Acha wafu wazikane. Leo anamkana mzanzibar mwenzie na kumuita mwenye Imani haba kisa mapenzi na unazi kwa mzanzibar mwengine.Hii ndiyo unaiita chuki eeh?:
Mpaka India Wahindi wanamkubali Rais Magufuli
Hiki ni kitu cha kujivunia sana Watanzania...www.jamiiforums.com
Kwamba Mungu wa Israeli ni sawa na wa Hamasi? Mimi nakataaMwenyezi Mungu ni mmpja tu, hakuna tofati wa wa waisraili na wamatumbi. Pata faida:
Qur'an 112
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
Haujasikia kuwa hakuna Mwanasheria aliyekubali kuchukuwa kadhia yao?Kwenda zako huko. Huu ujumbe ni wa Mwabukusi?
Kisa siasa uchwaraAcha wafu wazikane. Leo anamkana mzanzibar mwenzie na kumuita mwenye Imani haba kisa mapenzi na unazi kwa mzanzibar mwengine.
Doversion kwa kukusudia kabisa kwa wazi? Faiza unaongea haya kwa faida ya nani?Naona hapa analaumiwa Mwambulukusi wa TLS.
Kifo kile ni cha kulaaniwa na mtu yeyote mwenye kujali utu na ubinadamu achana na hizi petty issues.Kwenda zako huko. Huu ujumbe ni wa Mwabukusi?
Acha tu uchawa mbaya sana unaweza kumkataa hata ndugu yako.Kisa siasa uchwara
Namba 3 uko sahihi Kabisa kwani Mashujaa wa Waislam akina Osama, Mullah Omar, Ghadafi, Sadam nk hata Makaburi yao hayajulikani yalipo Kwa sababu za kidini zaidiBwana Mohamed Ali mohamed Kibao.
1) Inaonesha mlikuwa hamjuwi kazi zote za mzeew wenu, aliwaficha mengi.
2) Mbona tuliona mazikoni mpaka waziri kahudhuria, wakuu wa vyama vya siasa wamehudhuria. Wote jao wameshoimdwa kuwa mwanashewria?
3) Kuhusu "kifo ni kifo" hiyo ni nadharia ya Kiislam, nakushamngaa sana kama hulielewi hilo.
4) Yote manne uliyoyasema ni kujenhga hoja tu/ Cha msingi, kifo kimeytokea katika hali isiyo ya kawaida. Uchunguzi ufanyike na ijulikane nini ki;lichotokea.
Je, serikali ilikwambia kuwa jalada limefungwa na hakuna uchunguzi unaoendelea, au unaona suala linachukuwa muda mrefu?
Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.
Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.
Hivi ulikuwa hujuwi kuwa baba'ko ni mtu wa serfikali? Au hata hilo aliwaficha? Huko serikalini unafahamu alikuwa kitengo kipi?
Pengine kufichwa kwa uchunguzi wake ni faida kwenu kama familia, mkiyajuwa yote mnaweza kumkana baba yenu.
Bwana Mohamed Ali mohamed Kibao.
1) Inaonesha mlikuwa hamjuwi kazi zote za mzeew wenu, aliwaficha mengi.
2) Mbona tuliona mazikoni mpaka waziri kahudhuria, wakuu wa vyama vya siasa wamehudhuria. Wote jao wameshoimdwa kuwa mwanashewria?
3) Kuhusu "kifo ni kifo" hiyo ni nadharia ya Kiislam, nakushamngaa sana kama hulielewi hilo.
4) Yote manne uliyoyasema ni kujenhga hoja tu/ Cha msingi, kifo kimeytokea katika hali isiyo ya kawaida. Uchunguzi ufanyike na ijulikane nini ki;lichotokea.
Je, serikali ilikwambia kuwa jalada limefungwa na hakuna uchunguzi unaoendelea, au unaona suala linachukuwa muda mrefu?
Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.
Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.
Hivi ulikuwa hujuwi kuwa baba'ko ni mtu wa serfikali? Au hata hilo aliwaficha? Huko serikalini unafahamu alikuwa kitengo kipi?
Pengine kufichwa kwa uchunguzi wake ni faida kwenu kama familia, mkiyajuwa yote mnaweza kumkana baba yenu.
Sijakuelewa unamaanisha nini, andika vizuri nikuelewe. Siyo lazima uchanganye lugha.Doversion kwa kukusudia kabisa kwa wazi? Faiza unaongea haya kwa faida ya nani?
Pia anaonekana kama ni mlevi mlevi hivi wa pombe, au atakuwa anatumia madawq ya kulevyaMimi tangu waliposhirikiana na sisiemu + bakwata eti kumsimea DUA..
niliwadharau kama familia, yaani "uniulie baba yangu" alafu useme njoo tufanye ibada ya pamoja kumuombea...!! Walikubaliana uzwazwa sana.
By the way leo katoa HISIA dhabiti pasipo kupepesa macho hasa aliponuKUU kwamba kifo ni kifo tu.
Allah na MaulanaMwenyezi Mungu ni mmpja tu, hakuna tofati wa wa waisraili na wamatumbi. Pata faida:
Qur'an 112
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
Huyo sio jamaa yake na Lemma kaigiza sauti
Laki na nusu mnaolipwa ndo inakufanya ukose utu kiasi hiki? Mpaka kuona kifo Cha binadamu mwenzio Hakina haja ya ndugu na watot wake kuhuzunika?Anaonekana analipeleka kisiasa, sasa na yeye atajibiwa kisiasa, anaonekana ni wa chama cha maandamano, aje polepole
Analaumiwa Rais Samia.Naona hapa analaumiwa Mwambulukusi wa TLS.
Ukiwa mwanaccm moja kwa moja motoni.Laki na nusu mnaolipwa ndo inakufanya ukose utu kiasi hiki? Mpaka kuona kifo Cha binadamu mwenzio Hakina haja ya ndugu na watot wake kuhuzunika?
Hamas ni Wana wa Esau na Baraka yao ilikuwa ni kukaa mbali na ardhi yenye rutubaKwamba Mungu wa Israeli ni sawa na wa Hamasi? Mimi nakataa