Familia ya Rais Assad yakimbia Syria

Familia ya Rais Assad yakimbia Syria

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Familia ya Rais Assad imekimbia nchini Syria wakati ambapo waasi wamebakiza maili 12 kuutwaa mji wa Damascus.

Mke wa Assad na watoto wao wamekimbilia Urusi , huku wanafamilia wengine kama ndugu wa mke wa Assad wakipata hifadhi UAE.

Misri ilikuwa imemuomba Assad aondoke Syria akaanzishe serikali nje ya Syria.

Wanajeshi wengi wa Syria wamekimbilia Iraq.
 
Hao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.
Damascus ya wp ww sasa hv assad yupo moscow anakunywa vodka na kutafakar alivyopoteza
 
Sioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Hata mim sielewi kabisaa. Tusubiri wabobezi waje kutupa elimu
 
Sioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Ni stakeholder wa muhimu sana hapo mido fuatilia operation nyingi za mossad utaona mchango wa syria kwenye kufanikisha mipango ya urusi,iran et al.
 
Familia ya Rais Assad imekimbia nchini Syria wakati ambapo waasi wamebakiza maili 12 kuutwaa mji wa Damascus.

Mke wa Assad na watoto wao wamekimbilia Urusi , huku wanafamilia wengine kama ndugu wa mke wa Assad wakipata hifadhi UAE.

Misri ilikuwa imemuomba Assad aondoke Syria akaanzishe serikali nje ya Syria.

Wanajeshi wengi wa Syria wamekimbilia Iraq.

Aisee! Alisalimika kwnye Arab string akajiona the strong hapo middle East, then hakupata akili ya kurekebisha udhaifu wa wenzake waliopoteza!, yeye akaona njia sahihi ni kuua wapinzani wake tu akijua atatawala milele Kweli wakati ni ukuta
 
Back
Top Bottom