Familia ya Rais Assad yakimbia Syria

Hii nguvu wanaitoa wapi means someone is helping them,atakua US tu kwakua Assad anasaidiwa na Russia,mashariki ya kati pamechafuka mno
 
ajabu yake, wanakimbia halafu wanawaacha wapiga kura wao, raia waliowapigania mno, wabaki palepale. hapo ndio wananchi tujifunze namna tunavyopigania hawa tunaowaita viongozi wetu. hapo hadi chawa wake wamebaki wafe pale syria ila ndugu zake ndo kaondoa.
 
Hao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.
Safari hii sidhani kama kutakua na comeback
 
Sioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Syria ni transit ya silaha kwa hizbullah,njia yenye gharama nafuu kupitisha bomba la gesi toka Qatar,uae kwenda ulaya, kupunguza influence ya Iran kwa kumuondoa mshirika wake
 
Ofisi yake imekanusha kuwa yeye bado hajakimbia lakini ni suala la muda tu. Kweli hakuna kisichokuwa na mwisho. Ndiyo maana nasemaga hata CCM siku zake zinahesabika.
 
Syria ni transit ya silaha kwa hizbullah,njia yenye gharama nafuu kupitisha bomba la gesi toka Qatar,uae kwenda ulaya, kupunguza influence ya Iran kwa kumuondoa mshirika wake
Umefafanua briefly but so clearly! Nimeelewa. That's why Russia inahakikisha Assad haondolewi ili kulinda maslahi na influence yake Ulaya upande wa gas and petroleum. Dah; hii dunia ina mengi sana.
 
Sioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Unahitaji shule kubwa sana kuelewa umuhimu wa Syria. Yaani nchi inatolewa macho na Russia, Iran, US, Israel, Turkey nk. bado hujui yaliyomo?
 
Nawashauri waje Zenj wakafaidi upepo mwanana. Kkkkkk!
 
Hao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.
Hivi hujui kuwa maneno na matamanio yoyote hayana maana yoyote kama hayaendani na uwezo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…