Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ weekend njema mkuu. Nimeshindwa kuchangia mambo ya undugu wenu
 
Hii story ni kama umetunga hivi.....umeandika kitu ili kupata attention na sehemu uliyotaka attention ni hapo kwenye hilo la kutia hewa.......
 
Ndo maana humu jukwaani kuna harufu ya uhalo kumbe ni wewe mkuu..!
 
Achana nao wote matapeli,baba mkwe mwenye heshima hakuombi wewe pesa atamtumia mwanae hiyo familia itafakari kabla haujaoa hapo.
 
Kuna namna upo, ndio maana wanaamini umefanya makusudi kulingana na jinsi wanavyokufahamu.

Wengine ikitokea hali hiyo, wao wanakua wakwanza kuamini simu imejipokea bila victim kujitetea
 
Haki nimecheka kwa sauti. Hivi upo serious au unatania mkuu?πŸ˜‚
 
Wachana na hiyo familia mkuu, itakutesa maisha yako yote kama ukiendelea na huyo binti yao. Kwanza chenga tupu wanaonekana.

Hallelujah!!
 
Na wewe maswali yako unaonekana haujakomaa, unauliza 'kivipi' wakati mwenzako mwenye busara zake pamoja na maoni kakupa angalizo?

Wewe unabakia kuuliza kijingajinga badala ya kutafakari dokezo la mdau!

Mila za kwetu, hawara wa mwanao hasogelewi ama kutolewa shida.

Mzazi unapoingiza gia ya dhiki zako kwa hawara ama mchumba wa mwanao, unajivua nguo bila wewe kuelewa!

Hiyo familia ya njaa, kabla mtoto wao haujamuoa tayari 'demand' zimeshaanza, je mkianza maisha itakuwaje.

Sasa unapopewa angalizo, punguza maswali yasiyokuwa na maana.

Ama labda umetuletea chai utuchangamshe?
 
Kujamba Tuuu, Kutuma hela aaahh!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Japo bado natafakari ulijambaje kwa sauti kubwa hivyo mpaka ukazua taharuki.
Nakupa Pole, nakusihi uende ukachutame uwaombe radhi yatakwisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…