Familia ya Mzee Ali Kibao yatuma ujumbe kwa Rais Samia, yaomba uchunguzi wa wazi pamoja na kutoa kauli kali dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji

Kwamba Mungu wa Israeli ni sawa na wa Hamasi? Mimi nakataa
 
Kwenda zako huko. Huu ujumbe ni wa Mwabukusi?
Kifo kile ni cha kulaaniwa na mtu yeyote mwenye kujali utu na ubinadamu achana na hizi petty issues.
Aliyefanya jambo hili liwe baya zaidi ni rais mwenyewe nadhani hotuba aliyoitoa siku ile ndio hotuba mbaya zaidi tangu nianze kusikiliza hotuba za viongozi
 
Namba 3 uko sahihi Kabisa kwani Mashujaa wa Waislam akina Osama, Mullah Omar, Ghadafi, Sadam nk hata Makaburi yao hayajulikani yalipo Kwa sababu za kidini zaidi
 

Daah...
 
Pia anaonekana kama ni mlevi mlevi hivi wa pombe, au atakuwa anatumia madawq ya kulevya
 
Allah na Maulana

Kanisa Moja Takatifu la Mitume
 
Kwamba Mungu wa Israeli ni sawa na wa Hamasi? Mimi nakataa
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
 
Anataka amgombanishe mama na polisi Huyo
NDIO MAANA MAMA HAJALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…