Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

😂😂😂 weekend njema mkuu. Nimeshindwa kuchangia mambo ya undugu wenu
 
Hii story ni kama umetunga hivi.....umeandika kitu ili kupata attention na sehemu uliyotaka attention ni hapo kwenye hilo la kutia hewa.......
 
Ndo maana humu jukwaani kuna harufu ya uhalo kumbe ni wewe mkuu..!
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Achana nao wote matapeli,baba mkwe mwenye heshima hakuombi wewe pesa atamtumia mwanae hiyo familia itafakari kabla haujaoa hapo.
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Kuna namna upo, ndio maana wanaamini umefanya makusudi kulingana na jinsi wanavyokufahamu.

Wengine ikitokea hali hiyo, wao wanakua wakwanza kuamini simu imejipokea bila victim kujitetea
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Haki nimecheka kwa sauti. Hivi upo serious au unatania mkuu?😂
 
Wachana na hiyo familia mkuu, itakutesa maisha yako yote kama ukiendelea na huyo binti yao. Kwanza chenga tupu wanaonekana.

Hallelujah!!
 
Na wewe maswali yako unaonekana haujakomaa, unauliza 'kivipi' wakati mwenzako mwenye busara zake pamoja na maoni kakupa angalizo?

Wewe unabakia kuuliza kijingajinga badala ya kutafakari dokezo la mdau!

Mila za kwetu, hawara wa mwanao hasogelewi ama kutolewa shida.

Mzazi unapoingiza gia ya dhiki zako kwa hawara ama mchumba wa mwanao, unajivua nguo bila wewe kuelewa!

Hiyo familia ya njaa, kabla mtoto wao haujamuoa tayari 'demand' zimeshaanza, je mkianza maisha itakuwaje.

Sasa unapopewa angalizo, punguza maswali yasiyokuwa na maana.

Ama labda umetuletea chai utuchangamshe?
 
Kujamba Tuuu, Kutuma hela aaahh!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Japo bado natafakari ulijambaje kwa sauti kubwa hivyo mpaka ukazua taharuki.
Nakupa Pole, nakusihi uende ukachutame uwaombe radhi yatakwisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom