Familia ya Rais Assad yakimbia Syria

Familia ya Rais Assad yakimbia Syria

Hii nguvu wanaitoa wapi means someone is helping them,atakua US tu kwakua Assad anasaidiwa na Russia,mashariki ya kati pamechafuka mno
US ndiye dereva lkn hesabu zake siyo Syria.
Malengo ya US ni kumpoteza Russia muelekeo,anamuita ili aelekeze nguvu Syria na Iran na kupunguza nguvu na malengo yake kule kwa Zele lkn Putin yuko mbele ya muda sana,alishachungulia akajua mipango ya US ndio maana yuko kama hajui kinachoendelea Syria ijapo lazima kuna namna atatenda jambo kwa tahadhari ya hali ya juu sana.
 
Familia ya Rais Assad imekimbia nchini Syria wakati ambapo waasi wamebakiza maili 12 kuutwaa mji wa Damascus.

Mke wa Assad na watoto wao wamekimbilia Urusi , huku wanafamilia wengine kama ndugu wa mke wa Assad wakipata hifadhi UAE.

Misri ilikuwa imemuomba Assad aondoke Syria akaanzishe serikali nje ya Syria.

Wanajeshi wengi wa Syria wamekimbilia Iraq.
Afurumushwe tu syria,syria imekuwa nchi ya familia ya Assad kuanzia baba yake mpaka yeye wameongoza watu
 
Assad ni kiungo muhimu kati ya Iran na Hezbollah
Na kizuizi muhimu bomba la gas kutoka Qatar na UAE kwenda Ulaya kuendelea kumpa Russia economic power na influence Ulaya. Hiyo nimeelewa.
 
Hao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.
Typical mmatumbi

Kila kitu kwake ni filmee
 
Sema ASSAD Ilibidi aondolewe miaka mingi , wakati wake umefika
 
Back
Top Bottom