Familia ya Magufuli isikubali Chadema wakafanye Siasa kwenye kaburi la Magufuli, wawafukuze

Familia ya Magufuli isikubali Chadema wakafanye Siasa kwenye kaburi la Magufuli, wawafukuze

Wenzake werejea mchini mwambie naye arejee duniani. Unakaa kwa kunyanyasa watu ukidhani utaishi milele?

C mmekubaliana na lisu kua magu ni mwema kuliko mama au [emoji3166]ndio maana nkasema wanasiasa ni wanafki utawala wa magu huezi fananisha na huu mama
Hawa wapinzani wanatumia bandari kulaghai watanzania na watatumia kila njia kupata sapoti ya wananchi mfano ndio hii kujidai kumpa sifa magu...
Mtu waliyekua wanalia anawatesa leo ety kawa malaika [emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo mnatoa ushauri kwa mkuu wa Sukuma Gang?

Kazi ipo, Lissu jana kawagusa pabaya sana.
 
Lissu ana mtaalamu wake hapo geita, na ndiye alimfanyia dawa ya vidono(kuzuia risasi isikuue)


Kama hii ndio akili Yako🙌
 
Yaani uyo magu akitokea akiamka sizani kama kuna mwanasiasa wa upinzani atafurai [emoji23][emoji23]huyo lisu atarudi ubelgiji kwa boda boda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
hakuna siasa, kinachowaogopesha ni ukweli msaidizi Mkuu WA magufuli ameenda kinyume chake kwa kuuza rasilimali za taifa kitu ambacho Marehemu alikuwa akikipinga.
Anayepaswa kuzuiwa ni rais wenu aliyeshiriki kumtukana adharani na kuruhusu atukanwe na watu kama kina Nape
 
Magufuli alikuwa rais wa wote, chadema hawakumfahamu. Ndo maana alisema maendeleo hayana vyama. Akili zimewaingia saa hizi baada ya yanayoendelea. Pia ccm watanuna chadema wakienda chato kwa sababu wanaonekana(ccm) si waaminifu kwa sababu ya sakata la bandari. Chadema ni watanzania waruhusiwe kuona kaburi maana yule ni rais wao.

Acha kusapoti unafki mkuu zinduka bdo tuh ujaona magu wanataka kumtumia kwa unafki...toka lini chadema ikamkubali magu??
Akat wanasema magu kaiba 1.5 tirion ilikuaje wakashindwa kuandamana
Akati wanasema yy ndie kampiga lisu vyuma ikawaje mshindwe kuandamana
Akati watu wanapotea ovyo na kila cku hao chadema kufungwa mpk wengine kukimbia nchi ilikuaje washindwe andamana
Leo hayo yote hayapo usawa upo afu ety mtu aje kusema afazali magu kuliko mama na mlivokua wepesi kusahau mnaenda na upepo wao
 
Hii Nchi ina mambo mengi sana ni vigumu sana kuwa kiongozi hapa mapya hayaishi
 
Sio kweli, Lissu anasikitika sana, tena sana kwa matusi aliyomtolea JPM wakati wa uhai wake. Amegundua alikuwa mtu muhimu sana katika taifa hili. Anaenda kuomba radhi.
 
Hawaendi kufanya Siasa, wanakwenda kutubu kwani walimsema vibaya ama kwa kujua au kutokujua.

Sasa wamegundua kuwa JPM alikuwa yupo vizuri sana, kwa hiyo ni lazima wakatubu.
Kwa hiyo team mwendazake mtamuunga mkono Lissu urais 2025
 
Yaani uyo Magufuli akitokea akiamka sidhani kama kuna mwanasiasa wa upinzani atafurahi [emoji23][emoji23]huyo Lisu atarudi Ubelgiji kwa boda boda
Akiamka atapigwa viboko arudi alikotoka,
 
Back
Top Bottom