Familia ya Magufuli isikubali Chadema wakafanye Siasa kwenye kaburi la Magufuli, wawafukuze

Familia ya Magufuli isikubali Chadema wakafanye Siasa kwenye kaburi la Magufuli, wawafukuze

Mkuu watz ni wanafki c umeonA hata hapa wanavosapoti huu ujinga
Yaani cjui ni kukosa elimu
Wao waendelee na vicheko vyao, leo hii wanajikosha kwa magufuli na kumtolea mifano eti huyo jamaa eti wananchi tumuone anaipenda tanzania eti naye anapambania rasilimali za tanzania ili ateke mioyo ya tuliomlilia magufuli huku wao wakishangiriaa. Sijui wanadhani tumesahau. Wakati magufuli anapambania madini yetu huyo jama alimuunga mkonoo? Zaidi aliishia kutoa vitisho eti magufuli atashitakiwa MIGA. hivi anataka kutuchefua huyu jamaa.
 
Mkuu hata kama bado unakumbuka inakusaidia nini?
Apeleke kejeri zake hukoo. Endeleeni na sherehe zenu za kushangiria kifo, ipo siku na nyie zamu yenu itafika. Yaani anataka aende kaburini ili akaangue kicheko paleee. Ajue kaburini sote tutaenda, kifo kila mtu atakufaa. Anapanga kwenda kutuchekaa eti eee sawa bwanaa
 
Lazima wakafanye,mnaogopa nini?

Tundu Lissu kesha jua kupigwa kwakwe risasi Magufuli hakuhusika, ndio maana anakwenda kuomba msamaha kwa yale aliyoyatamka dhidi ya hayati Magufuli
Alivozunguka mabara na mabara kumtukana. Ebu asichefue watanzania
 
Wao waendelee na vicheko vyao, leo hii wanajikosha kwa magufuli na kumtolea mifano eti huyo jamaa eti wananchi tumuone anaipenda tanzania eti naye anapambania rasilimali za tanzania ili ateke mioyo ya tuliomlilia magufuli huku wao wakishangiriaa. Sijui wanadhani tumesahau. Wakati magufuli anapambania madini yetu huyo jama alimuunga mkonoo? Zaidi aliishia kutoa vitisho eti magufuli atashitakiwa MIGA. hivi anataka kutuchefua huyu jamaa.

Ndio hapo mkuu hadi nkasema watz wengi wanafki
Mifano ni mingi mnoo ila wao bado hawajifunzi
Kinachofanyika saiv ni kutafuta kiki ya 2025 ila njia wanayotumia c nzuri kwa taifa
 
Ile ni kaburi la JPM aliyekuwa Rais wa JMT awamu 5, siyo Kaburi la CCM na machawa wao. Peleka huko ushenzi wako.

C alikua rais wa sukuma gang saiv kawa wa jmt [emoji23][emoji23][emoji23]yaani mfa maji haishi kutapa tapa
 
Ndio hapo mkuu hadi nkasema watz wengi wanafki
Mifano ni mingi mnoo ila wao bado hawajifunzi
Kinachofanyika saiv ni kutafuta kiki ya 2025 ila njia wanayotumia c nzuri kwa taifa
2025, tutatumia vicheko walivyovicheka pindi shuja wetu magufuli alivyotwa na Mungu. Wasidhani tumesahau, hili tuu litamgaragaza huyo mzee wa kiki
 
Lissu alimtusi sana Magufuli na jana akihutubia huko Bukoba aliendeleza maneno machafu dhidi ya Magufuli kwamba alikuwa ni mwizi, alipofariki zilikutwa pesa nyingi kazificha Chato, bado Magufuli alipofariki yeye Lissu na genge lake walifanya sherehe, iweje leo aende kwenye kaburi la Magufuli eti kumuombea? Asiruhusiwe kabisa kabisa
Sasa hayo uliyo andika kuna tusi lolote alilotukanwa Magufuli au hujui maana ya tusi wewe kenge.
Ukiambiwa wew ni mwizi au jambazi wakati ni kweli hayo ni matusi? Ccm inatamba kwa kuwa na watu wajinga kama ninyi.
 
