Familia ya Rais Assad yakimbia Syria

Familia ya Rais Assad yakimbia Syria

Umefafanua briefly but so clearly! Nimeelewa. That's why Russia inahakikisha Assad haondolewi ili kulinda maslahi na influence yake Ulaya upande wa gas and petroleum. Dah; hii dunia ina mengi sana.
Mkuu vita vile vya kwanza tunazozisema kuwa Arabspring kwa upande wa Syria aliyekuwa sponsor mkuu ni Qutar kwasababu Assad aligomea kuachia njia ya kupitisha mabomba ya gesi kutoka Qatar kwenda Ulaya. Hivyo Russia aliingilia ili mafuta yake yasikose soko kwa maasimu wake.
USA nadhani yeye anakuwa front kuonesha tu namna kuwasaidia watiifu wake ili wazidi kuona fadhila anazofanya.
 
Hii counter attack ya ghafla sana!
Ilikuwa atolewe kwenye ule mtanange uliopita. Russia akaja kumuokoa.

Ulaya walishajiandaa kuachana na gas ya Russia kabla hata ya vita ya Ukraine.

Walipoona amekaza amewekeza nguvu kubwa kumlinda Assad, wakarudi kwenye drawing board. Pale ukachorwa mchoro wa Ukraine.

Russia akaingia kichwakichwa. Alipojaa Israel akaanza kusanua Hamas the Hezibollah.
Akatengenezewa chambo kingine kwa kupewa hizi kete ; Mali, Guinea, Sudan, Burkina Faso, Niger na Gabon, akazikimbilia kichwa-kichwa na kuzila, asijue kuwa ni chambo tu na kwa France walichokifanya ni strategic defeat/withdrawal.

Sasa kaanzishiwa muziki mwingie pale Georgia kustuka imeanza nyingine Syria.

Russia analegezwa kwa vita za kimkakati na ameshaanza kukata pumzi.

Akina Traole nao sasa ndiyo wanaanza kuona kumbe waliingizwa mkenge, waliachwa kimkakati wachukue nchi kumbe lengo ni Russia aendelee kugawanya nguvu zake kwa kuwapelekea support kwao.

sasa akili zitaanza kuwarudia na akili kufunguka na kujua kumbe walitengenezwa kama kete tu, na wao ni mbuzi wa kafala na wala siyo mashujaa.
 
Familia ya Rais Assad imekimbia nchini Syria wakati ambapo waasi wamebakiza maili 12 kuutwaa mji wa Damascus.

Mke wa Assad na watoto wao wamekimbilia Urusi , huku wanafamilia wengine kama ndugu wa mke wa Assad wakipata hifadhi UAE.

Misri ilikuwa imemuomba Assad aondoke Syria akaanzishe serikali nje ya Syria.

Wanajeshi wengi wa Syria wamekimbilia Iraq.
Hivi kuna sehemu ya ardhi ya dunia hii ambayo bado haina mwenyewe ambayo Misri wanaijua? Kama hakuna napendekeza Assad akajimegee Russia maana ni kubwa mno.
 
Sioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Linatakiwa lipite bomba la gesi hapo kutokea Qatar kwenda Ulaya. Ili wazungu waachane na gesi ya Urusi. Sasa Mrusi anapigania maslahi yake hapo
 
KWAIYO Wazayu wa nyakato kibondo kibindu mmeshafika Damascus na chai mnakunywa apo Damascus? Au Bado mpo mwanjerwa mnajitafura!!!!!
 
Urusi sio mshirika wa kutegemea sana
Marekani alikimbia Afghanistan akiiyaacha Serikali Kibalaka wake nao Wakimbia kila m'moja na njia yake adi leo awaamini macho yao kama kweli Marekani alitoka mbio na chupi mkononi!!!
 
Familia ya Rais Assad imekimbia nchini Syria wakati ambapo waasi wamebakiza maili 12 kuutwaa mji wa Damascus.

Mke wa Assad na watoto wao wamekimbilia Urusi , huku wanafamilia wengine kama ndugu wa mke wa Assad wakipata hifadhi UAE.

Misri ilikuwa imemuomba Assad aondoke Syria akaanzishe serikali nje ya Syria.

Wanajeshi wengi wa Syria wamekimbilia Iraq.
Hayawi... Hayawi...!
 
Familia ya Rais Assad imekimbia nchini Syria wakati ambapo waasi wamebakiza maili 12 kuutwaa mji wa Damascus.

Mke wa Assad na watoto wao wamekimbilia Urusi , huku wanafamilia wengine kama ndugu wa mke wa Assad wakipata hifadhi UAE.

Misri ilikuwa imemuomba Assad aondoke Syria akaanzishe serikali nje ya Syria.

Wanajeshi wengi wa Syria wamekimbilia Iraq.
Timbwilitimbwili
 
Marekani alikimbia Afghanistan akiiyaacha Serikali Kibalaka wake nao Wakimbia kila m'moja na njia yake adi leo awaamini macho yao kama kweli Marekani alitoka mbio na chupi mkononi!!!
Una miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom