Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

Baba mkwe anataka ulipie utamu wa mtoto wake wewe unamjambia 😂😂😂
 
Ila sijui watu wengine hufikiria nini kabla hawajaanzisha Uzi.

Unaweza kujikuta ndani ya daladala unacheka kama mtoto mdogo 😅🙌
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Sasa wewe mpaka simu inarekodi mlio wa ushuzi wako namna hiyo, hao waumini waliokuwa wamekaa karibu na wewe hawakusikia huo mlio kweli? Mbona watu mnapenda kumdhihaki mwenyezi Mungu hivi jamani?
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Hiv bado hujastuka tu Mungu anakutoa kwenye shimo la moto? Njia za Mungu hazichunguziki aisee mpige chini huyo mtoto hafai kuwa mke. Mke siku zote anatakiwa awe upande wako hata kama kuna makosa. Na ni hatar kwa wakwe kuomba pesa kabla hata hujaoa. Huko uendako ujiandae kuongozwa kutoka ukweni
 
Inasikitisha na kufikirishana sana
Tunawaachia mambo yenu
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Ni huyu au
downloadfile.jpg
 
Hapo bado hujaoa baba mkwe ameshakuomba pesa na minuno juu... Mbio zako zikuokoe kwenye hiyo familia..
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Ukimuoa utakuwa na stress sana
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Acha ufala ww baba MKWE hakopeshwi! Yaani unat**** mba mwanae halafu akurudishie Hela? Wazee wa zamani ndio maana walisema pesa ya mahali hupaswi kulipa yote, Kwa sababu utakuwa unapigwa mizinga kama hii! Ila kama wameamua kukununia na ww wakaushie wao SI ndio wenye shida! Yaani unamnunia tajiri wakati una njaa utakuwa na akili kweli?
 
Back
Top Bottom