LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
unaongea kama mohamed al sahaf waziri wa sadam huseiniHao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.