Familia ya Magufuli isikubali Chadema wakafanye Siasa kwenye kaburi la Magufuli, wawafukuze

Familia ya Magufuli isikubali Chadema wakafanye Siasa kwenye kaburi la Magufuli, wawafukuze

Hii habari kama ni kweli, nitakua nimejifunza kitu kitu muhimu sana ktk maisha
Hata mimi nitakua nimejifunza kitu kikubwa nacho ni kwamba sio kwamba wote unaodhani wako pamoja na wewe wakikupigia nyimbo na mapambio wanamaanisha hayo kutoka katika dhamira zao na mioyo yao.
wanaCCM hao hao ambao walimuunga mkono JPM mpaka mwaka 2017 akatunga sheria ya maliasili kwa wivu mkubwa wa rasilimali za nchi ndio hao hao wamekaa kama kamati na kuamua hata kuandaa mabadiliko ya sheria hiyo ili kukidhi matakwa ya DP na sio hata matakwa ya watanzania wenye mali yao.

ni wana ccm hawa hawa kibajaji et al walimpigia makofi JPM pale magogoni alipokua anawaeleza kuna terms mbovu za umilele kwenye uwekezaji wa Bandari ya Bagamoyo na yeye hayuko tayari kuzipokea wkamuimba mzalendo na hata kufikia hatua ya kushiriki kuwadhuru wapinzani wa jpm.
leo hii ndio hao hao wanatumia nguvu kubwa kuzunguka nchi nzima wakitumia kamati za siasa za wila za mikoa na wilaya kuhamasisha kile alichokikataa na kukisimamia.
ni haki Lissu aende kumuamsha ammwambie amka Mzee uone yale uliyokua ukiyapigania na wale waliokuimbia ,mapambio ndio wanayafanya sasa ujue ulikua umezungukwa na wanafiki wasiokuambia ukweli mimi nilikuambia ukweli asilani ukaniona adui mpaka ukaniita msaliti, sasa njoo uone wasaliti halisi.... nimejifunza
 
Sio kweli, Lissu anasikitika sana, tena sana kwa matusi aliyomtolea JPM wakati wa uhai wake. Amegundua alikuwa mtu muhimu sana katika taifa hili. Anaenda kuomba radhi.
Inategemea na mahali uliposimama, kwa upande wangu nadhani anaenda kumwambia jiwe mimi nilikua nakwambia ukweli ukaniona mbaya haya amka uone wale washangaliajii wako wanachokifanya utajua msalitui ni nani?
 
Lissu alimtusi sana Magufuli na jana akihutubia huko Bukoba aliendeleza maneno machafu dhidi ya Magufuli kwamba alikuwa ni mwizi, alipofariki zilikutwa pesa nyingi kazificha Chato, bado Magufuli alipofariki yeye Lissu na genge lake walifanya sherehe, iweje leo aende kwenye kaburi la Magufuli eti kumuombea? Asiruhusiwe kabisa kabisa
Unaonea wivu kaburi eti?
 
Hata mimi nitakua nimejifunza kitu kikubwa nacho ni kwamba sio kwamba wote unaodhani wako pamoja na wewe wakikupigia nyimbo na mapambio wanamaanisha hayo kutoka katika dhamira zao na mioyo yao.
wanaCCM hao hao ambao walimuunga mkono JPM mpaka mwaka 2017 akatunga sheria ya maliasili kwa wivu mkubwa wa rasilimali za nchi ndio hao hao wamekaa kama kamati na kuamua hata kuandaa mabadiliko ya sheria hiyo ili kukidhi matakwa ya DP na sio hata matakwa ya watanzania wenye mali yao.

ni wana ccm hawa hawa kibajaji et al walimpigia makofi JPM pale magogoni alipokua anawaeleza kuna terms mbovu za umilele kwenye uwekezaji wa Bandari ya Bagamoyo na yeye hayuko tayari kuzipokea wkamuimba mzalendo na hata kufikia hatua ya kushiriki kuwadhuru wa jpm.
leo hii ndio hao hao wanatumia nguvu kubwa kuzunguka nchi nzima wakitumia kamati za siasa za wila za mikoa na wilaya kuhamasisha kile alichokikataa na kukisimamia.
ni haki Lissu aende kumuamsha ammwambie amka Mzee uone yale uliyokua ukiyapigania na wale waliokuimbia ,mapambio ndio wanayafanya sasa ujue ulikua umezungukwa na wanafiki wasiokuambia ukweli mimi nilikuambia ukweli asilani ukaniona adui mpaka ukaniita msaliti, sasa njoo uone wasaliti halisi.... nimejifunza
Kwanza usiwaamini Ccm kwa loloe lile
Pili ,watanzania ndio wajinga wajinga waliobakia duniani

Mengine : tumia akili yako kupokea hizi taarifa
 
Lisu kabisa? mhn! kama ni kweli basi yule aliyesema kuwa mwanasiasa hata mchana akikwambia kunamwanga toka na tochi yuko sahihi sana! nitakuwa wa mwisho kuwaamini hawajamaa
Muulize mtoa post wapi Lissu amesema atadhuru kaburi la JPM akikujibu nitag
 
Kwanza usiwaamini Ccm kwa loloe lile
Pili ,watanzania ndio wajinga wajinga waliobakia duniani

Mengine : tumia akili yako kupokea hizi taarifa
Mkuu ni kwamba sijawahi kuwaamini na sintowaamini.
Na kuhusu watanzania kuwajinga nasema sio wajinga bali ni kikundi cha wapumbavu kilichobaki duniani ambacho kam awangekua wajinga wangekua wanajifunza kutokana na matukio ambayo CCM imewapiga, Imeafanya waone wanaishi kwa hisani iya ccm.
 
