WENGI TU tena waanze kututukana Sasa!

Walimu wanagawiwa vishkwambi badala ya kuwaongezea mishahara Halafu wanaambiwa marufuku kuongea kiswahili darasani wakati wanafunzi wa formone hawana ujuzi wa kiingereza bado upigaji mwingine tu! Eti VIJANA pendwa wanajiandaa na urais!!!


Labda wazuie nisipenye!sitojali huyu ni Mtoto wa Nani!nitaheshimu na kujali VIJANA wa NYERERE tu!!

Sheria zipo kwaajili ya wote hata marais wastaafu wataingizwa mahabusu kama waliiba fedha za umma!!
Sheria hazifanyi kazi retrospectively, hivyo huwezi kuwashitaki marais wa zamani kwa sheria mpya, labda mapinduzi yatokee na waamue kuchukua hatua kwa hisia badala ya sheria.
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma

Umesahau kikwete alivyokua akitukanwa akiwa madarakan? Unakumbuka wakati magufuli yupo madarakani kulikua na kauli za hao wastaafu wanawashwa?

Hebu kitulize kwanza!
 
This is unfair kwa wapenzi, ndugu na jamaa wa marehemu kwani huwaponyi Bali unawaadhibu kwa kufanya psychological torture! Acha hii kitu Mara moja kwani unafanya jinai na huitakii jamii yake amani.
Viongozi wetu wanajitahidi kutuleta pamoja na kusahau yaliyopita wewe unachochea mpasuko na uvunjivu wa amani dhidi ya wafuasi wake na wasio wafuasi wake! Lengo lako ni nini Kama huchochei vurugu?
Halafu unajiona umeandika as a gt!

Bila mambo haya kusemwa ni rahisi kujirudia hasa kwa katiba hii. Ni bora watu waseme ili wengine watakaobahatika kupata madaraka wawe viongozi wema.
 
Bila mambo haya kusemwa ni rahisi kujirudia hasa kwa katiba hii. Ni bora watu waseme ili wengine watakaobahatika kupata madaraka wawe viongozi wema.
Familia yake haikuwa rais wa nchi hii hivyo kuwaingiza Kama sehemu ya utawala wake haileti afya! Tujifunze kuziweka familia zetu mbali na uongozi wetu.
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Wanakula matunda ya legacy 😀😀
 
Pengo kubwa la kipato kati wenye nacho na wasionacho ni KUBWA Sana!

Pengo Hilo linazalisha kina jpm wengi Sana KILA uchwao!

Tulikuwa na JPM mkristo BADO JPM muislamu anakuja kama sio Mimi ni mwingine!!

Nani atavumilia ujinga huu uliopo!?

Yaani umeme kama kibatari,RC Gari la million 500 WAKATI walipa kodi wanajua msoto!!

Kina jpm tutakaotukanwa tupo WENGI TU tena waanze kututukana Sasa!

Walimu wanagawiwa vishkwambi badala ya kuwaongezea mishahara Halafu wanaambiwa marufuku kuongea kiswahili darasani wakati wanafunzi wa formone hawana ujuzi wa kiingereza bado upigaji mwingine tu! Eti VIJANA pendwa wanajiandaa na urais!!!


Labda wazuie nisipenye!sitojali huyu ni Mtoto wa Nani!nitaheshimu na kujali VIJANA wa NYERERE tu!!

Sheria zipo kwaajili ya wote hata marais wastaafu wataingizwa mahabusu kama waliiba fedha za umma!!
Sasa kama na wewe sio mpumbavu niambie kwenye utawala wa JP ni nani aliewahi kuongezewa mshahara, ni viongozi wapi walikuwa wanatembelea IST? Usijizime data, eti na wewe ni mwalimu. Bure kabisa
 
Kumbe kuna machoko bado nyolo zinapwita sana wakiskia Jina la JPM
So long as mko hai mtabeba majanga aliyochuma huyo mtu wenu..😁😁😁😁.

alipiga watu risasi hata pole hakuna,
alivunja watu miguu akasema eti walilewa 😁😁😁😁.

Nawapatiliza wana dhambi za baba zao,mtabeba Hadi mnaingia makaburini kumfuata baba yenu 💉💉💉
 
Kiongozi anayeongoza taasisi kwa miaka zaid ya 20, na taasisi imekua ikipata ruzuku ya 300m per month kwa miaka 5 mfululizo, kiongozi huyo ameshindwa kujenga hata ofisi ya ya milion 30 ataweza kuongoza nchi?

Kiongozi anayepanda jukwaani akiwa amelewa, anazaa ovyo na wanachama na wakati ana ndoa ya kikristo ataaminika?

CCM siipendi lakini mbadala wake simuoni hapa nchini kwa sasa.. na ile kauli ya mwalimu Nyerere kua "mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kua bila CCM imara nchi yetu itayumba" ni ya kweli kabisa
Hii ni cheap politics madam, wengi wamejaribu kuja na hii propaganda na wote wameangukia pua. Ofisi sio watu. Unaweza ukawa na ofisi nchi nzima na watu wasikuelewe. So njoo na hoja nyingine
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Kwa Magufuli wala usiwe na wasiwasi na familia yake. Hata wenyewe walifurahi DIKTETA kurudisha namba.
 
Back
Top Bottom