Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu
🤣🤣🤣🤣

Sema mbona ni mapema sana Kwa ww na huyo mzee kuanza kupeana Hela......kama wameanza kuonesha demand mapema hvo vipi kutakua na utulivu baadae
 
Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.
🤣🤣🤣🤣🤣 hadi kwenye sim ilisikika kweli ulikitoa.
By the way kama hujamuoa, shukuru Mungu umepewa alert mapema. Ila kama wewe king'ang'anizi pambana, jambo la kutopokea sim siyo la kununa familia nzima
 
Mkuu unakula nini? Uko kawaida kweli, yan vijambo had mtu wa upande wa pili kwenye simu anasikia harufu na kero hadi anakata simu.

Ushauri wangu, hizo ni hasira za mtu kayingwa na matatizo sasa anaona awakie kila mtu.

Mtumie hiyo hela mkewe huyo baba (Mama mkwe)
 
Baba mkwe kuomba umkopeshe ni red flag ya mahusiano hio aissee
 
Niliamua tu kumsaidia maana namkopesha
Tangu uanze kuishi na mtoto wake imefika miaka mingapi?
Na amewahi kukuomba msaada kama huo mara ngapi?Je na vipi mtoto wake huyo ambaye ndio mpenzi wako huwa anakupiga mizinga kwa kiasi gani?
Ukinijibu haya maswali nitakupa njia sahihi ya kufanya
 
Huyo mke hana akili nini, toka lini mkwe akakopeshwa? Halafu inaonekana wote ni zeros, demu anajuaje kama baba yake anataka kukopa kwako?

Kataa ndoa wanajipakulia minyama
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Acha kuwa simp bro, mwambie huyo binti na babaake watafute kazi badala ya kutafuta lawama
 
Pole sana, usiwapigie Wala usilielie kuomba msamaha huyo Binti kama haelewi basi, usiwatafute kabisa.
 
Dah kijana huoni kama unaingia kwenye ukoo wa ajabu. Yaani baba mkwe anaomba umkopeshe? Anakuzingizia umejamba sijui kweli au utani ila dah.
 
Kama bado hawajakutafuta, wewe tuma hiyo hela, binti yao atawaambia kuwa ilikuwa ni bahati mbaya, alafu hiyo ni bonge la aibu yaan kujambia baba mkwe mtarajiwa dooh, we tuma tu hiyo hela then kauka, endelea kumtafuta binti yao, au tafuta kisababu cha huo mnyambo usingizie hata mtandao uliluwa unasababisha simu kuunguruma maana hakuskia harufu ya mnyambo kwenye simu
 
Back
Top Bottom