Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Kwa hiyo ni kosa lake kuuawa yeye na wanawe? Yeye ndio amesababisha haya?
Unajuaje kama alikuwa "anatembea na wanaume hovyo hovyo"?

Ni sawa na kusema mwanamke akiwa barabarani usiku akabakwa ni kosa lake.

Hizi ni hukumu zenye double standards.
Kwanini atembe Usiku pekee yake?
 
Inavyosemekana mlinzi ndiye aliyewaua kwa kuwakata na Panga na nyundo
 
Duh, mkuu Mshana Jr, leo umekuwaje? Yaani hii habari mtu kufanya test watu waitambue bila kuweka ID yako watu watasema kuandika Pdidy!
 
Poleni aisee!
 
Inasikitisha, wapumzike kwa amani....
Sasa boyfriend kashindwa kula hela za bibie kupitia mapenzi? Mbona ni rahisi kuliko hiyo njia ya kutumia manguvu/mauaji

Wanawake unampelekaje boyfriend kwenye nyumba ya marehemu mumeo mpaka ajue ya hela ulizonazo.

Pia mjane tajiri wanaume wahuni vibenten wa nini.. why usitafute mjane mwenzako mwenye mahela. Ama unakuwa hata mchepuko wa mwanaume anaejielewa pia.. hela anazo ila hajui hata value yake..

Wanawake wajanja wana vikazi vya laki sita tu ila mwanaume mjinga mjinga hawakupi chance hata ya kumsalimia..
 
Ogopa sana kiben10 kimbaumbau kimekula vumbi la kongo halafu kikasimamia ukucha.. Kinasugua kihuni mpaka inatoa mvuke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu elezea ueleweke...

Yaani kutoka incident ya kuwauwa na kudhulumiana na mlinzi kutoa siri yote hayo yametokea kwa muda wa siku moja ? Au hawa waliuwa lini ?

What, When, How...
Where, why, who
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…