Mkuu sio rahisi kiivyo.Hao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.
Damascus ya wp ww sasa hv assad yupo moscow anakunywa vodka na kutafakar alivyopotezaHao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.
Tutaona chief.Damascus ya wp ww sasa hv assad yupo moscow anakunywa vodka na kutafakar alivyopoteza
Sioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.WEst wanahesabu kali sn, wamempa kibinyo urusi kule ukraine, wakatoa somo kwa iran na hezbolah kisha wanamalizia kumtoa assad.
Hizi hesabu kama huna C tatu huwezi kuelewa
Athari haipo kwa Asad bali ipo kwa washirika wake Urusi na Iran, Syria ni eneo muhimu kimkakati.Sioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Huoni athari ya assad upo bonyokwa huko unakunywa komoniSioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Hata mim sielewi kabisaa. Tusubiri wabobezi waje kutupa elimuSioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Assad is useless I tell you.Huoni athari ya assad upo bonyokwa huko unakunywa komoni
Ni stakeholder wa muhimu sana hapo mido fuatilia operation nyingi za mossad utaona mchango wa syria kwenye kufanikisha mipango ya urusi,iran et al.Sioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Leo una akili timanuš¤£Mkuu sio rahisi kiivyo.
Familia ya Rais Assad imekimbia nchini Syria wakati ambapo waasi wamebakiza maili 12 kuutwaa mji wa Damascus.
Mke wa Assad na watoto wao wamekimbilia Urusi , huku wanafamilia wengine kama ndugu wa mke wa Assad wakipata hifadhi UAE.
Misri ilikuwa imemuomba Assad aondoke Syria akaanzishe serikali nje ya Syria.
Wanajeshi wengi wa Syria wamekimbilia Iraq.