Familia ya Rais Assad yakimbia Syria

Familia ya Rais Assad yakimbia Syria

US ndiye dereva lkn hesabu zake siyo Syria.
Malengo ya US ni kumpoteza Russia muelekeo,anamuita ili aelekeze nguvu Syria na Iran na kupunguza nguvu na malengo yake kule kwa Zele lkn Putin yuko mbele ya muda sana,alishachungulia akajua mipango ya US ndio maana yuko kama hajui kinachoendelea Syria ijapo lazima kuna namna atatenda jambo kwa tahadhari ya hali ya juu sana.
Urusi kaaibika sn kwenye hili anguko la assad hakuna cha kuwa mbele ya muda wala nn hiyo ni hesabu wamempigia kama huna c tatu huwezi kuelewa.

Uchumi wake sasa umedhoofu vibaya sn kuendelea kupigana vita, hata huko ukraine anajikaza tu lkn hali yake sio nzuri, beberu sio watu wa ku mess nao watakupoteza tu.
 
Hao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.
Khe! Usolii usolii! Shailla ah
 
Assad aliendesha kibabe Sana Syria..ilikuwa n swala la muda tu
 
Urusi kaaibika sn kwenye hili anguko la assad hakuna cha kuwa mbele ya muda wala nn hiyo ni hesabu wamempigia kama huna c tatu huwezi kuelewa.

Uchumi wake sasa umedhoofu vibaya sn kuendelea kupigana vita, hata huko ukraine anajikaza tu lkn hali yake sio nzuri, beberu sio watu wa ku mess nao watakupoteza tu.
Endelea kuamini uaminivyo.
 
1734101661108.png

Jamaa alikuwa na chembe chembe ya u-Pussycat
 
Back
Top Bottom