Lissu alimtusi sana Magufuli na jana akihutubia huko Bukoba aliendeleza maneno machafu dhidi ya Magufuli kwamba alikuwa ni mwizi, alipofariki zilikutwa pesa nyingi kazificha Chato, bado Magufuli alipofariki yeye Lissu na genge lake walifanya sherehe, iweje leo aende kwenye kaburi la Magufuli eti kumuombea? Asiruhusiwe kabisa kabisa
Anachofanya ni siasa tu ili awachote watu.

Ila nilichokiona wafuasi wa Chadema nao nyumbu aisee! Lolote litakalosemwa na wapendwa wao wanalifuata.

Halafu ni kama mpango wao wamejazana kibao twitter na Jf. Wakishambulia wanashambulia kweli.

Bahati mbaya mitandaoni tofauti na uraiani. Nguvu kubwa wangewekeza uraiani wangefika mbali.
 
Anachofanya ni siasa tu ili awachote watu.

Ila nilichokiona wafuasi wa Chadema nao nyumbu aisee! Lolote litakalosemwa na wapendwa wao wanalifuata.

Halafu ni kama mpango wao wamejazana kibao twitter na Jf. Wakishambulia wanashambulia kweli.

Bahati mbaya mitandaoni tofauti na uraiani. Nguvu kubwa wangewekeza uraiani wangefika mbali.
CHADEMA ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinachoamini katika Uhuru na Watu.Wivu wako kamwe hautaiangusha CHADEMA hata siku moja,alijaribu Magufuri akashindwa.
 
CHADEMA ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinachoamini katika Uhuru na Watu.Wivu wako kamwe hautaiangusha CHADEMA hata siku moja,alijaribu Magufuri akashindwa.
Ninyi ni wanafiki tu kama CCM
Tena ninyi ni wabaya mna udini kabisa!
 
Tunashukuru ila hatutaki Bandari zetu zimilikiwe na Waarabu wa Dubai.
Serikali ikishaamua mtaifanya nini?

Watanzania waliyomtaani wameshakata tamaa wanaona serikali yao ilishawasaliti kitambo. Raia wanachojali ni kutafuta mkate wao wa kila siku kwao na familia zao. Haya mambo ya bandari hawana muda nayo!

Chadema inachotakiwa kufanya ni kujiwekeza zaidi katika masuala ambayo mtanzania huyu anayaona ndiyo yanayomgusa moja kwa moja katika utafutaji wake na maisha yake kwa ujumla!

Hizi kelele za mitandaoni ni sawa sawa na mbwa tu anayebweka! Na ndiyo maana wanaotafakari wanasema Chadema hawana ajenda! Ajenda yao ni matukio tu wanafuata upepo!

Mkishauriwa mnakuwa wakali na kuona wote wenye mawazo mbadala ni CCM. Sasa wenye kutafakari wameshajua mchezo wanaocheza Chadema. Ndiyo maana Magufuli aliwapiga pini haswa!
 
Serikali ikishaamua mtaifanya nini?

Watanzania waliyomtaani wameshakata tamaa wanaona serikali yao ilishawasaliti kitambo. Raia wanachojali ni kutafuta mkate wao wa kila siku kwao na familia zao. Haya mambo ya bandari hawana muda nayo!

Chadema inachotakiwa kufanya ni kujiwekeza zaidi katika masuala ambayo mtanzania huyu anayaona ndiyo yanayomgusa moja kwa moja katika utafutaji wake na maisha yake kwa ujumla!

Hizi kelele za mitandaoni ni sawa sawa na mbwa tu anayebweka! Na ndiyo maana wanaotafakari wanasema Chadema hawana ajenda! Ajenda yao ni matukio tu wanafuata upepo!

