Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukubwa gunia la chawa. Ukikubali uongozi wa nchi, umekubali kutukanwa.Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Kumbe sasa hivi wanaishi kama mashetani,hawana uhakika wa kula,wanaosoma hawaendi shule sababu hawawezi lipia school fees,wanasaga lami jua lao mvua yao.Hawana uhakika wa sehemu ya kuishi.Waliishi zaidi ya malaika wakati yuko hai,watulie sasa
Hii Park ndiyo wahenga mlikuwa mnapaita The Hill?Ungekuwa The Hill enzi za Mwinyi usingeuliza hili swali!
As you sow, so shall you reap.Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Yule baba alikuwa na mdomo mchafu! Wengine aliwaambia wapige mbuzi, wengine walale na mavi yao ndani ya nyumba zao.Nilitegemea uwashauri viongozi waache kuua na kuteka watu ili kuepusha kutukanwa. Pia waache kutukana wengine ili wasirudishiwe matusi. Magu alipanda matusi, unakumbuka aliwaambia wastaafu waache kuwashwa washwa? Majaliwa aliambiwa shangazi zake watachapwa? Bukoba wakaambiwa yeye hajaleta tetemeko. Hayo ni matusi
Hii niliwahi kusikia kijiwe fulani. Kuna ukweli?Kwa taarifa Yako aliitesa Sana familia yake
Kuna Binti yake alijiua kwaajili yake
Alisha watia sero nduguzake Dodoma na kuwanyanganya mitambo ya ujenzi
Alisha pasua jeneza koo
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Yule Muhutu ni kama dini? I'm not surprised kwani kuna dini za shetani pia na obviously huyo Mwendakuzimu ni dini ya shetani.Magufuli ni kama dini....ni kheri tumuamini yeye kuliko mbowe ambaye asali kidogo tu kalewa....
Ndio hata ukristo na uislamu ni dini zilizosimama kwa gharama za damu,pia serikali nyingi duniani zimesimama kwa gharama za maisha ya RAIA wake sembuse magufuli? Style up wewe....look for the best approach.Yule Muhutu ni kama dini? I'm not surprised kwani kuna dini za shetani pia na obviously huyo Mwendakuzimu ni dini ya shetani.
Dini ya kuua, kujeruhi, kutesa, kuteka, kudhulumu na kupora.
Best approach my foot, if killing, kidnapping, torturing, extortion and robbing is the cost that you'd prefer to pay then you're still living in the stone age era.Ndio hata ukristo na uislamu ni dini zilizosimama kwa gharama za damu,pia serikali nyingi duniani zimesimama kwa gharama za maisha ya RAIA wake sembuse magufuli? Style up wewe....look for the best approach.
Yule Binti yake aliyekufa mwaka 2012, alikunywa sumu akafa baada ya kuingiliwa kimwili na Baba yake mzazi huyo MagufuliKwa taarifa Yako aliitesa Sana familia yake
Kuna Binti yake alijiua kwaajili yake
Alisha watia sero nduguzake Dodoma na kuwanyanganya mitambo ya ujenzi
Alisha pasua jeneza koo
Watanzania tuna mambo ya ovyo, muhusika alikwisha kufa na hatarudi tena pamoja na kuwepo kwa sheria inayowalinda viongozi, lakini bado wapo wanaomuabudu na kumtii wakidhani atarudi! Harudi tena huyo fanyeni mambo mengine yenye tija.
Enzi zao walitukanwa sana, hasa Mwinyi na Kikwete. Labda kama ulikuwa mdogo sana huwezi kukumbuka.Mbona Mwinyi na wenzake hawatukanwi
You are just a learned friend who thinks that leading a country is that way simple especially here in Africa where power is centralized to one person....Best approach my foot, if killing, kidnapping, torturing, extortion and robbing is the cost that you'd prefer to pay then you're still living in the stone age era.
Huyo Muhutu alistahili kutawala kwao Burundi.
Labda sukuma gang ndiyo wanamuabudu lakini wengine wote wanakemea ushetani wake ili kamwe wasije jitokeza viongozi kama yeye!Watanzania tuna mambo ya ovyo, muhusika alikwisha kufa na hatarudi tena pamoja na kuwepo kwa sheria inayowalinda viongozi, lakini bado wapo wanaomuabudu na kumtii wakidhani atarudi! Harudi tena huyo fanyeni mambo mengine yenye tija.