Mkuu ni kwamba sijawahi kuwaamini na sintowaamini.
Na kuhusu watanzania kuwajinga nasema sio wajinga bali ni kikundi cha wapumbavu kilichobaki duniani ambacho kam awangekua wajinga wangekua wanajifunza kutokana na matukio ambayo CCM imewapiga, Imeafanya waone wanaishi kwa hisani iya ccm.
Ok,nii kweli ,ni kikundi cha wapumbavu,ila tu enjoy life
 
Nani atakubali hizo kejeli zao?? Leo hii shujaa magufuli amekuwa wa maana kwao? Zile sherehe walizofanya, wanadhani tumesahau

Mkuu watz ni wanafki c umeonA hata hapa wanavosapoti huu ujinga
Yaani cjui ni kukosa elimu
 
Lazima wakafanye,mnaogopa nini?

Tundu Lissu kesha jua kupigwa kwakwe risasi Magufuli hakuhusika, ndio maana anakwenda kuomba msamaha kwa yale aliyoyatamka dhidi ya hayati Magufuli

Kasema yeye au wew maoni yako
 
Pumba.. ..kwa hiyo unafikiri akiamka ataendelea kuwa rais...hata akiamka hawezi tena kuwa Rais kwa maana tayari rais mwingine keshaapishwa na Yuko madarakani atabaki kama kina kikwete na mwinyi....
Huyo sio raisi ni Jambazi,wacha wakaiji kwa mtakatifu wetu from Chato...Na kwa mwendo huu naanza kuungana tena na chadema..2025 mama huo ushungi utapasuka kama lile pazia la hekalu.
 
Kasema yeye au wew maoni yako
akikujibu nitag niko online mkuu hawa jamaa wanajua kuongea ya kufikirika yaani unajiambia jambo halafu unaanza kulijadili mwenyewe kwa namna unayoona itakupendeza wewe. ujinga mtupu
 
Hakuna mnafiki mkubwa kama Lissu hapa Tanzania!
kama ana sifa hizi nitakubaliana na wewe, lakini sifa hizi wanazo wana ccm ndio mana wamemgeuka jiwe mapema ndio Lissu anaenda kumsanua kwamba amkaaaaaa ulidhani wako na wewe njoo uone wanachofanya
Neno "mnafiki" linamaanisha mtu ambaye ana tabia ya kujifanya au kudanganya wengine kwa nia ya kujinufaisha au kuepuka kutokubalika kwa tabia zake za kweli. Mnafiki ni mtu anayeweza kuonyesha tabia tofauti mbele ya watu wengine kuliko anavyojionesha yeye mwenyewe kuwa.

Vitu ambavyo vinaweza kuonesha kwamba mtu ni mnafiki ni pamoja na:

  1. Kusema uwongo: Mnafiki mara nyingi atatumia uwongo kuficha ukweli au kujifanya yuko katika hali au tabia tofauti na ukweli halisi.
  2. Kukosa uaminifu: Mnafiki hawezi kuwa mwaminifu katika mahusiano na marafiki. Anaweza kuzungumza nyuma ya mgongo wa wengine au kuvuja siri zao.
  3. Kupenda sifa: Mnafiki anaweza kuwa na kiu kubwa ya kupata sifa na kutambuliwa, hivyo atajifanya kuwa mtu mzuri au mchangamfu hata kama sivyo katika hali halisi.
  4. Kujionyesha tofauti: Mnafiki anaweza kubadilisha tabia na mtazamo wake mara kwa mara kulingana na kundi la watu anaozungumza nao ili aweze kuwafurahisha au kuwafanya wamkubali.
  5. Kukosa uaminifu katika ahadi na wajibu: Mnafiki anaweza kutoa ahadi nyingi lakini kushindwa kuzitimiza au kuzitekeleza kwa sababu ya kutokuwa na nia ya dhati.
  6. Kuonyesha unafiki: Tabia za mnafiki zinaweza kuonyesha unafiki katika maadili au misingi yake, kama vile kujifanya mwadilifu wakati anaishi maisha ya udanganyifu.
  7. Kukosoa wengine kwa makosa anayofanya mwenyewe: Mnafiki anaweza kuwa mstari wa mbele kulaumu wengine kwa makosa ambayo yeye mwenyewe anafanya bila kujirekebisha.
 
Back
Top Bottom