Mkishauriwa mnakuwa wakali na kuona wote wenye mawazo mbadala ni CCM. Sasa wenye kutafakari wameshajua mchezo wanaocheza Chadema. Ndiyo maana Magufuli aliwapiga pini haswa!
-----Maaskofu wa Kanisa Takatifu la Mitume wamekataa
-----Maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri wamekataa
-----Maaskofu wa makanisa mengine wamekataa
-----Masheikh nao wamekataa Tanganyika kuuzwa
-----Wasomi mbalimbali Tanzania wamekataa
-----Wanasheria nguli wamepinga na kukemea vikali
-----Dk Slaa amekataa tena kwa maonyo yenye maana
-----Jembe Mwabukusi pamoja na jopo la mawakili wamekataaa
-----Gwiji la sheria Dkt Nshala ametoa angalizo na kupinga vikali
-----Watanganyika wote kwa ujumla wamekataa kwa sauti moja
 
-----Maaskofu wa Kanisa Takatifu la Mitume wamekataa
-----Maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri wamekataa
-----Maaskofu wa makanisa mengine wamekataa
-----Masheikh nao wamekataa Tanganyika kuuzwa
-----Wasomi mbalimbali Tanzania wamekataa
-----Wanasheria nguli wamepinga na kukemea vikali
-----Dk Slaa amekataa tena kwa maonyo yenye maana
-----Jembe Mwabukusi pamoja na jopo la mawakili wamekataaa
-----Gwiji la sheria Dkt Nshala ametoa angalizo na kupinga vikali
-----Watanganyika wote kwa ujumla wamekataa kwa sauti moja
Iwe hivyo au hata isiwe hivyo lakini uraiani haya mambo hakuna! Watu wanatafuta pesa ili waweze kukidhi mahitaji yao ya kila siku.

Na ukitaka kujua kama raia wameshakata tamaa popote palipo na fursa ya upigaji wanapiga! Wanasema hatuibi! Bali tunachukua share yetu ya nchi serikali ilishafeli kutugawia.

Mtu familia yake haiko vizuri matatizo kibao! Unamwambia kuhusiana na suala la bandari atakuelewa? Gusieni yale mambo ambayo yanamgusa huyu raia moja kwa moja!
 
Anachofanya ni siasa tu ili awachote watu.

Ila nilichokiona wafuasi wa Chadema nao nyumbu aisee! Lolote litakalosemwa na wapendwa wao wanalifuata.

Halafu ni kama mpango wao wamejazana kibao twitter na Jf. Wakishambulia wanashambulia kweli.

Bahati mbaya mitandaoni tofauti na uraiani. Nguvu kubwa wangewekeza uraiani wangefika mbali.
Uraiani watu wapo na Simba na Yanga na usajili wao 😅😅
 
Serikali ikishaamua mtaifanya nini?

Watanzania waliyomtaani wameshakata tamaa wanaona serikali yao ilishawasaliti kitambo. Raia wanachojali ni kutafuta mkate wao wa kila siku kwao na familia zao. Haya mambo ya bandari hawana muda nayo!

Chadema inachotakiwa kufanya ni kujiwekeza zaidi katika masuala ambayo mtanzania huyu anayaona ndiyo yanayomgusa moja kwa moja katika utafutaji wake na maisha yake kwa ujumla!

Hizi kelele za mitandaoni ni sawa sawa na mbwa tu anayebweka! Na ndiyo maana wanaotafakari wanasema Chadema hawana ajenda! Ajenda yao ni matukio tu wanafuata upepo!

Mkishauriwa mnakuwa wakali na kuona wote wenye mawazo mbadala ni CCM. Sasa wenye kutafakari wameshajua mchezo wanaocheza Chadema. Ndiyo maana Magufuli aliwapiga pini haswa!
Ushauri mzuri !!
 
C alikua rais wa sukuma gang saiv kawa wa jmt [emoji23][emoji23][emoji23]yaani mfa maji haishi kutapa tapa
Wewe ndo wasema, wengine tunajua alikuwa Rais wa nchi ya Tanzania
 
Back
Top Bottom