Familia ya Membe yamkana aliyejiita daktari wake, yaapa kumpeleka mahakamani

Hawa akina Membe wanapenda sana ligi za kijinga.., sasa mtu katoa watu hofu, shida ipo wapi?
 
Tangu siku ile niliposikia habari ya huyo daktari binafsi bila kupepesa macho na kuwaza mara mbili nilijua kabisa yule Daktari ni muongo, katumwa na watu fulani wasiojulikana na ule ulikuwa ni mpango kamili wa kucheza na akili za watu.

Soon mbichi na mbivu zitajulikana.
 
Tangu siku ile niliposikia habari ya huyo daktari binafsi bila kupepesa macho na kuwaza mara mbili nilijua kabisa yule Daktari ni muongo, katumwa na watu fulani wasiojulikana na ule ulikuwa ni mpango kamili wa kucheza na akili za watu.

Soon mbichi na mbivu zitajulikana.
 
Minong'ono ndo imepata lift sasa.

Familia ya Membe wana haki ya kuwa na mashaka na dokta huyo aliyejipa jukumu la kuonge kuhusu kifo cha Membe.

Mimi naona kuna kitu nyuma ya pazia
 
Wewe ni miongoni mwa wanachadema ambao Nawaelewa sana na michango yako naiheshimu japo huwa tunakwaruzana sana tu!
 
Na sisi kama SG tunasema huyo hajafa natural death, maelezo zaidi karibuni Tocha.
 
Wamdai 2Bs waunganishe na ile ya Musiba
 
Hiii familia imeachiwa Laaana ya kesi kesi na watakufa wote kwa misingi ya kesi zisizo na kichwa wala miguu. Shame on them.
Baba kafa kwa masimango ya kesi hata hajaoza Mitoto nayo inafungua kesi kwa Daktari na yenyewe inaweza kuondoka kwa kesi. Acha Mungu aamue ugomvi bahari itulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…