Familia ya Masogange yalalamika kutapeliwa pesa za rambirambi kutoka kwa Wasanii

Familia ya Masogange yalalamika kutapeliwa pesa za rambirambi kutoka kwa Wasanii

Steve Nyerere + Wazee wa Kijani hapo unategemea nini tena? Huu mchezo nilijua tu utaishia hivi baada ya kuwaona watu fulani hiv wakiwa front
 
Nilipoona tu watu flani wameuhodhi ule msiba, nikajua tu siku si nyingi tutapata habari ya namna hii
Kuwa wazi tuu, baada ya Masogange msiba wake kuvamiwa na uvccm na kuzikwa kwa heshima za chama wakati hata uhakika kuwa anamiliki kadi ya ccm hakuna watu wote waliishia kusema hiiiiiiiii! Wakijua wataalamu wa rambirambi wamevamia mchezo
 
Ila jaman twenden mbele turudi nyuma,,,,bongo movie wana pesa gani zikasimamie msiba badae zikabaki wanafamilia wapewe mi Nadhan ndugu hawakuelewa michango ilitoka kwaajir ya msiba sio mtoto....
mtoto anababa yake yule waache kujilizaliza
 
Ila jaman twenden mbele turudi nyuma,,,,bongo movie wana pesa gani zikasimamie msiba badae zikabaki wanafamilia wapewe mi Nadhan ndugu hawakuelewa michango ilitoka kwaajir ya msiba sio mtoto....
mtoto anababa yake yule waache kujilizaliza

Taarifa baada ya msiba lilipita bakuli tena zinachangwa palepale msibani
 
Munaweza kumuuguza MTU kwa mda mrefu,akafa na ukamsafirisha mpaka alikozaliwa ila bado watu watakutupia lawama tu.Tukipata taarifa upande wa pili tutaelewa
 
Ndugu wa marehemu masogange wanasema hadi dikika hii hawajapata hata mia ya pesa za rambirambi zilizochangwa na wasanii wa Bongo muvi na Bongo fleva,licha ya kuwepo kwa uhakika wa kwamba pesa hizo zilichangwa.
Soma zaidi hapa .....View attachment 770073
Yale yale ya Kanumba.....hivi mwenyekiti wa hii si alikuwa Steve Nyerere...
Fursa fursana... Ukishasikia neno WASANII weka mbali na watoto
 
Hivi inakuwaje huyu Steve kila msiba yeye anapewa wadhifa wa kushika pesa za rambi rambi alafu baadae kunatokea malalamiko ya upigaji
 
Hahaha steve nyerere huweka booking mapema akikuona wewe huna siku mingi unavuta vuta vi siku vyako anakuibukia wodini atakaa na weeee siku mbili tatu anatumia 30000 ukishavuta anatoa tule tumachozi twake anapata watu watatu wanamsapoti steve alikuwa amekaa na marehemu siku chache za mwisho ko anajua mengi na umri wake umemjenga tumpe uhasabu wasanii michango yetu ipitie kwake, steve hyoooo anapiga 3000000 wakati alitumia 30000 tu hilo nililiona alitaka kuwa karibu na mzee majuto bahati nzuri mzee kafanyiwa wepesi
 
STEVE NYERERE ALISEMA PESA ZILIZOCHANGWA NI KWAAJILI YA MTOTO NA SIO NDUGU NA WAMESEMA HAWATATOA HATA SENTI TANO KUWAPA NDUGU
 
Back
Top Bottom