Familia ya Mzee Ali Kibao yatuma ujumbe kwa Rais Samia, yaomba uchunguzi wa wazi pamoja na kutoa kauli kali dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji

Acha wafu wazikane. Leo anamkana mzanzibar mwenzie na kumuita mwenye Imani haba kisa mapenzi na unazi kwa mzanzibar mwengine.
Uislam siyo imani pekee, ni mfumo kamili wa maisha.

Nani alikudanganya Mohamed Ali Mohamed Kibao ni Mzanzibari?

Huyo ni mzanzibara kama wewe tu.
 
Analaumiwa Rais Samia.
Hapo anatumika kijinga tu.

Katika vifo vyote vya Watanzania hili Rais mama Samia kalitolea ufafanuzi, tena Kiislam kabisa. Kuwa kifo ni kifo tu. Hakibadiliki. Na uchunguzi unafanyika.


Nisome tena; Uchunguzi mwingine ukiwekwa huru unaweza kumkana hata baba yako mzazi. Serikali ina siri nyingi sana. Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
 
Umekamatika leo
 
Wenye mamlaka wanajifanya kuwa na roho ngumu isiyojali wakitegemea mifumo waliyoiweka yenye kinga kuwa hawawezi kufikiwa kwa mapinduzi, mabadiliko na jambo alilolisema Jakaya Kikwete kuwa mambo yakiharibika kabisa basi waliopo madarakani watangolewa na wenye chama au chama kingine kitaiondoa serikali kupitia sanduku la kura.

 
Hahahaa.....kumbe unaelewa elewa baadhi ya mambo. Nakuonaga kama mweupe fulani hivi. Samahani lakini.
Hiyo Chadema inayokufanya utambe kwenye Vilabu vya Pombe sisi ndio tuliiasisi pale Kisutu Majamatini kwa Mzee Ndesamburo 😂😂😂
 
IF SHE IS AN ACCOMPLICE? ONE CAN SPECULATE ON HOW THE ISSUE IS BEING HANDLED
 
Wewe ndiye unatetea ujinga tu, hakuna mtoto mdogo humu wa kuamini hizo nadharia zako. Mumeua basi, Mungu ndiye hakimu wa haki.
 
Wewe ndiye unatetea ujinga tu, hakuna mtoto mdogo humu wa kuamini hizo nadharia zako. Mumeua basi, Mungu ndiye hakimu wa haki.
Kuuwa tu haitoshi, kuna nani aliyeuwa na kwanini kauwa.

Unayajuwa hayo?

Kifo ni kifo tu.
 
Wasipokuelewa basi
 
Kaliytolea ✖️ , Kalitolea✔️

Uchunguzo ✖️, Uchunguzi✔️

Usilolijuwa ✖️, Usilolijua ✔️

Kumakana ✖️, Kupatikana ✔️

Kiza ✖️, Giza ✔️

Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga?

Acha kuleta ujanja ujanja kwenye masuala ya kifo familia imetoka kwa uwazi kuomba uchunguzi wa kifo cha baba yao kwa uwazi hizo siri nyingi za serikali zinaisaidiaje familia kujua ukweli maana tangu September kuna ukimya ?
 
Madhara ya muungano ndiyo haya.rais wa muungano anateka na kuua watanganyikabmchana kweupe.kusingekuwa na muungano yasingetokea haya ya kibao
 
Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.

Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.
Kwa nini Allah hakuzuia kutekekwa, kuteswa na kuuliwa kwa Ali Kibao??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…